Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

Mawenge yake tu. Unafanya mchezo na usingizi vikichanganyika na giza!
 
Jamaa ni mzembe kabisa. Alifika kwenye korongo pikipiki ikaruka dada wa watu akadoka bila yeye kujua.
 
ha h
ha ha ha haaa
 
Hiyo nikumbana nayo njia hiyo ya dodoma moro pale panda mbili
Usiku saa 8 nimetiririka kama kombeo mtu anatembea kwenye mstari wa katikaka na mimi nilikia nimeweka gar kati kutokana mwendo mkali
Sikuweza fanya chochote zaid ya honi na kupiga full light

Tulikua wawil wote tuliona but tulipomfika huyo binadam kama mita 2 alipiga nyuzi 90 kushoto kama umeme na sisi tukapita

Tulibak na maswal mpaka tumefika

Nilikua nasikia hivi vitu kumbe bado vipo





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii fix anayokupiga inashindana na hekaya za Abunuas! Kama uliamini ni kweli basi wanasiasa kazi rahisi sana ya kuendelea kutudanganya!
 
Ha ha hii ipo shinyanga sana

Tembea uwone

Nilipotea mahali napoenda kila siku mpaka kukakucha,
Watoto wa shule ndio wakanilekeza njia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uandishi zero mkuu kasie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu bhana, Sasa kwa vile hujaona ndo unapinga?
Kama hujawahi kutana na hayo mauza uza si kigezo cha kusema hayapo.
Kimya pia ni akili unaweza ukaambulia hata moja

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwako wewe na wengine mlioquote replay yangu.

MTU aliyepatwa na matatizo ya akili anapoona MTU anamkimbiza au mwingine anasikia sauti zikiongea nae zinakuwapo kweli?? Katika ulimwengu wake na kichwa chake hivyo vitu vipo ila sisi tuliomzungunga hatuvioni.

Kwa wale waliopitia physics kidogo kuna kile kitu barabarani mirage, mwisho wa siku huwa ni real au nini?

Usiku mnakuwa mnasinzia, na ni usingizi usiotulia. You are half asleep, half awake ndio maana huwa mnakuja na stories zisizokuwa na mashiko.

Usiku mwili umechoka.
Usiku mnakuwa waoga, woga wenu, mnakuja na imaginations za ajabu. Kilicho vichwani mwenu ndio macho huona.
Top of that ni sababu zitolewazo na drivers wazembe kujust ajali kuwa umesababishwa na kitu not natural.

yaani motokaa itengenezwe Japan, China ije kurogewa bongo aaaaaaaaah
 
Mkuu, huyo babu angekuwepo jirani ningekuwa namkodi katika route zangu za mbao n.a. mkaa, maana sio kwa usumbufu huu getini hata kama documents ziko sahihi.
 
Hakika nisiwe mwongo, nasafiri sana usiku tena pekeyangu sijawahi kuona chochote kitu. Haya ni maneno ya waafrika wenye uoga moyoni na imani za kujumlisha.
Kweli kabisa mimi sina chale wala chanjo, na nasafiri sana usiku.
Tatizo kubwa ni majambazi.
Mi nina kisa cha ukweli, majambazi, au highway robbers.

Nimetoka Dar saa nne na nusu usiku.
Ni miaka takriban 15 iliyopita.
Mwendo ni wa kawaida Dar Chalinze, ile naingia Mdaula magari sasa machache na full light unaona hadi kilometa mbili.
Baada ya njia panda kwenda Ngerengere kwa mbali naona taa nyekundu, dalili ya gari.
Kwa vile sasa mwendo wangu ni kama 130~140km/hr nikalipita gari lile, na naliona Toyota Mark II.
Ile sijaenda kilometa tano naona kwa nyuma kuna gari, full light linakuja wangu wangu, tena likanipita, gari lilelile Mark II, NA LINA WATU WAWILI niliowaona.
Mda hiyo saa usiku, tano na nusu!
Nikaendelea na mwendo wangu ila nikaongeza mwendo.
Wale jamaa nafikiri nia ni kunisimamisha, lakini nikaongeza mwendo sasa 165~170km/hr!
Nikalipita!
Do, jamaa nikaanza kufikiria, jambazi lazima kumsurprise, akikuwahi yeye, basi bahati yako mbaya.
Ikaja kona tukapunguza mwendo, ila nami nikatoa 9mm mguu wa kuku.
Nikasubiri ili sasa jamaa anipite.
Kweli jamaa akakanyaga mafuta, wakati ana nipita , nikaongeza spidi kidogo ili tuwe sambamba, nikafungua dirisha na kumwelekeza mtutu.
Ee bwana kabla sijakamua, nikasikia kabisa abiria akimwambia mweziwe... twende... twende ...twende!
Mark II ili paa, na sikuiona tena hadi nafika Morogoro.
Usafiri kafiri!
 
bora uliona mtu. Wkati mwingine unaona ndege tu lakini yanayofuata utajuta
 
Hixo.km kawa... kuna shem wangu alinihadithia kuwa pale wami mara nyingi huwa anakutana na wanyama hasa kundi la mbuzi weeengiii wanavuka barabara haliishi yaan ukisema uwakwepe au uwangojee hao unalooo mwendo ni kunyooosha tuu mguuh na linapitea lile kundi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…