Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

Kuna siku nyingine nilikuwa nakwenda twn ASUBUHI, nikakuta kuna GARI NDOGO imepinduka MAENEO YA KIMARA KOROGWE ni kitambo kiasi,,,wakati ule BARA BARA ya MOROGORO ilikuwa bado ni MOJA,,,before hii Barabara ya MWENDO KASI KUJENGWA,,,majira kama SAA MOJA asubuhi,,,ndipo nikaona watu BADO WANASHANGAA I GARI NDOGO ILIYOPATA AJALI,,,,yaani gari ilikuwa chini kwenye korongo kabisa,,halafu imepondeka vibaya,,,ikabidi nijisogeze kwenda KUSHUUDIA NINI kilitokea pale,,,,ndy nikapata HABARI kupitia watu waliokuwa pale,,,kwenye AJALI,,,jamaa KAPINDUKA na GARI,,,na alikuwa PEKE YAKE ndani,,,,,inasemekana jamaa alikuwa ametoka mjini na anaelekea MBEZI NI SAA TISA ZA USIKU,, ,,,kufika maeneo Yale DEREVA WA GARI NDOGO ambaye kwa muda huo alikuwa yupo hospital,,,,,,anasema YEYE ALIONA WATU WENGI wamevaa KANZU na VILEMBA WANAKATISHA BARABARA huku WAMEBEBA JENEZA WANAKWENDA KUZIKA NI KAMA VILE MSIBA WA WAISLAM unavyokuwa WA nakwenda KUZIKA,,,,,yaani GHAFLA TU kaona WANAVUKA BARABARA wakati yeye yupo speed,,,anasema ikabidi AWAKWEPE,,,ndy akaingia KORONGONI,,,,,GARI ilipinduka zaidi ya Mara 3.JAMAA kupona ni bahati tu,,,hakupata majeraha ya kutisha,,,maana alikuwa bado anajieleza,,,kwa hyo wakuu haya mambo yapo usiombe yakukute,,,na wala huna sababu ya KUBISHA JAMBO HUJAWAHI KUKUTANA NALO,,,wewe jiulize Kwanini WANYAMA WENGI wanagongwa USIKU?ni matokeo ya KUAMINI HAYA MAUZAUZA,,sometimes unaweza kuhisi ni MBWA,, JINI ,,,KUMBE NI MNYAMA KWELI,,,DEREVA makini huwa USIKU hakukwepi...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mawenge yake tu. Unafanya mchezo na usingizi vikichanganyika na giza!
 
Yupo jamaa mmoja BODA BODA mtaani KWETU,, hadi Leo akili zake hazijatulia,,,alikuwa na MAZOEA YA KUKESHA USIKU KUCHA ANABEBA ABIRIA,,,siku MOJA SAA NANE ZA USIKU,,kambeba DADA mmoja NA MTOTO MDOGO mgongoni,,,Yule Dada amezuka tu njiani akasimaisha BODABODA,,akamwambiya amsaidie kumpeleka sehemu Fulani,,,amegombana na mumewe kwa hyo amsaidie ampeleke kwa wazazi wake,,,kama kawaida jamaa akamtajia KIASI CHA PESA,,,akambeba yule Dada na mwanae,,,kwa kawaida wakati wa safari kuna kuwa na story zinapigwa kati ya abiria na DEREVA WA BODABODA,,, ili kifupisha safari,,jamaa anakwambiya kama dk 5 walikuwa wanaongea na abiria wake huku wanaelekea anapotaka kwenda yule Dada,,baada ya Kama dk 5 zingine mbele jamaa akajiona mbona naongea muda wote hasikii MTU kumuiitikia?anafika sehemu anageuka nyuma haoni MTU kwenye BODABODA,,, basi jamaa alianguka pale pale,,,alikuja kuokotwa ASUUHI,, na BODABODA WENZIE MAPORINI huko,,,hadi Leo DISHI HALIPO SAWA,

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa ni mzembe kabisa. Alifika kwenye korongo pikipiki ikaruka dada wa watu akadoka bila yeye kujua.
 
ha h
Kuna siku ilikuwa 2007. Nikitoka Arusha kwenda Dar saa Saba Nane usiku nilikuwa napita maeneo ya kwedikwazu. Kuna mahala Barbara imenyooka Sana Basi nikawa natembea speed 100-120.
Kuna mrembo mmoja mdada akawa anasimamisha gari akiomba lift. Nikapiga taa kubwa kumwona vizuri mrembo haswaa, sikusimama nikanuoosha goti, huku najiuliza huyu anaenda Wapi saa hizi,. Bwana ile nampita kwa speed ile alinipiga busu Mara tatu hapo dirishani. Maana sikuwa nimefunga madirisha ili nipigwe upepo nisilale. Nilifika dar Sina raha kutwa nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha haaa
 
Hiyo kawaida kabisa kwa sisi tunao safiri safari kila mkoa mara nyingine unamkuta bibi tena yule unaemfaham lakini alishakufa au mbabu na bakora mkononi wakati mwingine unaona picha ya jeneza kabisa limefunguliwa na sanda ipo au mtoto mdogo anatambaa yaani tushazoea wala hofu ile haipo tena.
Onyo.ukiona vitu kama hivyo usijaribu kukwepa au kushika break inakula kwako.
Mi kukna siku naenda dodoma niko na ford new model kuna kizee kilitokea vichakani kikasimama ghalfa barabarani haki ya (mungu mungu nisamehe)nilikaza mikono kushika steling vizuri nilimpa nikafumba macho ili nisione ninavyoua huwezi amini nilimpita na sikusikia kishindo chochote na nilienda mbele kama 4 klmtrs nikapaki gari kuangalia sikuona tatizo kwenye gari na niliendekea nabsafari yangu bila presure.
Hiyo nikumbana nayo njia hiyo ya dodoma moro pale panda mbili
Usiku saa 8 nimetiririka kama kombeo mtu anatembea kwenye mstari wa katikaka na mimi nilikia nimeweka gar kati kutokana mwendo mkali
Sikuweza fanya chochote zaid ya honi na kupiga full light

Tulikua wawil wote tuliona but tulipomfika huyo binadam kama mita 2 alipiga nyuzi 90 kushoto kama umeme na sisi tukapita

Tulibak na maswal mpaka tumefika

Nilikua nasikia hivi vitu kumbe bado vipo





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahhahahaaaa Huu uzi umenikumbusha kitu. Siko upande wa mauza uza ila nilifahamiana na dereva mmoja wa malori wa kukatiza nchi kama 4 hivi barani Africa. Siku moja tukiwa Bukoba akawa ananisimulia vitu anavyokutana navyo barabaeani kama dereva mchana na usiku.

Kikubwa wizi, majambazi na majangiri kuna eneo ukiacha kioo wazi wanakutupia kopo la nyuki au nyoka. Ndani ya Salina kadhaa lazima usimamishe gari kama so kulidondosha. Kifuatacho ni kupakua mizigo kisha wanakuacha uwe mzima ah umeumia hawana habari na wewe kisha wanapotelea maporini.

Kuna moja hiyo nilicheka nusura nijikojolee, naomba nisimulie kisa chenyewe kama alivonisimulia.

Jamaa yangu miaka hiyo aliajiriwa kwenye kampuni ya usafirishaji mizigo ya mwarabu mmoja wa mwanza japo alikuwa dereva tayari na alijua kuendesha. Wakiondoka na mzigo tajiri aliwaasa njiani kuna majambazi na majangiri na hawaishii kuiba tuu wanabaka pia aka kuwasodomise. Kweli wakaondoka na dreva wake kufika katikati ya pori wakawekewa kizuizi na majangiri dereva akashuka kujaribu kuwasihi wawaachie wapite na Yule utingo alibaki kwenye gari. Wakaja wakamshusha utingo wakawaambia mkitaka muende na mzigo tunachukua roba moja na tunambaka mmoja wenu. Daah wakiwa na hamaki wakasema tumshughulikie dereva utingo Rudi kwenye hadi fastaa. Kweli dereva akashughulikiwamaana aliendesha kwa tabu sana mzigo ukafika salama lakini hawakupata mzigo wa kurudi nao hivi hawakuwa na hela Yaani lori lilirudi tupu.

Siku wanarudi na mwanza yule dereva alimwambia utingo, endesha wewe mimi nipumzike kufika pori lilelile wakasimamishwa na majangiri walewale wakasema, mnarudi haya leo tumshughulikie utingo dereva pumzika, bila kusubiri wakaenda upande wa abiria wakamshusha yule jamaa na kumsodomise tena......(wakati ananisimulia nilicheka hatariii)

Yule dereva kufika kwa mwarabu akarudisha funguo kazi imemshinda.

Kisa kingine alichokutana nacho huyo jamaa yangu safari za mwanza bukoba hadi mpakani Uganda akiwa bado utingo alipata dereva ambae mkewe alikuwa na wivu balaa halafu mzigo na mtata. Maana siku majangiri wanaobaka wakiwepo kwenye pori mojawapo huwa malori wanaambiana na kukaa vituo eneo kabla ya pori na wakiondoka basi safari huendelea. Ilimpa wakati mgumu maana alimuaga mkewe naondoka jumatatu tunarudi alhamis Ila wakikutana na changamoto kama hizo za kuwakwepa majangiri wabakaji anakaa muda mrefu zaidi matokeo yake mkewe anahisi amepita nyumba ndogo. Akirudi hata na zawadi bado anakuwa na kibarua cha kumuelewesha mkewe kuwa kazi yao ni ngumu na mambo wanayokutana nayo barabarani hawezi kuelezea yote.

Siku ya siku mkewe akamwambia leo tutasafiri wote nione hizi changamoto mnazokutana nazo. Akamsihi sana mkewe bakii mkewe kagoma basi kishingo upande jamaa akakubali mkewe wasafiri wote. Hamad kati ya pori majangiri wabakaji hasa hapa, wakawashusha wote, wakasema leo mna mwanamke.... Basi nyie rudini kwenye gari leo acha tufaidi mbele na nyuma. Dereva machozi yalimtoka akiahidi day la hela kubwa Hata akope waapi sanasana aliambulia kupigwa na ubapa wa mapanga mgongoni. Mkewe kuona mmewe anataka kuuwawa, analogs kelele, basi muacheni navua nchi zote, walipomaliza mke karudi kwenye gari hoiii. Walipofika walikokuwa wanapeleka mzigo, mke akamwambia dereva, mume wangu nisamehe kweli kazi yenu in a changamoto, pole sana. Naomba nirudi na basi nyie hata mkikaa wiki mbili sina wivu tena. Alikuwa mpole maana alihisi jamaa atamuacha. Dereva akamwambia tulia tunarudi wote uzuri saa ya kurudi pori lilikuwa shwari.

Safari moja kwenye vilima vya iringa kuna maiti ya mwizi mmoja wa mizigo ya malori walimkamata wamapiga hadi akafa halafu wakamuweka kwenye kilima chenye kina kali yaani ukija na gari unastukia huyu hapa alikanywagwa na magari hadi akapotelea kwenye lami. Hilo eneo pakajaa mafuta meusiii.....

Kasinde.
Hii fix anayokupiga inashindana na hekaya za Abunuas! Kama uliamini ni kweli basi wanasiasa kazi rahisi sana ya kuendelea kutudanganya!
 
Kuna ndugu yangu mmoja anaendesha magari makubwa, ilikua trip ya kutoka wilayani kuelekea mwanza (approx 200Km)
alianza safari saa 12 jioni mpaka kunakucha hajafika alikua anakutana na barabara nyingi ambazo akizifuata zinaishia mitoni
wachawi pumbavu zao
Ha ha hii ipo shinyanga sana

Tembea uwone

Nilipotea mahali napoenda kila siku mpaka kukakucha,
Watoto wa shule ndio wakanilekeza njia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahhahahaaaa Huu uzi umenikumbusha kitu. Siko upande wa mauza uza ila nilifahamiana na dereva mmoja wa malori wa kukatiza nchi kama 4 hivi barani Africa. Siku moja tukiwa Bukoba akawa ananisimulia vitu anavyokutana navyo barabaeani kama dereva mchana na usiku.

Kikubwa wizi, majambazi na majangiri kuna eneo ukiacha kioo wazi wanakutupia kopo la nyuki au nyoka. Ndani ya Salina kadhaa lazima usimamishe gari kama so kulidondosha. Kifuatacho ni kupakua mizigo kisha wanakuacha uwe mzima ah umeumia hawana habari na wewe kisha wanapotelea maporini.

Kuna moja hiyo nilicheka nusura nijikojolee, naomba nisimulie kisa chenyewe kama alivonisimulia.

Jamaa yangu miaka hiyo aliajiriwa kwenye kampuni ya usafirishaji mizigo ya mwarabu mmoja wa mwanza japo alikuwa dereva tayari na alijua kuendesha. Wakiondoka na mzigo tajiri aliwaasa njiani kuna majambazi na majangiri na hawaishii kuiba tuu wanabaka pia aka kuwasodomise. Kweli wakaondoka na dreva wake kufika katikati ya pori wakawekewa kizuizi na majangiri dereva akashuka kujaribu kuwasihi wawaachie wapite na Yule utingo alibaki kwenye gari. Wakaja wakamshusha utingo wakawaambia mkitaka muende na mzigo tunachukua roba moja na tunambaka mmoja wenu. Daah wakiwa na hamaki wakasema tumshughulikie dereva utingo Rudi kwenye hadi fastaa. Kweli dereva akashughulikiwamaana aliendesha kwa tabu sana mzigo ukafika salama lakini hawakupata mzigo wa kurudi nao hivi hawakuwa na hela Yaani lori lilirudi tupu.

Siku wanarudi na mwanza yule dereva alimwambia utingo, endesha wewe mimi nipumzike kufika pori lilelile wakasimamishwa na majangiri walewale wakasema, mnarudi haya leo tumshughulikie utingo dereva pumzika, bila kusubiri wakaenda upande wa abiria wakamshusha yule jamaa na kumsodomise tena......(wakati ananisimulia nilicheka hatariii)

Yule dereva kufika kwa mwarabu akarudisha funguo kazi imemshinda.

Kisa kingine alichokutana nacho huyo jamaa yangu safari za mwanza bukoba hadi mpakani Uganda akiwa bado utingo alipata dereva ambae mkewe alikuwa na wivu balaa halafu mzigo na mtata. Maana siku majangiri wanaobaka wakiwepo kwenye pori mojawapo huwa malori wanaambiana na kukaa vituo eneo kabla ya pori na wakiondoka basi safari huendelea. Ilimpa wakati mgumu maana alimuaga mkewe naondoka jumatatu tunarudi alhamis Ila wakikutana na changamoto kama hizo za kuwakwepa majangiri wabakaji anakaa muda mrefu zaidi matokeo yake mkewe anahisi amepita nyumba ndogo. Akirudi hata na zawadi bado anakuwa na kibarua cha kumuelewesha mkewe kuwa kazi yao ni ngumu na mambo wanayokutana nayo barabarani hawezi kuelezea yote.

Siku ya siku mkewe akamwambia leo tutasafiri wote nione hizi changamoto mnazokutana nazo. Akamsihi sana mkewe bakii mkewe kagoma basi kishingo upande jamaa akakubali mkewe wasafiri wote. Hamad kati ya pori majangiri wabakaji hasa hapa, wakawashusha wote, wakasema leo mna mwanamke.... Basi nyie rudini kwenye gari leo acha tufaidi mbele na nyuma. Dereva machozi yalimtoka akiahidi day la hela kubwa Hata akope waapi sanasana aliambulia kupigwa na ubapa wa mapanga mgongoni. Mkewe kuona mmewe anataka kuuwawa, analogs kelele, basi muacheni navua nchi zote, walipomaliza mke karudi kwenye gari hoiii. Walipofika walikokuwa wanapeleka mzigo, mke akamwambia dereva, mume wangu nisamehe kweli kazi yenu in a changamoto, pole sana. Naomba nirudi na basi nyie hata mkikaa wiki mbili sina wivu tena. Alikuwa mpole maana alihisi jamaa atamuacha. Dereva akamwambia tulia tunarudi wote uzuri saa ya kurudi pori lilikuwa shwari.

Safari moja kwenye vilima vya iringa kuna maiti ya mwizi mmoja wa mizigo ya malori walimkamata wamapiga hadi akafa halafu wakamuweka kwenye kilima chenye kina kali yaani ukija na gari unastukia huyu hapa alikanywagwa na magari hadi akapotelea kwenye lami. Hilo eneo pakajaa mafuta meusiii.....

Kasinde.
Duh..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahhahahaaaa Huu uzi umenikumbusha kitu. Siko upande wa mauza uza ila nilifahamiana na dereva mmoja wa malori wa kukatiza nchi kama 4 hivi barani Africa. Siku moja tukiwa Bukoba akawa ananisimulia vitu anavyokutana navyo barabaeani kama dereva mchana na usiku.

Kikubwa wizi, majambazi na majangiri kuna eneo ukiacha kioo wazi wanakutupia kopo la nyuki au nyoka. Ndani ya Salina kadhaa lazima usimamishe gari kama so kulidondosha. Kifuatacho ni kupakua mizigo kisha wanakuacha uwe mzima ah umeumia hawana habari na wewe kisha wanapotelea maporini.

Kuna moja hiyo nilicheka nusura nijikojolee, naomba nisimulie kisa chenyewe kama alivonisimulia.

Jamaa yangu miaka hiyo aliajiriwa kwenye kampuni ya usafirishaji mizigo ya mwarabu mmoja wa mwanza japo alikuwa dereva tayari na alijua kuendesha. Wakiondoka na mzigo tajiri aliwaasa njiani kuna majambazi na majangiri na hawaishii kuiba tuu wanabaka pia aka kuwasodomise. Kweli wakaondoka na dreva wake kufika katikati ya pori wakawekewa kizuizi na majangiri dereva akashuka kujaribu kuwasihi wawaachie wapite na Yule utingo alibaki kwenye gari. Wakaja wakamshusha utingo wakawaambia mkitaka muende na mzigo tunachukua roba moja na tunambaka mmoja wenu. Daah wakiwa na hamaki wakasema tumshughulikie dereva utingo Rudi kwenye hadi fastaa. Kweli dereva akashughulikiwamaana aliendesha kwa tabu sana mzigo ukafika salama lakini hawakupata mzigo wa kurudi nao hivi hawakuwa na hela Yaani lori lilirudi tupu.

Siku wanarudi na mwanza yule dereva alimwambia utingo, endesha wewe mimi nipumzike kufika pori lilelile wakasimamishwa na majangiri walewale wakasema, mnarudi haya leo tumshughulikie utingo dereva pumzika, bila kusubiri wakaenda upande wa abiria wakamshusha yule jamaa na kumsodomise tena......(wakati ananisimulia nilicheka hatariii)

Yule dereva kufika kwa mwarabu akarudisha funguo kazi imemshinda.

Kisa kingine alichokutana nacho huyo jamaa yangu safari za mwanza bukoba hadi mpakani Uganda akiwa bado utingo alipata dereva ambae mkewe alikuwa na wivu balaa halafu mzigo na mtata. Maana siku majangiri wanaobaka wakiwepo kwenye pori mojawapo huwa malori wanaambiana na kukaa vituo eneo kabla ya pori na wakiondoka basi safari huendelea. Ilimpa wakati mgumu maana alimuaga mkewe naondoka jumatatu tunarudi alhamis Ila wakikutana na changamoto kama hizo za kuwakwepa majangiri wabakaji anakaa muda mrefu zaidi matokeo yake mkewe anahisi amepita nyumba ndogo. Akirudi hata na zawadi bado anakuwa na kibarua cha kumuelewesha mkewe kuwa kazi yao ni ngumu na mambo wanayokutana nayo barabarani hawezi kuelezea yote.

Siku ya siku mkewe akamwambia leo tutasafiri wote nione hizi changamoto mnazokutana nazo. Akamsihi sana mkewe bakii mkewe kagoma basi kishingo upande jamaa akakubali mkewe wasafiri wote. Hamad kati ya pori majangiri wabakaji hasa hapa, wakawashusha wote, wakasema leo mna mwanamke.... Basi nyie rudini kwenye gari leo acha tufaidi mbele na nyuma. Dereva machozi yalimtoka akiahidi day la hela kubwa Hata akope waapi sanasana aliambulia kupigwa na ubapa wa mapanga mgongoni. Mkewe kuona mmewe anataka kuuwawa, analogs kelele, basi muacheni navua nchi zote, walipomaliza mke karudi kwenye gari hoiii. Walipofika walikokuwa wanapeleka mzigo, mke akamwambia dereva, mume wangu nisamehe kweli kazi yenu in a changamoto, pole sana. Naomba nirudi na basi nyie hata mkikaa wiki mbili sina wivu tena. Alikuwa mpole maana alihisi jamaa atamuacha. Dereva akamwambia tulia tunarudi wote uzuri saa ya kurudi pori lilikuwa shwari.

Safari moja kwenye vilima vya iringa kuna maiti ya mwizi mmoja wa mizigo ya malori walimkamata wamapiga hadi akafa halafu wakamuweka kwenye kilima chenye kina kali yaani ukija na gari unastukia huyu hapa alikanywagwa na magari hadi akapotelea kwenye lami. Hilo eneo pakajaa mafuta meusiii.....

Kasinde.
Uandishi zero mkuu kasie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu bhana, Sasa kwa vile hujaona ndo unapinga?
Kama hujawahi kutana na hayo mauza uza si kigezo cha kusema hayapo.
Kimya pia ni akili unaweza ukaambulia hata moja

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwako wewe na wengine mlioquote replay yangu.

MTU aliyepatwa na matatizo ya akili anapoona MTU anamkimbiza au mwingine anasikia sauti zikiongea nae zinakuwapo kweli?? Katika ulimwengu wake na kichwa chake hivyo vitu vipo ila sisi tuliomzungunga hatuvioni.

Kwa wale waliopitia physics kidogo kuna kile kitu barabarani mirage, mwisho wa siku huwa ni real au nini?

Usiku mnakuwa mnasinzia, na ni usingizi usiotulia. You are half asleep, half awake ndio maana huwa mnakuja na stories zisizokuwa na mashiko.

Usiku mwili umechoka.
Usiku mnakuwa waoga, woga wenu, mnakuja na imaginations za ajabu. Kilicho vichwani mwenu ndio macho huona.
Top of that ni sababu zitolewazo na drivers wazembe kujust ajali kuwa umesababishwa na kitu not natural.

yaani motokaa itengenezwe Japan, China ije kurogewa bongo aaaaaaaaah
 
Kuna siku natoka Mtwara nakuja Dar,,,kibabu kimoja,kikiwa na tenga kimeweka bata wawili,Akatuomba lifti anashuka mbagala,,tukamchukua,,chakushangaza ndio safari pekee ambayo nimesafiri bila kukaguliwa hata mara moja,na mbaya zaidi nilikuwa nimebeba MBAO NA Magunia ya Mkaa,,na hii njia yakusini,,ndio inaongoza kwa ukaguzi ,,hasahasa mageti ya maliasili,tulikuwa tukifika kwenye geti la maliasili,tunafunguliwa geti kama waheshimiwa,,,,tunaruhusiwa tu,,,natamani sana huyu babu niwe nambeba kila siku,,,mwisho wa safari babu akatuambia,,msiwe mnazarau watu,,hamjui wanamsaada gani kwenu,,haya safari njema,
Mkuu, huyo babu angekuwepo jirani ningekuwa namkodi katika route zangu za mbao n.a. mkaa, maana sio kwa usumbufu huu getini hata kama documents ziko sahihi.
 
Hakika nisiwe mwongo, nasafiri sana usiku tena pekeyangu sijawahi kuona chochote kitu. Haya ni maneno ya waafrika wenye uoga moyoni na imani za kujumlisha.
Kweli kabisa mimi sina chale wala chanjo, na nasafiri sana usiku.
Tatizo kubwa ni majambazi.
Mi nina kisa cha ukweli, majambazi, au highway robbers.

Nimetoka Dar saa nne na nusu usiku.
Ni miaka takriban 15 iliyopita.
Mwendo ni wa kawaida Dar Chalinze, ile naingia Mdaula magari sasa machache na full light unaona hadi kilometa mbili.
Baada ya njia panda kwenda Ngerengere kwa mbali naona taa nyekundu, dalili ya gari.
Kwa vile sasa mwendo wangu ni kama 130~140km/hr nikalipita gari lile, na naliona Toyota Mark II.
Ile sijaenda kilometa tano naona kwa nyuma kuna gari, full light linakuja wangu wangu, tena likanipita, gari lilelile Mark II, NA LINA WATU WAWILI niliowaona.
Mda hiyo saa usiku, tano na nusu!
Nikaendelea na mwendo wangu ila nikaongeza mwendo.
Wale jamaa nafikiri nia ni kunisimamisha, lakini nikaongeza mwendo sasa 165~170km/hr!
Nikalipita!
Do, jamaa nikaanza kufikiria, jambazi lazima kumsurprise, akikuwahi yeye, basi bahati yako mbaya.
Ikaja kona tukapunguza mwendo, ila nami nikatoa 9mm mguu wa kuku.
Nikasubiri ili sasa jamaa anipite.
Kweli jamaa akakanyaga mafuta, wakati ana nipita , nikaongeza spidi kidogo ili tuwe sambamba, nikafungua dirisha na kumwelekeza mtutu.
Ee bwana kabla sijakamua, nikasikia kabisa abiria akimwambia mweziwe... twende... twende ...twende!
Mark II ili paa, na sikuiona tena hadi nafika Morogoro.
Usafiri kafiri!
 
bora uliona mtu. Wkati mwingine unaona ndege tu lakini yanayofuata utajuta
 
Hixo.km kawa... kuna shem wangu alinihadithia kuwa pale wami mara nyingi huwa anakutana na wanyama hasa kundi la mbuzi weeengiii wanavuka barabara haliishi yaan ukisema uwakwepe au uwangojee hao unalooo mwendo ni kunyooosha tuu mguuh na linapitea lile kundi..
 
Back
Top Bottom