DungaMawe
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 1,522
- 4,630
inabidi tufanye tambiko akili zao zirudiWameshakuja mkuu,hawajui hata ibada zao ni kuabudu mizimu ya kiyahudi na kiarabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inabidi tufanye tambiko akili zao zirudiWameshakuja mkuu,hawajui hata ibada zao ni kuabudu mizimu ya kiyahudi na kiarabu
Mtafte mtu wa Hanang' aliekalibu na huo mlima atakupa iyo taarifa,unajulikana kabisaHii story ina ukweli wwte
Mkuu ungemuacha tu yeye anaona mizimu ya kiyahudi na kiarabu ndio ya kisasa yakwao anasema ni ushamba na huyu ni msomi anayetakiwa kulivusha taifa.Marekani tu mpaka leo red Indians wanaendeleza mila zao,na wamarekani wanaitambua mila zao
Wakati msiba wa malkin uliona wale askari wakiwa na mbuzi,wee endelea kusema kusema ohh mila potofu
Hivi unajuwa wakati wazungu wako shinyanga mwadui kwenye almost
Huko walikuwa wanafanya matambiko
Nyie endeleeni kuleta dharau
Ova
We wazee wanaenda kufanya matambiko,hao TANAPA wanawatembezea kipondo [emoji1]Kumbe?
Mimi babu yangu miaka hiyo alipokuwaga Williamson diamond mwadui anakuambia wazungu walikuwa wanapiga matambiko ya maana hadi kutoa sadaka,chinja sana mbuzi hukoMkuu ungemuacha tu yeye anaona mizimu ya kiyahudi na kiarabu ndio ya kisasa yakwao anasema ni ushamba na huyu ni msomi anayetakiwa kulivusha taifa.
Nakuelewa sana, narudia tena nakuelewa mno tusipuuze asili yetuWakuu,kwa taarifa nilizozipata mlima Hanang' hua unautaratibu wa kufanyiwa matambiko,
Mlima ulianza kuunguruma tangu mwezi wa Tisa ,wazee wa mlima Hanang' wanajua ulikua unaashiria Nini
Mlima huo unapoanza kutoa ngurumo na kutikisika wazee hua wanajua unaashiria Nini
Kikawaida hua wanapanda mlimani wazee wa kibarabaigi huufanyia matambiko kwa kuchinja ng'ombe,pombe na hatimie mizimu husikia na kutulia
Kilichotokea Hanang' mlima ulianza kuunguruma Toka mwez wa 9 na kutikisika kidogo,kama kawaida ya Mila na desturi lazima tambiko lifanyike
Wazee wakajipanga wakati wanaenda mlimani wakakutana na watu wa misitu(maliasili) wakafukuzwa milimani
Wazee waliapa kitachotokea mwaka huu lazima nchi itikisike ,baada ya siku 3 likatokea la kutokea watu zaidi ya 80 wamekufa
Hakuna Cha mudflow,land slide,debris flow ,ni kukaidi Mila na desturi za eneo husika zisifanyike ,
Chonde chonde serikali,YA KAISARI MUWAACHIE YA KAISARI ,yakwenu fanyeni yenu,
Tumepoteza watu wengi kisa tunajifanya hatujui Mila na desturi za eneo husika
Kama unabisha waulize watu wa Hanang' asili ya mlima huo
Wazee wanaenda kufanya matambiko huko wazee wa TANAPA wanawatembezea kichapoKwa nini ukatae mila zisizo na madhara? Ni upuuzi
Sister hapa unakubali, unauliza au unashangaa kilichoandikwa? 😊😊Kumbe?
Ngoja nikachukue mafuta kwa mwamposa nitarudi cc. DonatilaMimi babu yangu miaka hiyo alipokuwaga Williamson diamond mwadui anakuambia wazungu walikuwa wanapiga matambiko ya maana hadi kutoa sadaka,chinja sana mbuzi huko
Matambiko waafrika tunayapoteza wenyewe,kwa kuleta dharau
Wazungu wenyewe wana rituals zao
Wanafanya
Ova
Ulisha muona huyo mtu anaitwa serikal??Nimewahi kuskia Serikali haiamini uchawi ushirikina,imani za hivyo SA inakuwaje hapo mkuu!
Umewahi kuchunga ng'ombe? Unakumbuka kipindi Cha rift valleyungekua umewai kukaa ndichi kuchunga ng'ombe izi mambo ni kawaida sana
Unachosema nilishakisikia wiki iliyopita na pia waliofariki ni zaidi ya watu mia 2 lakini serikali inatangaza miili iliyopatikana...maiti zimeoza na kuna hatari ya magonjwa ya mlipuko....Wakuu,kwa taarifa nilizozipata mlima Hanang' hua unautaratibu wa kufanyiwa matambiko,
Mlima ulianza kuunguruma tangu mwezi wa Tisa ,wazee wa mlima Hanang' wanajua ulikua unaashiria Nini
Mlima huo unapoanza kutoa ngurumo na kutikisika wazee hua wanajua unaashiria Nini
Kikawaida hua wanapanda mlimani wazee wa kibarabaigi huufanyia matambiko kwa kuchinja ng'ombe,pombe na hatimie mizimu husikia na kutulia
Kilichotokea Hanang' mlima ulianza kuunguruma Toka mwez wa 9 na kutikisika kidogo,kama kawaida ya Mila na desturi lazima tambiko lifanyike
Wazee wakajipanga wakati wanaenda mlimani wakakutana na watu wa misitu(maliasili) wakafukuzwa milimani
Wazee waliapa kitachotokea mwaka huu lazima nchi itikisike ,baada ya siku 3 likatokea la kutokea watu zaidi ya 80 wamekufa
Hakuna Cha mudflow,land slide,debris flow ,ni kukaidi Mila na desturi za eneo husika zisifanyike ,
Chonde chonde serikali,YA KAISARI MUWAACHIE YA KAISARI ,yakwenu fanyeni yenu,
Tumepoteza watu wengi kisa tunajifanya hatujui Mila na desturi za eneo husika
Kama unabisha waulize watu wa Hanang' asili ya mlima huo
Hivi ile kitu ya Arusha debe una uzaje?Hawa watoto wa mikocheni & Osterbay hawawezi kukuelewa! Ila binafsi naamini jambo hili kimila lina mtazamo wake......
Ndiyo tabia zao kuficha ficha kila kituUnachosema nilishakisikia wiki iliyopita na pia waliofariki ni zaidi ya watu mia 2 lakini serikali inatangaza miili iliyopatikana...maiti zimeoza na kuna hatari ya magonjwa ya mlipuko....
Kwa hiyo mizimu iliamua kufuata supu ya tambiko mtaani, Tanzania raha sanaMy kantri pipo… nitarudi kutafuta comments za wakazi wa Hanang na majirani zake.