Kuna siku nyingine nilikuwa nakwenda twn ASUBUHI, nikakuta kuna GARI NDOGO imepinduka MAENEO YA KIMARA KOROGWE ni kitambo kiasi,,,wakati ule BARA BARA ya MOROGORO ilikuwa bado ni MOJA,,,before hii Barabara ya MWENDO KASI KUJENGWA,,,majira kama SAA MOJA asubuhi,,,ndipo nikaona watu BADO WANASHANGAA I GARI NDOGO ILIYOPATA AJALI,,,,yaani gari ilikuwa chini kwenye korongo kabisa,,halafu imepondeka vibaya,,,ikabidi nijisogeze kwenda KUSHUUDIA NINI kilitokea pale,,,,ndy nikapata HABARI kupitia watu waliokuwa pale,,,kwenye AJALI,,,jamaa KAPINDUKA na GARI,,,na alikuwa PEKE YAKE ndani,,,,,inasemekana jamaa alikuwa ametoka mjini na anaelekea MBEZI NI SAA TISA ZA USIKU,, ,,,kufika maeneo Yale DEREVA WA GARI NDOGO ambaye kwa muda huo alikuwa yupo hospital,,,,,,anasema YEYE ALIONA WATU WENGI wamevaa KANZU na VILEMBA WANAKATISHA BARABARA huku WAMEBEBA JENEZA WANAKWENDA KUZIKA NI KAMA VILE MSIBA WA WAISLAM unavyokuwa WA nakwenda KUZIKA,,,,,yaani GHAFLA TU kaona WANAVUKA BARABARA wakati yeye yupo speed,,,anasema ikabidi AWAKWEPE,,,ndy akaingia KORONGONI,,,,,GARI ilipinduka zaidi ya Mara 3.JAMAA kupona ni bahati tu,,,hakupata majeraha ya kutisha,,,maana alikuwa bado anajieleza,,,kwa hyo wakuu haya mambo yapo usiombe yakukute,,,na wala huna sababu ya KUBISHA JAMBO HUJAWAHI KUKUTANA NALO,,,wewe jiulize Kwanini WANYAMA WENGI wanagongwa USIKU?ni matokeo ya KUAMINI HAYA MAUZAUZA,,sometimes unaweza kuhisi ni MBWA,, JINI ,,,KUMBE NI MNYAMA KWELI,,,DEREVA makini huwa USIKU hakukwepi...
Sent using
Jamii Forums mobile app