Kwa maafa ya Hanang' serikali iwe inasikiliza wazee

Mkuu ungemuacha tu yeye anaona mizimu ya kiyahudi na kiarabu ndio ya kisasa yakwao anasema ni ushamba na huyu ni msomi anayetakiwa kulivusha taifa.
 
Mkuu ungemuacha tu yeye anaona mizimu ya kiyahudi na kiarabu ndio ya kisasa yakwao anasema ni ushamba na huyu ni msomi anayetakiwa kulivusha taifa.
Mimi babu yangu miaka hiyo alipokuwaga Williamson diamond mwadui anakuambia wazungu walikuwa wanapiga matambiko ya maana hadi kutoa sadaka,chinja sana mbuzi huko
Matambiko waafrika tunayapoteza wenyewe,kwa kuleta dharau
Wazungu wenyewe wana rituals zao
Wanafanya

Ova
 
Nimewahi kuskia Serikali haiamini uchawi ushirikina,imani za hivyo SA inakuwaje hapo mkuu!
 
Nakuelewa sana, narudia tena nakuelewa mno tusipuuze asili yetu
 
Ngoja nikachukue mafuta kwa mwamposa nitarudi cc. Donatila
 
Unachosema nilishakisikia wiki iliyopita na pia waliofariki ni zaidi ya watu mia 2 lakini serikali inatangaza miili iliyopatikana...maiti zimeoza na kuna hatari ya magonjwa ya mlipuko....
 
Unachosema nilishakisikia wiki iliyopita na pia waliofariki ni zaidi ya watu mia 2 lakini serikali inatangaza miili iliyopatikana...maiti zimeoza na kuna hatari ya magonjwa ya mlipuko....
Ndiyo tabia zao kuficha ficha kila kitu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…