Kwa maafa ya Hanang' serikali iwe inasikiliza wazee

Kwa maafa ya Hanang' serikali iwe inasikiliza wazee

Pikiniki ya kwenda kupiga pombe na nyama huko mlimani ikatibuliwa na askari wa misitu. Mlima ukakasirika na kuangukia mji.
Wazee wa kikombe wengi bado wapo kupotosha watu.
 
Mimi babu yangu miaka hiyo alipokuwaga Williamson diamond mwadui anakuambia wazungu walikuwa wanapiga matambiko ya maana hadi kutoa sadaka,chinja sana mbuzi huko
Matambiko waafrika tunayapoteza wenyewe,kwa kuleta dharau
Wazungu wenyewe wana rituals zao
Wanafanya

Ova
Kuna ishu ya kuhamisha masalia ya kaburi kutoka sehem moja kwenda kwingine...tambiko lake ni hatari nimewai kushudia moja ilo! unahamisha mifupa na mizimu ukikosea masharti unajikuta umeacha mizimu umeondoka na mifupa mitupu..hatari
 
WAAFRIKA TUNA IMANI ZETU, WAARABU NA WAZUNGU WAKATUKATAZA KUFUATA DINI ZETU, WAKATULETEA ZA KWAO WAKASEMA DINI YAO NDIYO NZURI NA YETU WAKAITA USHENZI, AJABU NA SISI TUKAONA KWELI DINI YETU NI USHENZI, TUKAONA UKRISTO NA UISLAM NDIZO DINI ZA MUNGU.
#Tujitafakari.
Ajabu tumelishwa imani zao kiasi tunaweza hata kupigana na kuuana kwa kuzitetea imani zao.
 
Mlima unanguruma kama tumbo la njaa siyo.
 
Una
Kuna ishu ya kuhamisha masalia ya kaburi kutoka sehem moja kwenda kwingine...tambiko lake ni hatari nimewai kushudia moja ilo! unahamisha mifupa na mizimu ukikosea masharti unajikuta umeacha mizimu umeondoka na mifupa mitupu..hatari
Unaweza kuelezea kwa undani mkuu?
 
Asante kwa Bandiko lenye imani za mizimu ndani yake.

ACHA IMANI POTOFU MKUU

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Nashangaa wasomi uchwala wafia dini. Hivi kuna dini ambayo haimini mizimu, nini maana holly Gost ama roho mtakatifu.? Na je hao mitume mnaoaminishwa wapo hai ama walikufa
 
Wakuu,kwa taarifa nilizozipata mlima Hanang' hua unautaratibu wa kufanyiwa matambiko,

Mlima ulianza kuunguruma tangu mwezi wa Tisa ,wazee wa mlima Hanang' wanajua ulikua unaashiria Nini

Mlima huo unapoanza kutoa ngurumo na kutikisika wazee hua wanajua unaashiria Nini

Kikawaida hua wanapanda mlimani wazee wa kibarabaigi huufanyia matambiko kwa kuchinja ng'ombe,pombe na hatimie mizimu husikia na kutulia

Kilichotokea Hanang' mlima ulianza kuunguruma Toka mwez wa 9 na kutikisika kidogo,kama kawaida ya Mila na desturi lazima tambiko lifanyike

Wazee wakajipanga wakati wanaenda mlimani wakakutana na watu wa misitu(maliasili) wakafukuzwa milimani

Wazee waliapa kitachotokea mwaka huu lazima nchi itikisike ,baada ya siku 3 likatokea la kutokea watu zaidi ya 80 wamekufa

Hakuna Cha mudflow,land slide,debris flow ,ni kukaidi Mila na desturi za eneo husika zisifanyike ,

Chonde chonde serikali,YA KAISARI MUWAACHIE YA KAISARI ,yakwenu fanyeni yenu,

Tumepoteza watu wengi kisa tunajifanya hatujui Mila na desturi za eneo husika

Kama unabisha waulize watu wa Hanang' asili ya mlima huo
Hakuna Cha mudflow,land slide,debris flow ,ni kukaidi Mila na desturi za eneo husika zisifanyike ,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"" Tutakapofanikiwa kujikomboa kifikra dhidi ya dini tulizoletewa na wakoloni, hapo ndipo tutapoionyesha dunia sisi ni nani,na huu ndiyo utakuwa ukombozi wa kweli wa mwafrika, yaani, ameweza kujitambua na kujielewa!""
Ni ngumu mno kuuondoa utumwa huu,una mizizi iliyoenda mbali mno.
#By crocodiletooth.
 
Wakuu,kwa taarifa nilizozipata mlima Hanang' hua unautaratibu wa kufanyiwa matambiko,

Mlima ulianza kuunguruma tangu mwezi wa Tisa ,wazee wa mlima Hanang' wanajua ulikua unaashiria Nini

Mlima huo unapoanza kutoa ngurumo na kutikisika wazee hua wanajua unaashiria Nini

Kikawaida hua wanapanda mlimani wazee wa kibarabaigi huufanyia matambiko kwa kuchinja ng'ombe,pombe na hatimie mizimu husikia na kutulia

Kilichotokea Hanang' mlima ulianza kuunguruma Toka mwez wa 9 na kutikisika kidogo,kama kawaida ya Mila na desturi lazima tambiko lifanyike

Wazee wakajipanga wakati wanaenda mlimani wakakutana na watu wa misitu(maliasili) wakafukuzwa milimani

Wazee waliapa kitachotokea mwaka huu lazima nchi itikisike ,baada ya siku 3 likatokea la kutokea watu zaidi ya 80 wamekufa

Hakuna Cha mudflow,land slide,debris flow ,ni kukaidi Mila na desturi za eneo husika zisifanyike ,

Chonde chonde serikali,YA KAISARI MUWAACHIE YA KAISARI ,yakwenu fanyeni yenu,

Tumepoteza watu wengi kisa tunajifanya hatujui Mila na desturi za eneo husika

Kama unabisha waulize watu wa Hanang' asili ya mlima huo
Mlima hanang iliumbwa na Mungu.

Mwenye kustahili Ibada ni Mungu pekee.

Wazee hao wachawi ndo chanzo Cha Umaskini wa Watanzania, watu wa Giza.

Wapotezwe kabisa.
 
Asante kwa Bandiko lenye imani za mizimu ndani yake.

ACHA IMANI POTOFU MKUU

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Naamini wewe ndiye unaimani potofu. huyu anaongelea Imani ya asili yake. Kumbuka hapo watu waliku wanapajua kuwa Pana volcano, na utaratibu wake wa kuituliza kwa asili.
 
Mlima unanguruma kama tumbo la njaa siyo.
Yaani hata taarifa hukuskia kwenye vyombo vya habari waathirika walivyohojiwa asubui waliskia sauti ya muungurumo kama volcano,nyinyi mnoishi kwa niaba ya hisani ya Facebook,Instagram, TikTok mnashida
 
M
Marekani tu mpaka leo red Indians wanaendeleza mila zao,na wamarekani wanaitambua mila zao

Wakati msiba wa malkin uliona wale askari wakiwa na mbuzi,wee endelea kusema kusema ohh mila potofu

Hivi unajuwa wakati wazungu wako shinyanga mwadui kwenye almost
Huko walikuwa wanafanya matambiko

Nyie endeleeni kuleta dharau

Ova
Mkubwa wa kaz watoto hawaezi kukuelewa
 
Watakwambia mtakatifu yesu alikataa matambiko ya mizimu ya mababu, alafu ukikaa ukifikiri utagundua yesu na watakatifu wenzie nao ni mizimu ya kiyahudi tu sema wamepewa majina mazuri.
Umeongea vema sana Mkuu. Naye ni Mzimu sema ukiwaleza wafia dini. Mmoja nimeona anasema Acha Imani potofu, nikajiuliza mwenye Imani potofu yupi anaeabudu Mila zake au anaeabudu za wazungu, yupi amepotoka kiimani.?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom