Mbona nimekujibu na hujaendeleza hojaji lako kwenye swali hili?Naamini hata wewe unaelewa Kiswahili....
Niliandika hivi..
Nimekuwekea jibu la swali lako lakini hulioni....Mbona nimekujibu na hujaendeleza hojaji lako kwenye swali hili?
Ni wapi nimesema vitu vipo hivi hivi tu?
Mwenzako kaandika kwamba kutokuwepo uthibitisho wa kuwepo mungu kunathibitisha kwamba mungu kapita uwezo wa binadamu, kutokuwepo uthibitisho wa kuwepo kwa mungu kunathibitishaje kuwepo kwake at all? Sembuse kuwepo kwa mungu aliyepita uelewa wa binadamu?
Kwa nini nilazima awepo "muanzilishi" na "muanzilishi" tu na si kingine chochote?
Hujajibu.
Hujaeleza ni kwa nini ni lazima kuwe na chanzo cha muanzilishi, na muanzilishi tu, si kingine chochote.Nimekuwekea jibu la swali lako lakini hulioni....
Nikusaidie namna gani?
Kitu kingine ni nini?Hujaeleza ni kwa nini ni lazima kuwe na chanzo cha muanzilishi, na muanzilishi tu, si kingine chochote.
Unauliza swali la kipumbavu.Elimu ipi mkuu?
Kitu kingine maana yake chochote tofauti.Kitu kingine ni nini?
Maana yake nini?
Wewe mbona ukiulizwa maswali ya maana unajificha ka mtoto wa kindergarten?Mbona nimekujibu na hujaendeleza hojaji lako kwenye swali hili?
Ni wapi nimesema vitu vipo hivi hivi tu?
Mwenzako kaandika kwamba kutokuwepo uthibitisho wa kuwepo mungu kunathibitisha kwamba mungu kapita uwezo wa binadamu, kutokuwepo uthibitisho wa kuwepo kwa mungu kunathibitishaje kuwepo kwake at all? Sembuse kuwepo kwa mungu aliyepita uelewa wa binadamu?
Kwa nini nilazima awepo "muanzilishi" na "muanzilishi" tu na si kingine chochote?
Hujajibu.
Wapi nimesema kila kilichopo ni lazima nikihakiki nitakavyo mimi?Wewe mbona ukiulizwa maswali ya maana unajificha ka mtoto wa kindergarten?
Umeshawahi kuulizwa je! Kila kilichopo lzm ukihakiki utakavyo wewe? Au kuna kuna vitu ambavyo vipo na wewe inavikubali lkn Ukiombwa ushahidi Huwezi Kuutoa?
Hebu jibu hapa km wewe ni dume lenye busara, ukikimbia ntakuita mke asie na busara.
Je! Unakubali kuwa Kifo kipo au hakipo?
Naomba jibu.
Vyoyote vile,lakini ukishakubali kipo kianzilishi/muanzilishi ni hatua moja ya kuumaliza huu mjadala....Kitu kingine maana yake chochote tofauti.
Kwa nini chanzo kiwe "muanzilishi"/mungu na si kingine ambacho hata labda hatujapata kukijua?
Ukiongelea "muanzilishi" usha assume kwamba mi "mu-" , una denite nafsi, a conscious being.
Kwa nini una assume chanzo ni "muanzilishi" na si kwa mfano "kiqnzilishi" ambacho si mungu wala nafsi iliyo conscious ?
Kwa nini ukubali kitabu chenye maandiko yanayojipinga?kwn Asili Ya Uhai n nn nyie wana sayansi....
Uumbaji wote umefanyika na Mungu kw kutamka na ikawa Zaburi 33:6-9. Mwanzo 1:3-23,
Maandiko yanaonyesha wazi kwmb Mungu ndiye Mwumbaji wa vyote. Yeye ndiye aliyeanzisha na ndiye anayetupatia uhai. isaya 40:25-28, isaya 45:18
Unajuaje kuna kianzilishi kabla ya kuchunguza na kuona hilo?Vyoyote vile,lakini ukishakubali kipo kianzilishi/muanzilishi ni hatua moja ya kuumaliza huu mjadala....
Kwa mujibu wa mntiki mimi nasema kuna kianzilishi/muanzilishiUnajuaje kuna kianzilishi kabla ya kuchunguza na kuona hilo?
Iwe itakavyokuwa,jibu ni kwamba kuna kilichosababisha au vilivyosababisha kila kitu kikawepoMathalani, utajuaje kwamba kuna kianzilishi na si vianzilishi?
Ukishaongelea vilivyosababisha umeshaongelea zaidi ya kimoja.Kwa mujibu wa mntiki mimi nasema kuna kianzilishi/muanzilishi
Iwe itakavyokuwa,jibu ni kwamba kuna kilichosababisha au vilivyosababisha kila kitu kikawepo
Wewe unamfahamu namna gani Mungu mpaka useme hawezi kuwa "vianzilishi"?Ukishaongelea vilivyosababisha umeshaongelea zaidi ya kimoja.
Ukishaongelea zaidi ya kimoja tayari ushamtupa mungu wenu wa "primary mover" lama hayumkiniki.
Utakuwa na tatizo ambalo huenda hujalijua bado....Pia, hujanieleza unajuaje kwamba dhana nzima ya kianzilishi/ kifustishi haitokani na umasikini wa fikra tu unaoletwa na nafasi yetu katika ulimwengu, na wala si ukweli wa msingi, sembuse msingi wa ukweli.
Do you believe in god the primary mover, yes or no?Wewe unamfahamu namna gani Mungu mpaka useme hawezi kuwa "vianzilishi"?
Utakuwa na tatizo ambalo huenda hujalijua bado....
Tazama post uliyoiquote kama hakuna jibu la suala hili....
Nashangaa unarudia kuuliza kitu abacho tayari nimeshakujibu.....
Hujajibu nilichokuuliza....Do you believe in god the primary mover, yes or no?
kianzirishi n Muumba mbingu na dunia yaan Mungu... wakolosai 1:15-17Unajuaje kuna kianzilishi kabla ya kuchunguza na kuona hilo?
Mathalani, utajuaje kwamba kuna kianzilishi na si vianzilishi?
Unajuaje kwamba dhana nzima ya kianzilishi /kifuatishi si umasikini wa mawazo yetu tu uliotokana na nafasi yetu katika ulimwengu mpana sana na si ukweli wa msingi wala msingi wa ukweli?