Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chairman bado ana tafuta MAFEKECHE mjini wewe atakuja home DecemberKama unakuja na msafara wa kumsindikiza Chairman nyumbani Karibu sana 😜😜😜😅😅😅
Digrii anayo?Yule anaenda kushindana na Samia kwenye uraisi you will see
Sasa hapa kumaanisha nini........??? Mbowe ni mkubwa kuliko chadema ??au pesa za mbowe kubwa kuliko za chadema?? Basi kama jibu mbowe ndio mkubwa kuliko taasisi ya chadema na anapesa nyingi kuliko taasisi ya chadema .............ni bora ccm na mama abdul wabaki madarakani kwa 10+ kuliko hayo makoro makoro mengineYeye ndiye aliyekuwa anafadhili CDM kwa fedha zake binafsi, hata huo mkutano uliomalizika ni fedha za Mbowe kuanzia ukumbe hadi chakula wewe unafikiri anashida na fedha za CHAMA au CHAMA kina shida na fedha za Mbowe?
Hizo zilikuwa ni sifa za kipropaganda toka ccm. Kwa sasa propaganda hiyo imekufa natural deathHawezi kuhama chama cha baba mkwe
Ahame aende wapi ?Cha muhimu akumbushwe hakuna kuhama chama.
Kwa sasa hana aiba na mvuto tena katika siasa za Bongo.Yule anaenda kushindana na Samia kwenye uraisi you will see
Kama ni uongo thibitishaManeno maneno
Punguza kamdomo ,ni mda wakuanza jenga chama , madude mengine ni upuuzi ,kwani Mbowe ameanza safiri leo ? Mkileta ka mdomo sana naenda upande wa Mbowe, mie mpenda haki .Kusalimisha Diplomatic Passport yake haraka iwezekanavyo.
Yeye sio signatory tena wa Chama pesa zinazoingia na kutoka hana access nazo tena.
Popote pale duniani au mbinguni wakiitwa viongozi wa upinzani kuonana na mkuu yeyote hawezi kuhudhuria.
Jina lake halitaimbwa tena kwenye media.
Sehemu za umma atakuwa kama raia wengine tu.
Kuramba asali na ruzuku kumeisha rasmi.
FaIda zake:
Huenda ukawa mwisho wa yeye kulala sero,gerezani .
Atapata muda wa kucheza na wajukuu na familia kwa ujumla
Biashara zake zitaimarika zaidi
Hizo Biashara zake ni zipi? Zinatambulika na Mamlaka ya Mapato?Kama ni uongo thibitisha
Tindo, uchaguzi ndivyo ulivyo..matokeo yanaweza badilika hata ndani ya dk 5 tu, looser akawa winner na winner akawa looser..hata huvyo hayo tuliyokuwa tunasema dhidi ya Lissu ni vyema akafanyia kazi..aache jazba, awe wa mwisho kuonyesha anajua jambo fulani na asitazame kila jambo kwa jicho la sheria tu..lkn zaidi arudishe familia yake hapa Tanzania, mambo ya safari za ubelgiji kila mara ndio basi yafikie mwisho!
Nani alikwambia fedha huwa inatosha!Mbowe swala la pesa kwake hata sio tatizo huyo katokea familia bora Sana kiuchumi .
Naona Bilicana mpya ikirudi kwa kasi Kilimanjaro!Nadhani sasa tutamuona sana huku Kilimanjaro.
Nani alikwambia fedha huwa inatosha!
Hakujawai kutokea club iliyofika Billicanas mpaka leo hii uko serious kweli au bangiKina Mbowe pesa wanazo wapo class ya matajiri lakini hata matajiri hutofautiana, Mbowe amewahi kumiliki Club Billicanas, Hakujawahi kutokea club hapa Tanzania iliyofikia level za Billicanas mpaka leo, hii ni moja tu ya biashara zake