CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Uchaguzi ulikuwepo,ila huru na haki hawakuwepo Siku hiyo.Ipi? Uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi ulikuwepo,ila huru na haki hawakuwepo Siku hiyo.Ipi? Uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Maamuzi ya chama yanatokana na vikao, serikali wajibu wake kutekeleza sheria, naomba upuuze matamko yote yasio na tija ambayo hayatokani na vikao, iwapo chadema hawajapokea ruzuku hadi sasa basi ufahamu kametegenezwa kautaratibu kanakopelekea kuwafedhehesha ili wapate ruzuku, na kama hilo lipo matamko kama hayo yanatolewa!Chadema wamesema hawana shida na ruzuku.
ItapendezaWadau wa JF na Wazalendo.
Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.
Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya Chadema ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?
Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Unalilia ruzuku ndogo hivyo si afadhali hata ungeshauri hela ya vitambulisho vya wamachinga ndo ielekezwe huko elimu.Jikite kwenye mada husika.
Kwani pesa ya vitambulisho vya chinga inaenda wapi?Unalilia ruzuku ndogo hivyo si afadhali hata ungeshauri hela ya vitambulisho vya wamachinga ndo ielekezwe huko elimu.
Maana matumizi ya hiyo hela hayajabainishwa yanaenda wapi juu hayapitii TRA.
Utajikomba hadi akili iote sugu kudadeeki lkn kamwe hatuwezi kukuteuaWadau wa JF na Wazalendo.
Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.
Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?
Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Kazi yenu ni kupora pora tu na kuna siku mtapora visivyo porekaWadau wa JF na Wazalendo.
Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.
Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?
Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
MATAGA wahuni piaSerikali ya kihuni, watendaji wa kihuni
Uhuru. Wakati vyombo vyote vya habari vilikatazwa kutoonesha mikutano ya lisu. Tbc ilikuwa ccm peecee haikiruhusu hata Mara moja kurusha mkutano wa lisu angalau hata kuzuga.Ipi? Uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Ruzuku hiyo haitokani na wale wabunge wa CCM kupitia ndongayi.Sekta ya Elimu zikafanye nini tena Mkuu?
Si tulikubaliana ujenzi kwanza au?
Chadema hawataki haramuChadema wamesema hawana shida na ruzuku.
Ruzuku ni haki ya msingi ya Chadema!Mnawaza ruzuku tu? Haki yao iliyoporwa kwenye uchaguzi je?