Nitajie biashara za mbowe angalau nne ambazo ni genuine business hapa bongoMbowe anarudi zake kwenye raha za utajiri alizopoteza kwasababu ya siasa
Mzee ana pesa nyingi mno, Baba yake enzi hizo alikuwa kwenye top 10 ya matajiri hapa TZ.
alikataa kazi Benki kuu akiwa na miaka 20 kwa sababu mshahara ulikuwa mdogo sana kwake.
Nimecheka sana, eti Lisu alikuwa hajajiandaa na uchaguzi hivyo angeshindwa. Anywaya yaliyopita. Hata mimi namshauri sana Lisu afanyie kazi mapungufu yake kwani yametamkwa waziwazi. Ni muda sahihi wa yeye kuyafanyia kazi.Tindo, uchaguzi ndivyo ulivyo..matokeo yanaweza badilika hata ndani ya dk 5 tu, looser akawa winner na winner akawa looser..hata huvyo hayo tuliyokuwa tunasema dhidi ya Lissu ni vyema akafanyia kazi..aache jazba, awe wa mwisho kuonyesha anajua jambo fulani na asitazame kila jambo kwa jicho la sheria tu..lkn zaidi arudishe familia yake hapa Tanzania, mambo ya safari za ubelgiji kila mara ndio basi yafikie mwisho!
kwa kweli hili ni doa kubwa kwa chama tawalaZile kesi za kubumba sababu ya siasa