Kwa kushindwa kwake, Freeman Mbowe anakosa fursa zifuatazo

Kwa kushindwa kwake, Freeman Mbowe anakosa fursa zifuatazo

Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.

Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.

Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.

Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.

Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.

Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.

FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Ni mzee wa chama na mjumbe wa kudumu wa baraza kuu
 
Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.

Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.

Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.

Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.

Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.

Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.

FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Ni tajiri, hivyo ulivyotaja hakuna hata kimoja chakumkosesha raha.
 
Mbowe anarudi zake kwenye raha za utajiri alizopoteza kwasababu ya siasa

Mzee ana pesa nyingi mno, Baba yake enzi hizo alikuwa kwenye top 10 ya matajiri hapa TZ.

alikataa kazi Benki kuu akiwa na miaka 20 kwa sababu mshahara ulikuwa mdogo sana kwake.
Uongo .........walichoma bank miaka ile ............ili kuficha kashfa ya pesa walizoiba........unaweza kukataa kazi bank wewe labda kama ya kufagia
 
Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.

Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.

Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.

Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.

Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.

Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.

FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Swala la hela ilo ondoa...wale wana mahela tangu miaka ya 70
 
Wachaga hawako hivyo, hakunaga utoshelevu wa pesa kwao, hii fursa aliyopteza ilikuwa nuhimu sana ndio maana hadi amepigwa rungu zito ndio akakubali.

Atamwambia Lema nini🤣
Kweli Ila at his age hakuna alichopoteza anapata nafasi ya kuendelea na kile alichokuwa anafanya pia sifikirii Kama halikuwa anategemea chanzo kimoja cha mapato ili kuendesha maisha yake.
 
ila nimebaini kitu, wanaoumia kushindwa kwa mbowe ni masisiemu kuliko wanachama wa chadema waliompigia kura, mbowe mwenyewe na familia yake. hii imekaaje hii?.
 
Back
Top Bottom