Kwa la Bandari, Pongezi TLS. Katiba yetu imenajisiwa. Bunge limetunga Sheria batili. Haki za Watanzania zimeporwa. Kwanini TLS wamenyamaza kimya?

Swali lako ni la hovyo sn, umesema na wewe ni mwachama wa TLS, bora ungesema kwanini TLS tumenyamaza
 
Mambo ni magumu sana hata bila ya mimi kuyafanya magumu. Yangekuwa marahisi kama wewe unavyotaka kulazimisha hapa, basi huenda kila mtu ikiwemo wewe angekuwa ni mwanasheria wa sheria za mikataba na uwekezaji. YOU CAN TAKE THIS TO THE BANK!
Interests zangu haziko huko kwenye sheria, but I can assure you, if I had wanted to, there could have been no barriers in attaining the needed qualifications.
Msitake kufanya mambo yaonekane kuwa magumu. Kama kuna binaadam mwingine anayaweza, itakuwaje pasiwepo wa kuyaweza kati yetu?
I do not subscribe to that view at all!

Wapo wengi sana wanaoyaweza, kama wanavyoweza katika nyanja nyingine zote tulizo nazo hapa. Ila hawafanyi kwa sababu nyingine nje ya shehemu zao za uwezo.
 
You sound bitter and frustrated. Get a grip Oldman!
 
miaka ya 1600 waliunda kitu kama hiki DP World iliyokuwa na uwezo wa kusimamia maslahi ya Uholanzi nchi za mbali

27 June 2023
Sakata la Bandari kuwa skendo? Mithili ya Jinamizi lisilotaka kuondoka katika kuta nne za chumba cha CCM?



Kwa takribani majuma matatu sasa Watanzania wamekuwa wakijadili mkataba kati ya Tanzania na Dubai juu ya uendeshaji na uboreshaji wa bandari za Tanzania.

Wengi wamekuwa wakionesha hofu kuwa mkataba huo unaweza usiwe na maslahi ya kudumu kwa taifa, huku vipengele kadha wa kadha vya mkataba huo vikitajwa.Serikali imeendelea kuwatoa hofu wananchi, huku ikisistiza utekelezaji wa makubaliano hayo hayajaanza na kwamba serikali itakua macho kuhakikisha katika mikataba inayofuata maslahi mapana ya taifa yanazingatiwa.Wakati sakata hili likiendelea je, skata hili linaweza kugeuka na kuwa skendo?
 
You sound bitter and frustrated. Get a grip Oldman!
EeeenHeeee!

A 'grip' of what?
How do you know I am an old man?

And for your information, if you think "I sound bitter and frustrated" for the sake of Tanzania, I have no apologies for that.
 
EeeenHeeee!

A 'grip' of what?
How do you know I am an old man?

And for your information, if you think "I sound bitter and frustrated" for the sake of Tanzania, I have no apologies for that.
Now, this is what I call an acute Mid-Life Crisis.
 
Now, this is what I call an acute Mid-Life Crisis.
Wrong.
It can never be 'acute' if it happens at anyone's mid-life'. Again, this is an example of the same ignorance as displayed in the original write-up that has brought us to this point.
 
Mkuu wewe ni mwanachama au sio mwanachama na vipi ushiriki wako wa vikao vya Tls.
 
Wrong.
It can never be 'acute' if it happens at anyone's mid-life'. Again, this is an example of the same ignorance as displayed in the original write-up that has brought us to this point.
You're suffering from a very dangerous malady called megalomania. This false bravado, sheer pomposity and condescending behaviour clear my doubts about awful conditions within your mental enclaves.
 
Wewe ni mwanachama hai wa TLS, na kwa hiyo wewe na TLS ni kitu kimoja.
Je, wewe kama mwanachama wa TLS ulishawahi kutoa ushauri kwa viongozi wako wa TLS juu ya kuwepo kwa sheria batili kwenye katiba yetu, wakakutalia,?

Wewe kama mwanasheria mwandamizi, uliwahi kupeleka shauri hilo mahakama ya rufaa, kuomba walifanyie review ukakataliwa?

Umeleta ushauri wako kwa TLS hapa JF, je, TLS huwa mnawasiliana kupitia JF?
 

Mnazunguka sana, kuna DP World na kuna dp World rostamu, hivyo ni vitu viwili tofauti mnavyodanganywa kwamba ni kimoja, walioporeshwa Bandari yetu ni dp world rostamu na haina uhusiano na DP World ya UAE.

Kwa kifupi ni criminals waliojiita DP World ili kupora rasilimali za Kongo kutukia Bandari yetu kusafirishia, …
 
You're suffering from a very dangerous malady called megalomania. This false bravado, sheer pomposity and condescending behaviour clear my doubts about awful conditions within your mental enclaves.
Good.
If I have put you in your rightful place, all those 'superlatives' only go to show how accurate I have been in sizing you down.
 

Mkuu The Boy Wonder, baada ya kupitia hoja zako ni dhahiri una ufahamu wa sheria za mikataba ya kimataifa.

Nimekuwa nikiuliza lakini hadi sasa hakuna anayejitokeza kujibu, na hata Tamko la TLS alitoi pendekezo kuhusu kwa nini DPW, kampuni ya kibishara (siyo nchi), inataka kuwekeza nchini kupitia IGA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…