Kwa maamuzi haya ya Rais Trump bila shaka Hayati Magufuli alikuwa mbele ya muda

Kwa maamuzi haya ya Rais Trump bila shaka Hayati Magufuli alikuwa mbele ya muda

Una akili ndogo sana. Ok.
1. Kujitegemea na covi 19 zinahusiana vipi ? Hata hivyo badala ya kuchanja alisema peta hivyo hivyo immunity yako inatosha
Tuanzie hapa ili tumjue mwenye akili ndogo , katika watanzania 60 M walisema hawataki chanjo?

Hiyo joint statement nani alitumwa awasemee, je hujiulizi baada ya Magufuli kufa chanjo zikaingia waliochanjwa kwani walikodiwa kutoka Malawi ?
2. Unadhani Covi 19 haukuwa mradi? Mbona dunia sasa haihangaiki na ujinga huo?
Thibitisha Covid-19 ulikuwa mradi.

Weka hapa rejea 5 katika vyanzo vinavyoaminika ikiwemo shirika la afya duniani.
3. Sasa ARV utakosa tuone utakula vocha gani
Mimi nimesema wapi ninatumia ARV halafu wewe nani alikwambia ARV ni chakula hadi mtu ale?
4. Afrika jipange kujitegemea acha kuomba omba utaolewa.
Rudia kusoma ulichoandika huko juu na hapa namba 4 uone kama utaelewa ulichoandika.
Kama umechafukwa njoo na povu
Hizi lugha sio jukwaa lake , peleka mahali pake sio hapa.
 
Tuanzie hapa ili tumjue mwenye akili ndogo , katika watanzania 60 M walisema hawataki chanjo?

Hiyo joint statement nani alitumwa awasemee, je hujiulizi baada ya Magufuli kufa chanjo zikaingia waliochanjwa kwani walikodiwa kutoka Malawi ?

Thibitisha Covid-19 ulikuwa mradi.

Weka hapa rejea 5 katika vyanzo vinavyoaminika ikiwemo shirika la afya duniani.

Mimi nimesema wapi ninatumia ARV halafu wewe nani alikwambia ARV ni chakula hadi mtu ale?

Rudia kusoma ulichoandika huko juu na hapa namba 4 uone kama utaelewa ulichoandika.

Hizi lugha sio jukwaa lake , peleka mahali pake sio hapa.
Watakaosoma watakuelewa. PERIOD
 
Tuanzie hapa ili tumjue mwenye akili ndogo , katika watanzania 60 M walisema hawataki chanjo?

Hiyo joint statement nani alitumwa awasemee, je hujiulizi baada ya Magufuli kufa chanjo zikaingia waliochanjwa kwani walikodiwa kutoka Malawi ?

Thibitisha Covid-19 ulikuwa mradi.

Weka hapa rejea 5 katika vyanzo vinavyoaminika ikiwemo shirika la afya duniani.

Mimi nimesema wapi ninatumia ARV halafu wewe nani alikwambia ARV ni chakula hadi mtu ale?

Rudia kusoma ulichoandika huko juu na hapa namba 4 uone kama utaelewa ulichoandika.

Hizi lugha sio jukwaa lake , peleka mahali pake sio hapa.
Weka hapa rejea ya watanzania wangapi walichanjwa hiyo chanjo yako
 
Una akili ndogo sana. Ok.
1. Kujitegemea na covi 19 zinahusiana vipi ? Hata hivyo badala ya kuchanja alisema peta hivyo hivyo immunity yako inatosha
2. Unadhani Covi 19 haukuwa mradi? Mbona dunia sasa haihangaiki na ujinga huo?
3. Sasa ARV utakosa tuone utakula vocha gani
4. Afrika jipange kujitegemea acha kuomba omba utaolewa.
Kama umechafukwa njoo na povu
Umemjibu vyema sana
 
Uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump kuanzia mwaka 2025 kuzilazimisha nchi za Afrika kujitegemea kupitia kuzinyima misaada mbalimbali umeshaabiana na Uamuzi wa Rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli kuanzia mwaka 2015-2020 kuilazimisha Tanzania kuacha kutegemea misaada ya mabeberu na badala yake watanzania wajitegemee kupitia kujenga viwanda vyao.

Hayati Magufuli alikataa hata misaada ya mawazo kutoka kwa mabeberu aliposema kuwa katika kipindi chake Tanzania haitakuwa nchi ya kukopi na kupaste kutoka kwa mabeberu. Chukulia mfano suala la Corona.

Sasa hivi watanzania hawana wasiwasi hata tukinyimwa misaada maana tulishafundishwa na Magufuli kuwa watanzania tunaweza na nchi yetu ni tajiri.
Maamuzi ya Trump yamechelewa sana, yalitakiwa yawahi ili kukomesha tabia ya viongozi kupanda ndege first class na rundo la wasanii kwenda kuomba misaada kwa mabeberu.
Pesa za ndani ambazo zimefichwa na viongozi waafrica huko nje ya Africa, zinazidi hadi bajeti zetu za ndani kwa mwaka.

Na mzungu siyo Fala akukopeshe pesa yake, anacho fanya ni pesa zile zile ambazo viongozi waafrica wanaficha nje, wao wanazirudisha kuzikopesha nchi nchi hizo za Africa tena kwa riba kubwa, maana ulaya huwezi weka pesa ako benki eti ikae tu isizungushiwe biashara.

Tafsiri yake ni nini, tafsiri ni kwamba viongozi wengi waafrica kwa sababu ya kukosa akili na kuendekeza maslahi binafsi wanajiibia wenyewe kupeleka pesa ulaya na marekani alafu zinarudishwa zile zile kukopeshwa sisi.
 
Kuna kibibi kinapenda kuomba na kukopa kama kimezaliwa tumbo moja na matonya.

Hicho hakiwezi kuacha kuomba na kukopa.

Kinavyopenda vijihela, kitaenda kuomba hata kusikoombeka. Kinaweza kwenda kuomba hata Somalia.
 
Kuna kibibi kinapenda kuomba na kukopa kama kimezaliwa tumbo moja na matonya.

Hicho hakiwezi kuacha kuomba na kukopa.

Kinavyopenda vijihela, kitaenda kuomba hata kusikoombeka. Kinaweza kwenda kuomba hata Somalia.
Hahaha
 
Kwa nini Watanzania wote million 63 hawakuchanjwa?
Jibu swali hao waliochanjwa ni kutoka Burundi?

Bila kunyimwa haki yao kwa chanjo kuzuiwa wangechanya wapi ?

Ndio maana chanjo ilipofika wakuchajja walichanja kwa hiyari yao na wasiotaka hawakuchanja.
 
Ndio utofauti wa mawazo yeye kaongelea mikopo mimi nimeongelea COVID -19, Magufuli aliwakosesha waliohitaji chanjo hii haikukabaliki.

Na kwenye hiyo mada COVID -19 imetajwa , hutaki tuchangie ?

Pole sana, wewe na mleta mada bado hamjakubali kuwa yule mungu wenu harudi tena sishangai bado mpo hatua za mwisho kufikia ile stage ya acceptance.
Cheti feki! umekaa sumu na hasira, chuki na njaa dhidi ya marehemu
 
Cheti feki! umekaa sumu na hasira, chuki na njaa dhidi ya marehemu
Kila mtu akiongelea ujinga wa yule mwehu mnasema ni cheti feki.

Kama aliwaaminisha hakopi anatumia pesa za ndani mkaamini basi hata kila anayemkosoa mtasema ni cheti feki.
 
Uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump kuanzia mwaka 2025 kuzilazimisha nchi za Afrika kujitegemea kupitia kuzinyima misaada mbalimbali umeshaabiana na Uamuzi wa Rais wa tano wa Tanzania hayati Magufuli kuanzia mwaka 2015-2020 kuilazimisha Tanzania kuacha kutegemea misaada ya mabeberu na badala yake watanzania wajitegemee kupitia kujenga viwanda vyao.

Hayati Magufuli alikataa hata misaada ya mawazo kutoka kwa mabeberu aliposema kuwa katika kipindi chake Tanzania haitakuwa nchi ya kukopi na kupaste kutoka kwa mabeberu. Chukulia mfano suala la Corona.

Sasa hivi watanzania hawana wasiwasi hata tukinyimwa misaada maana tulishafundishwa na Magufuli kuwa watanzania tunaweza na nchi yetu ni tajiri.
Maamuzi ya Trump yamechelewa sana, yalitakiwa yawahi ili kukomesha tabia ya viongozi kupanda ndege first class na rundo la wasanii kwenda kuomba misaada kwa mabeberu.
"Na Mimi nataka niseme, watanzania mtanikumbuka. Na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya. Kwasababu nime sacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
"Na Mimi nataka niseme, watanzania mtanikumbuka. Na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya. Kwasababu nime sacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
Ni kweli tunakumbuka
 
wewe ndio punguani usiyeweza hata kusoma nyakati
 
Back
Top Bottom