Kwa kuwa CHADEMA wamesusia ruzuku, hizo pesa zielekezwe kwenye elimu

Kwa kuwa CHADEMA wamesusia ruzuku, hizo pesa zielekezwe kwenye elimu

Chadema wamesema hawana shida na ruzuku.
Maamuzi ya chama yanatokana na vikao, serikali wajibu wake kutekeleza sheria, naomba upuuze matamko yote yasio na tija ambayo hayatokani na vikao, iwapo chadema hawajapokea ruzuku hadi sasa basi ufahamu kametegenezwa kautaratibu kanakopelekea kuwafedhehesha ili wapate ruzuku, na kama hilo lipo matamko kama hayo yanatolewa!
 
Wadau wa JF na Wazalendo.

Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.

Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.

Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya Chadema ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?

Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Itapendeza
 
Jikite kwenye mada husika.
Unalilia ruzuku ndogo hivyo si afadhali hata ungeshauri hela ya vitambulisho vya wamachinga ndo ielekezwe huko elimu.

Maana matumizi ya hiyo hela hayajabainishwa yanaenda wapi juu hayapitii TRA.
 
Unalilia ruzuku ndogo hivyo si afadhali hata ungeshauri hela ya vitambulisho vya wamachinga ndo ielekezwe huko elimu.

Maana matumizi ya hiyo hela hayajabainishwa yanaenda wapi juu hayapitii TRA.
Kwani pesa ya vitambulisho vya chinga inaenda wapi?
 
Wadau wa JF na Wazalendo.

Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.

Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.

Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?

Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Utajikomba hadi akili iote sugu kudadeeki lkn kamwe hatuwezi kukuteua
 
Wadau wa JF na Wazalendo.

Hivi karibuni zimeibuka habari zinazochanganya sana. Maana gazeti la mwananchi lilichapisha habari likionyesha kuwa CHADEMA wanatakiwa kupata ruzuku mil 104 hii ni sababu wana wabunge 20 bungeni.

Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.

Sasa kama zilitengwa mil 104 kwa ajili ya CHADEMA ili wawe wanajilipa na wao hawazitaki kisa tu wanadai walionewa Oktoba 28 mwaka 2020. Kwa nini zisihamishiwe kwenye sekta ya elimu?

Juzi hapa Naibu Waziri wa Tamisemi ameonekana kwa aibu huko Mtwara watoto wakimlilia wakitaka madawati na madarasa. Hizi pesa zikipelekwa huko zitasaidia watoto wetu.
Kazi yenu ni kupora pora tu na kuna siku mtapora visivyo poreka
 
Ngoja basi tuzil, nyie cdm subirini mungu atawalipia...😂😂
 
Back
Top Bottom