issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,128
- 7,899
Tumbo la mlunguradaaaaah jamaa ana tumbo si mchezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumbo la mlunguradaaaaah jamaa ana tumbo si mchezo
Sumu.......sahivi watu ni mwendo wa tunguli.....unatandikwa vimafua umeendaFAM alitutisha na sumu, ngoja tuone Sasa ufanyaji kazi wa Sumu!
Hela huwa haitoshi kijana k7na watu wana hela ila hawalali,wanaitamani hadi mia yako waichukue,Trump unamjua?Umeanza kumjua mbowe leo nini? Amekuwa bilionea akiwa na miaka 19 ,sasa sijui asali gani unayoizungumzia.
Mbowe nilimuona Manzese Operation Sangara Amepack VOGUE ya silva pembeni Mpya kabisa anafanya mkutano......Kwa kipindi hicho(2005) ni kama Autobiography ya 2024 ya Lugumi kwasasa.
We si upo dodoma wewe🤔Nadhani sasa tutamuona sana huku Kilimanjaro.
😅😂😅😅😅MuoneWe si upo dodoma wewe🤔
Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Mawazo ya kibinafsi na kimaskini na mtoa mada umekulia kwenye fikra za kimaskini , umesoma lakini huna ukombozi wa Ki-fikra.Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Yeah hela haitoshi lazima itafutwe ,mimi nazungumzia hela hizo za kulambishwa asali za kina abdul ,utamuhonga tsh ngapi? He doesn't have a price tags.Hela huwa haitoshi kijana k7na watu wana hela ila hawalali,wanaitamani hadi mia yako waichukue,Trump unamjua?
Maskini ndio nafikiri Mbowe sijui kuitwa au kutajwa kwenye media, kwani si anayo media yake, yeye anadhamini mkutano kwa zaidi ya milioni 300 yake alafu mtu maskini wa fikra anafikiri kimaskini, hii nchi inahitaji ukombozi, vijana wamejaa viroba kichwani.Kina Mbowe pesa wanazo wapo class ya matajiri lakini hata matajiri hutofautiana, Mbowe amewahi kumiliki Club Billicanas, Hakujawahi kutokea club hapa Tanzania iliyofikia level za Billicanas mpaka leo, hii ni moja tu ya investments zake
Usije kukuta upo mabogini unalima mchele😂😅😂😅😅😅Muone
Hapana niko hapa Boma Kwa Mheshimiwa mstaafu kuanzia muda mchache uliopita.Usije kukuta upo mabogini unalima mchele😂
Hongera nitapanga safari ya ghafla nije nikusalimieHapana niko hapa Boma Kwa Mheshimiwa mstaafu kuanzia muda mchache uliopita.
Sijakataa kwamba hawana hela au sio matajiri. Ninachokataa ni sifa za kupitiliza kana kwamba wao ndo matajiri wakubwa zaidi hapa TZ.Kina Mbowe pesa wanazo wapo class ya matajiri lakini hata matajiri hutofautiana, Mbowe amewahi kumiliki Club Billicanas, Hakujawahi kutokea club hapa Tanzania iliyofikia level za Billicanas mpaka leo, hii ni moja tu ya biashara zake
Cha muhimu akumbushwe hakuna kuhama chama.Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Kama unakuja na msafara wa kumsindikiza Chairman nyumbani Karibu sana 😜😜😜😅😅😅Hongera nitapanga safari ya ghafla nije nikusalimie
Haishi Kwa hela za chama bali biashara anazofanya. Alishasema akishindwa ataendelea kuimarisha biashara zake. Kazi kwake kamanda TAL na comred John Heche, kila la heri.Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Hizi story za kuwa Mbowe ni bonge la tajiri huwa wanaambiwa wajinga.Mbowe anarudi zake kwenye raha za utajiri alizopoteza kwasababu ya siasa
Mzee ana pesa nyingi mno, Baba yake enzi hizo alikuwa kwenye top 10 ya matajiri hapa TZ.
alikataa kazi Benki kuu akiwa na miaka 20 kwa sababu mshahara ulikuwa mdogo sana kwake.
Atautilize sana maji ya mto weru weru kufufua ile bustani yakeNadhani sasa tutamuona sana huku Kilimanjaro.