Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

nakumbuka nilipokuwa dreva wa basi moja linaitwa Tanganyika bus kule MWANZA nilipokuwa ktk route za kwenda Mara ipo siku njiani majira ya saa 3 nikiwa ktk shughuli zangu za udereva nilionana ghafla na jamaa akiwa ana Ng'ombe wawili akikatisha katkati ya barabara tena ni babu kavaa lubega,nilichosema ni kwa jina la Yesu ,Mungu wangu nisaidie sikuwa hata na akili ya kushika breki niliachia mikono na gari ilivuka pale,shukrani kwa utingo jirani yangu baada ya kuona ile hali utingo yule alikanyaga breki huku tukiwa tumevuka lile eneo,baada ya hapo sikuweza tena kuendesha,gari liliendehswa na utingo hadi tukafika nahc ni Mungu tu alisaidia si mimi,tokea siku ile sijaedesha tena gari usiku mwisho ni saa 12 jioni
Mkuu, Utingo alikanyaga break at the same time wewe ukiwa kwenye usukani? Au gari lako lilikua na vitendea kazi jozi mbili kama yale ya driving school?
 
Kuna siku ilikuwa 2007. Nikitoka Arusha kwenda Dar saa Saba Nane usiku nilikuwa napita maeneo ya kwedikwazu. Kuna mahala Barbara imenyooka Sana Basi nikawa natembea speed 100-120.
Kuna mrembo mmoja mdada akawa anasimamisha gari akiomba lift. Nikapiga taa kubwa kumwona vizuri mrembo haswaa, sikusimama nikanuoosha goti, huku najiuliza huyu anaenda Wapi saa hizi,. Bwana ile nampita kwa speed ile alinipiga busu Mara tatu hapo dirishani. Maana sikuwa nimefunga madirisha ili nipigwe upepo nisilale. Nilifika dar Sina raha kutwa nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umetisha Kaisari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku ilikuwa 2007. Nikitoka Arusha kwenda Dar saa Saba Nane usiku nilikuwa napita maeneo ya kwedikwazu. Kuna mahala Barbara imenyooka Sana Basi nikawa natembea speed 100-120.
Kuna mrembo mmoja mdada akawa anasimamisha gari akiomba lift. Nikapiga taa kubwa kumwona vizuri mrembo haswaa, sikusimama nikanuoosha goti, huku najiuliza huyu anaenda Wapi saa hizi,. Bwana ile nampita kwa speed ile alinipiga busu Mara tatu hapo dirishani. Maana sikuwa nimefunga madirisha ili nipigwe upepo nisilale. Nilifika dar Sina raha kutwa nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Busu kivip mkuu wakat na gari una sema ilikua 120

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mtindo wa kusimamisha gari na kushuka kwenda kushuhudia ndio mnajitafuutia matatizo, wakati unaenda kutafuta ushahidi kamili, unafungua mlango unaenda unatizama, huku jini na yeye anaingia kwenye gari. Unarudi unawasha gari mpaka kwako, jini lishaingia kwako na linaanza vitimbi!
Kwani nani mkuu amekwambia alishuka kweny gari?
 
Nilikua natoka Mombo naingia Soni njiani nikakutana na watu kama wametoka sijui kwenye sherehe au ni nini wamevaa kama wanaijeria na makanzu wakanipiga mkono nikasimama wakaomba lift nikawapakia ilikua ni coaster kama dk tano tupo kweye safari naona kimya tu kucheki nyuma sikuti watu. nikawatukana tu kum.... zenu nikaenda kupaki
[emoji23][emoji23][emoji23] me ninge kufa presha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku ilikuwa 2007. Nikitoka Arusha kwenda Dar saa Saba Nane usiku nilikuwa napita maeneo ya kwedikwazu. Kuna mahala Barbara imenyooka Sana Basi nikawa natembea speed 100-120.
Kuna mrembo mmoja mdada akawa anasimamisha gari akiomba lift. Nikapiga taa kubwa kumwona vizuri mrembo haswaa, sikusimama nikanuoosha goti, huku najiuliza huyu anaenda Wapi saa hizi,. Bwana ile nampita kwa speed ile alinipiga busu Mara tatu hapo dirishani. Maana sikuwa nimefunga madirisha ili nipigwe upepo nisilale. Nilifika dar Sina raha kutwa nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unapigwa busu na mrembo halafu unakosa raha!!?ungeshuka mkuu umchimbe mkwara.."mambo yako ya kishetanishetani sitaki"...halafu unamvutia kwenye gari unaenda kutafuta lodge ya karibu....
 
Mwaka juz Nimekula shavu la kupeleka it border lusumo gali aina ya Subaru imprezza basi kama Kawa kwa kuwa gali lenyewe lilikuwa la race lilinikosesha hela lilikuwa linachukua watu wawili tu asiliamia kubwa ndani lilikuwa na mabomba ambayo yamefungwa gali zima endapo likipinduka lisiumie... Basi nimetoka yard kurasini break Rombo nikapata kichwa cha kwenda tinde njia panda kahama mwanza... Basi piga gia piga gia gali lilikuwa linakimbia sana... Kuna sehemu ukitoka dodoma mbele kuna kijiji kinaitwa saka mahela basi eneo hilo niko kibati mbaya tunapiga story mishale ya 9 kwenda 10 Ghafla abiria akaniambia watu hao kuja kutaamaki kundi la watu liko mbele basi nilipita katikati no watu no nini.... Abiria alishangaa sana nikamwambia hiyo ni michezo ya usiku Road

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee kataa tuu lkn mlipata pancha mkashindwa kufungua buti nikawasaidia
Mhhh pancha???? Maeneo gani??? Mana n mda ujue tulikua tushafika mnazi au??? Sina kumbukumbu kama tulipata pancha bwana
 
Dar pale muheza kuna kuti lipo juu kwenye nyaya ya umeme,kuna siku nilipita saa sita usiku naendesha gari nilihisi kama mtu ana bembea ,ni ujasiri tu sikutetereka.
 
Hayo mambo acha tu kuna jamaa alikuwa anavuka border ya sogwe kwenda malawi ile kufika milima ya chiweta ilikuwa usiku wakakutana mwana dada mrembo anachunga ng’ombe cha ajabu lori inatembea spidi nae yupo usawa wa lori akaja kupotea mwenyewe tu.
 
Mwaka juz Nimekula shavu la kupeleka it border lusumo gali aina ya Subaru imprezza basi kama Kawa kwa kuwa gali lenyewe lilikuwa la race lilinikosesha hela lilikuwa linachukua watu wawili tu asiliamia kubwa ndani lilikuwa na mabomba ambayo yamefungwa gali zima endapo likipinduka lisiumie... Basi nimetoka yard kurasini break Rombo nikapata kichwa cha kwenda tinde njia panda kahama mwanza... Basi piga gia piga gia gali lilikuwa linakimbia sana... Kuna sehemu ukitoka dodoma mbele kuna kijiji kinaitwa saka mahela basi eneo hilo niko kibati mbaya tunapiga story mishale ya 9 kwenda 10 Ghafla abiria akaniambia watu hao kuja kutaamaki kundi la watu liko mbele basi nilipita katikati no watu no nini.... Abiria alishangaa sana nikamwambia hiyo ni michezo ya usiku Road

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh, mkuu hukuhofia kitu?

mndamba kutoka Ifakara
 
Back
Top Bottom