Kwa machungu nasema 'Kwaheri mji wangu Dar es Salaam'

Kuna tofauti na nyinyi mliokulia mikoani na kuja mjini kwa masomo au kazi na kulowea
Na pia inafanana kama leo ukirudi mkoani kwenu nakukuta hakuna unayemjua
Mimi niliishi maisha yangu yote ya ujana sehemu moja tu niliyokulia, na baada ya hapo niliiondoaka
Kwa hiyo hiyo sehemu ni sehemu kubwa sana ya maisha yangu nilikuwa na marafiki na ndugu tuliokuwa tunaongelea maisha ya usoni kama utani na wengi walikuwa na ndoto ya kuondoka kwenda dunia nyingine kuanza maisha.
Unaonekana ni mzee wa makamo kwenye avatar yako lakini mgumu kuelewa hata maudhui ya ujumbe mdogo sana
 
Mkuu hata hapo Kendrick road by the time naondoka nilishaanza kuwa mgeni. Unaenda kwenye mikusanyiko ya kijamii unakuta asilimia 80 huwajui halafu wao wanajuana. Wale mliokuj a mwanzo wengi wameondoka kabisa au wamehama mji. Waliobaki wako busy na kazi na familia. Kwahio unachopitia ni hali ya kawaida kabisa.
 
Asante mkuu
Umenielewa vizuri sana
Kwa kweli hii ndio kuanza maisha mapya ya miaka ya kati.
Sijui ndio hivi wazungu wanaita midlife crisis 😀
Hahaaa kwa kiasi fulani Ila unachopitia kipo normal kabisa

Ni sawa na mimi nirudi mtaa nilioishi miaka 20 iliyopita ni lazma nikutane na replacement ya watu maana wa umri wangu wengi wameshaondoka na waliopo hawanijui.

Probably na wachache nitaokutana nao lazma mabadiliko yatakuwepo kwa sababu pengine nao pia wana watu wao wapya hivyo, lazma tuwe na common ground or interest ya kutufanya tubond tena. La sivyo, hakutoendelea mawasiliano
 
Mimi sikumbuki jitu hata moja na wala simiss kitu...nasonga mbele

kwanza nikifika hapo Dar nakausha hata home sifiki..tatizo ukifika mizinga ya kutosha mpaka luku...
 
Mhhh,na Kuna majumba yako katikatinhapo poa yako empty bila watu,alieuza ovyo viwanja masaki na oysterbay anatakiwa ajibu tuhuma za kuchafua ushuani
 
Theories za kiujana. Hatoki mtu Dar
 
washikaji niliokuwa nao wengi hata majina siwakumbuki, sasa sijui huo upweke utatoka wapi? Wewe mwenzetu kwani miaka yote hiyo nje huna marafiki huko nje au familia?mimi Dar nikiingia Nakunywa na yeyote ninayemkuta counter
Unatengeneza marafiki wapya kila siku mkuu. Bila ubaguzi.
 
Masaki umesoma shule gani? Hebu jiupdate ndugu watu wa Dar tunakutana kitambaa cha cheupe na samaki samaki, ukitaka kulita yenu huku kuna Bogos huku Ngwasuna huku Twanga, huo upweke unakujaje?

Tafuta pesa hivyo vingine ni visingizio tu.
 
Kuna uwezekano huyu mjuba hana familia
 

Kuna uwezekano huyu mjuba hana familia
Hivi mmesoma posti yangu ya kwanza na kuilewa?
Au mmekurupuka tu
 

Ujinga
 
Urudi kufanya nini tena huko kigamboni uletee watu tabu tu.
Kuna swala ushawai kuulizwa kwamba miaka yote hiyo ughaibuni umerudi una nini?
Andaa majibu.
 
Ukiwa mtu wa ibada hasa muislamu, basi marafiki zako watakuwa unaofanya nao ibada msikitini na baada ya swala hasa muda wa jioni mnapata kahawa na kubadilishana mawazo.
Nan amekudanganya huko utapata aman na marafiki?,hakuna watu wanafiki kama waumini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…