Kwa kuwa viongozi wa chadema wameahidi siasa za mapambano, CCM irudi kwenye siasa za jino kwa jino, nginja nginja, na mapambano

Halafu unafaidika na nini wewe ambaye ndugu zako kule kijijini wanakunywa maji kwenye bwawa pamoja na ng'ombe?
 
Mmechanganyikiwa hadi mnatia huruma
 
CCM wenyewe ndio wameyataka haya. Huwezi kuwanyanyasa watu na kuwanyanganya uchaguzi waziwazi utegemee wakae kimya. Kiukweli siasa za Tanzania zinaenda kubadilika kabisa. Na ni kweli inawezekana umwagaji wa damu ukatokea ikikosekana busara ya viongozi. Ni wakati wa Katiba mpya sasa mkishupaza shingo nchi inatumbukia shimoni maana tutashuhudia siasa za Ubaya ubwela!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…