Hiyo taarifa umeipata wapi?unadhani Mbowe anaweza kuacha pesa?Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo taarifa umeipata wapi?unadhani Mbowe anaweza kuacha pesa?Mara ghafla tukapata taarifa kuwa hawapokei ruzuku na wala hawana mpango nayo.
Duniani hakuna haki.Haki itapatikana kwa Mungu Baba wa Mbinguni.Mnawaza ruzuku tu? Haki yao iliyoporwa kwenye uchaguzi je?
Ndo hivyo mkuu.Kwa serikali hii, yaweza pora ruzuku ya CHADEMA, itakuwa ni mwendelezo wao ktk kukidhoofisha, walianza kwenye uchaguzi s/mitaa, uchaguzi mkuu, viti maalumu, sitashangaa wakichukua ruzuku, hawana aibu, hakuna cha kufanya!