Fast Forward
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 551
- 709
Mimi mkasa wangu ulinitokea bwawani eneo la darajani, ilikuwa kama saa 6 usiku alitokea mwanamke mrefu
kavaa gauni jeupe na kuingia
barabarani. kwa ghafla na kisha kuanza kunisimamisha huku
akiingia barabarani mwili wangu pamoja na nywele ulisisimka huku nikikumbuka
hapa nikiyumbishwa ni ajali mbaya maana mbele kuna gari zinakuja kwa kasi nyuma yangu pia gari zinakuja kwa kasi
Baada ya hapo wala sikuona kama nimemgonga au kukimbilia upande wa pili wa barabara
Ukitaka kuona haya mambo tembea sana safari za usiku na pia huwa kuna maeneo yanajulikana kwa visa hivyo
Pia kuna baadhi ya vitu huwa vinakutokea lakini uhalisi wake huwa unatokana na uchovu (fatigues)
Barabarani kuna mambo mengi mengine ni tabia za watu hupenda kusifiwa hata kama kitu kipo nje ya uwezo wake, atalazimisha kufanya ili ionekane huyu jamaa ni kiboko
kavaa gauni jeupe na kuingia
barabarani. kwa ghafla na kisha kuanza kunisimamisha huku
akiingia barabarani mwili wangu pamoja na nywele ulisisimka huku nikikumbuka
hapa nikiyumbishwa ni ajali mbaya maana mbele kuna gari zinakuja kwa kasi nyuma yangu pia gari zinakuja kwa kasi
Baada ya hapo wala sikuona kama nimemgonga au kukimbilia upande wa pili wa barabara
Ukitaka kuona haya mambo tembea sana safari za usiku na pia huwa kuna maeneo yanajulikana kwa visa hivyo
Pia kuna baadhi ya vitu huwa vinakutokea lakini uhalisi wake huwa unatokana na uchovu (fatigues)
Barabarani kuna mambo mengi mengine ni tabia za watu hupenda kusifiwa hata kama kitu kipo nje ya uwezo wake, atalazimisha kufanya ili ionekane huyu jamaa ni kiboko