Kwa kushindwa kwake, Freeman Mbowe anakosa fursa zifuatazo

Kwa kushindwa kwake, Freeman Mbowe anakosa fursa zifuatazo

Umeanza kumjua mbowe leo nini? Amekuwa bilionea akiwa na miaka 19 ,sasa sijui asali gani unayoizungumzia.

Mbowe nilimuona Manzese Operation Sangara Amepack VOGUE ya silva pembeni Mpya kabisa anafanya mkutano......Kwa kipindi hicho(2005) ni kama Autobiography ya 2024 ya Lugumi kwasasa.
Hela huwa haitoshi kijana k7na watu wana hela ila hawalali,wanaitamani hadi mia yako waichukue,Trump unamjua?
 
Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.

Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.

Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.

Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.

Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.

Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.

FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Mawazo ya kibinafsi na kimaskini na mtoa mada umekulia kwenye fikra za kimaskini , umesoma lakini huna ukombozi wa Ki-fikra.
Diplomatic passport wanapewa viongozi wa vyama vya upinzani?
 
Kina Mbowe pesa wanazo wapo class ya matajiri lakini hata matajiri hutofautiana, Mbowe amewahi kumiliki Club Billicanas, Hakujawahi kutokea club hapa Tanzania iliyofikia level za Billicanas mpaka leo, hii ni moja tu ya investments zake
Maskini ndio nafikiri Mbowe sijui kuitwa au kutajwa kwenye media, kwani si anayo media yake, yeye anadhamini mkutano kwa zaidi ya milioni 300 yake alafu mtu maskini wa fikra anafikiri kimaskini, hii nchi inahitaji ukombozi, vijana wamejaa viroba kichwani.
 
Kina Mbowe pesa wanazo wapo class ya matajiri lakini hata matajiri hutofautiana, Mbowe amewahi kumiliki Club Billicanas, Hakujawahi kutokea club hapa Tanzania iliyofikia level za Billicanas mpaka leo, hii ni moja tu ya biashara zake
Sijakataa kwamba hawana hela au sio matajiri. Ninachokataa ni sifa za kupitiliza kana kwamba wao ndo matajiri wakubwa zaidi hapa TZ.
 
Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.

Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.

Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.

Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.

Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.

Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.

FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Cha muhimu akumbushwe hakuna kuhama chama.
 
Kisiasa bado FAM ananafasi nyingine kutegemeana tu na vipi anaweza kutumika,system inweza kumtumia,CCMinaweza kumtumia na CHADEMA inaweza kumtumia
 
Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.

Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.

Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.

Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.

Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.

Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.

FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Haishi Kwa hela za chama bali biashara anazofanya. Alishasema akishindwa ataendelea kuimarisha biashara zake. Kazi kwake kamanda TAL na comred John Heche, kila la heri.
 
Mbowe anarudi zake kwenye raha za utajiri alizopoteza kwasababu ya siasa

Mzee ana pesa nyingi mno, Baba yake enzi hizo alikuwa kwenye top 10 ya matajiri hapa TZ.

alikataa kazi Benki kuu akiwa na miaka 20 kwa sababu mshahara ulikuwa mdogo sana kwake.
Hizi story za kuwa Mbowe ni bonge la tajiri huwa wanaambiwa wajinga.
 
Back
Top Bottom