Kwa maafa ya Hanang' serikali iwe inasikiliza wazee

Kwa maafa ya Hanang' serikali iwe inasikiliza wazee

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila wazee wa bongo bwana, yaani wanazinguliwa na maliasili, wanaipa laana hanang nzima, na vizazi vyao, mali zao. Watoto wadogo kwa wa mama, wamemezwa na tope. Nao wamefurahi au. This stry has something fishy.
Unaleta stry za landslide na mila hapa.
Landslides ni notorious can't be predicted my brother, njia pekee kufanya landslides isitokee ni gharama. It imposes alot of mechanisms bro. Usiwauzi wazee tuwaone vichaa.
Hawakutia laana, maana yao ni kuwa kwa kuwa wamezuiwa kuzuia janga acha litokee na tutajuta.

Siku hizi mtu anaweza kuwa na shahada halafu kilaza.
 
Unachosema nilishakisikia wiki iliyopita na pia waliofariki ni zaidi ya watu mia 2 lakini serikali inatangaza miili iliyopatikana...maiti zimeoza na kuna hatari ya magonjwa ya mlipuko....
Mkuu watu wanaoishi kwa hisani ya mitandao hivi vitu hawawez kuamini,wawaulize watu wa Hanang' ndo wanajua ukweli,Hadi leo watu wa geology hawajui Ile ni volcano,mudflow,land slide,debris flow haijulikani chanzo nini
 
Unachosema nilishakisikia wiki iliyopita na pia waliofariki ni zaidi ya watu mia 2 lakini serikali inatangaza miili iliyopatikana...maiti zimeoza na kuna hatari ya magonjwa ya mlipuko....
Mkuu watu wanaoishi kwa hisani ya mitandao hivi vitu hawawez kuamini,wawaulize watu wa Hanang' ndo wanajua ukweli,Hadi leo watu wa geology hawajui Ile ni volcano,mudflow,land slide,debris flow haijulikani chanzo nini
 
Juzi nilikutana na mzungu katika kupiga stori nikawa namwambia sisi waafrica tunaamini katika dini ila mambo yakiwa magumu tunaingia kwenye mizimu(Ancestors) Akanambia Hata wao Wazungu Wana mizimu Akanambia nchi inayoongoza Kwa Uchawi ulaya ni Romania.Akasema kwao pia Ukraine uchawi upo sana na watu wanaroga,Sema wenyewe wameupa jina Good magic.Pia Akanambia technology zozote unaziona duniani Zina Asili ya uchawi ndo maana mtu anaweza kuroga gari isiwake na wakati ni vyuma tupu.
 
Marekani tu mpaka leo red Indians wanaendeleza mila zao,na wamarekani wanaitambua mila zao

Wakati msiba wa malkin uliona wale askari wakiwa na mbuzi,wee endelea kusema kusema ohh mila potofu

Hivi unajuwa wakati wazungu wako shinyanga mwadui kwenye almost
Huko walikuwa wanafanya matambiko

Nyie endeleeni kuleta dharau

Ova

Wale red indians lazima waendeleze mila zao pale maana ndio mother land yao hakuna wakuwakataza maana hao wengine wote ni wakuja
 
Karibu mkuu mtarajiwa kijana kutoka Kolomije ameonekana huko Hanang akitoa maagizo kwa vyombo vya usalama.?
 
Naomba ueleze kidogo mkuu nina sababu muhimu
Hii ilikuwa West Manyara kabila wanyaturu...picha linaanza pombe ya kienyeji inaandaliwa inawekwa kwenye mtungi mkubwa, baada ya hapo inaenda kuwekwa kaburini usiku inalala pale kuamkia siku ya tambiko, alfajiri saa 11 mtungi unaenda kuondolewa chap kabla hamjaamka ili wengine msione whats goin on..watu wakiamka wazee wa mila wanaanza shughuli za tambiko analetwa kondoo mweupe anaanza kufanyiwa vitu vya ajabu ajabu...ananyweshwa ile pombe,wengine wanainywa uku wanamtemea mdomoni, wanampaka mafuta ya ng'ombe yale meupe NB;sio ya njano, hapo wanaongea maneno ya kikwao wanaongea na mizimu...kondoo akisha jaa tumbo yupo dhofurihali hana nguvu tena kwa vituko alivofanyiwa wanamchinja...wanampasua ile mbolea ya utumbo mdogo inamwagwa kaburini yani unachota na mkono af unairusha kwenye kaburi huku unaongea kikabila...mkimaliza nyama ya kondoo inapikwa mnakula af mifupa yote mnaenda kutupa kaburini ile ngozi yake inakatwa vipande mnavalishwa kama pete...baada ya hapo mnaanza kuchimba kaburi mnatoa masalia...mnatembea kwa mguu mpaka kaburi jipya kwenda kuzika hamtakiwi kupanda usafiri wowote...hapo mkikosea mkapanda gari mizimu inarudi kule mnaenda kuzika mifupa mitupu...kwahio kaburi halisi ni kule mizim ilipo hata ukienda kuomba kaburi jipya pale ni empty hakuna majibu coz mizimu mmeiacha kule kaburi la zamani...hayo nimeyaona tu siyajui kiundani mimi nimezaliwa LATE NINETY'S..
 
Hii ilikuwa West Manyara kabila wanyaturu...picha linaanza pombe ya kienyeji inaandaliwa inawekwa kwenye mtungi mkubwa, baada ya hapo inaenda kuwekwa kaburini usiku inalala pale kuamkia siku ya tambiko, alfajiri saa 11 mtungi unaenda kuondolewa chap kabla hamjaamka ili wengine msione whats goin on..watu wakiamka wazee wa mila wanaanza shughuli za tambiko analetwa kondoo mweupe anaanza kufanyiwa vitu vya ajabu ajabu...ananyweshwa ile pombe,wengine wanainywa uku wanamtemea mdomoni, wanampaka mafuta ya ng'ombe yale meupe NB;sio ya njano, hapo wanaongea maneno ya kikwao wanaongea na mizimu...kondoo akisha jaa tumbo yupo dhofurihali hana nguvu tena kwa vituko alivofanyiwa wanamchinja...wanampasua ile mbolea ya utumbo mdogo inamwagwa kaburini yani unachota na mkono af unairusha kwenye kaburi huku unaongea kikabila...mkimaliza nyama ya kondoo inapikwa mnakula af mifupa yote mnaenda kutupa kaburini ile ngozi yake inakatwa vipande mnavalishwa kama pete...baada ya hapo mnaanza kuchimba kaburi mnatoa masalia...mnatembea kwa mguu mpaka kaburi jipya kwenda kuzika hamtakiwi kupanda usafiri wowote...hapo mkikosea mkapanda gari mizimu inarudi kule mnaenda kuzika mifupa mitupu...kwahio kaburi halisi ni kule mizim ilipo hata ukienda kuomba kaburi jipya pale ni empty hakuna majibu coz mizimu mmeiacha kule kaburi la zamani...hayo nimeyaona tu siyajui kiundani mimi nimezaliwa LATE NINETY'S..
Nimekusoma mkuu
 
Umeongea vema sana Mkuu. Naye ni Mzimu sema ukiwaleza wafia dini. Mmoja nimeona anasema Acha Imani potofu, nikajiuliza mwenye Imani potofu yupi anaeabudu Mila zake au anaeabudu za wazungu, yupi amepotoka kiimani.?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inasikitisha sana.
 
Kama mtu haamini mila ni kimpango wake aisee mila ndio imani zetu mama.
 
VOLCANIC ERUPTION.

BAHATI MVUA ILINYESHA LAVA ONHEKUWA YA MOTO WATU WANHEYEYUKA.
 
Wakuu,kwa taarifa nilizozipata mlima Hanang' hua unautaratibu wa kufanyiwa matambiko,

Mlima ulianza kuunguruma tangu mwezi wa Tisa ,wazee wa mlima Hanang' wanajua ulikua unaashiria Nini

Mlima huo unapoanza kutoa ngurumo na kutikisika wazee hua wanajua unaashiria Nini

Kikawaida hua wanapanda mlimani wazee wa kibarabaigi huufanyia matambiko kwa kuchinja ng'ombe,pombe na hatimie mizimu husikia na kutulia

Kilichotokea Hanang' mlima ulianza kuunguruma Toka mwez wa 9 na kutikisika kidogo,kama kawaida ya Mila na desturi lazima tambiko lifanyike

Wazee wakajipanga wakati wanaenda mlimani wakakutana na watu wa misitu(maliasili) wakafukuzwa milimani

Wazee waliapa kitachotokea mwaka huu lazima nchi itikisike ,baada ya siku 3 likatokea la kutokea watu zaidi ya 80 wamekufa

Hakuna Cha mudflow,land slide,debris flow ,ni kukaidi Mila na desturi za eneo husika zisifanyike ,

Chonde chonde serikali,YA KAISARI MUWAACHIE YA KAISARI ,yakwenu fanyeni yenu,

Tumepoteza watu wengi kisa tunajifanya hatujui Mila na desturi za eneo husika

Kama unabisha waulize watu wa Hanang' asili ya mlima huo
Huu si uongo ni UWONGO. mkikaa kilabuni na kunywa chang'aaa mkalewa mnaanza kusifiana ujinga kama huu
 
Mimi babu yangu miaka hiyo alipokuwaga Williamson diamond mwadui anakuambia wazungu walikuwa wanapiga matambiko ya maana hadi kutoa sadaka,chinja sana mbuzi huko
Matambiko waafrika tunayapoteza wenyewe,kwa kuleta dharau
Wazungu wenyewe wana rituals zao
Wanafanya

Ova
Weeeeeeh.... Sema kweli
 
Sasa milima imeahanyeshwa damu na kula nyama miaka na miaka imeshiba sasa imeamua kutapika..yani imevimbiwa
 
Back
Top Bottom