Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent from my VKY-L29 using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu USIKU ni kwa ajili ya VISIVYOONEKANA KWA MACHO,,,unapaswa utulie,,sio muda wa kurandaranda

Sent using Jamii Forums mobile app
True kuna watu walikuwa wakivua Samaki usiku SAA saba mtoni,kwa mbali wakaona gari pickup inakuja spidi juu ya MAJI imeshona mzigo hasa hadi nyuma imebonyea juu kakaa mwanamke wa kizungu anavuta sigara ilipowafikia ikasimama gari yule mwanamke akawaambia Jamaa, INA maana nyie mchana hauwatoshi hadi mtuingilie usiku, napeleka mzigo nikirudi nisiwakute hapa,kisha gari ikaendelea na safari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ingine ikigoma kuwaka inatakiwa dereva avue nguo zote abakie uchi linawaka anapiga gia hadi mkitoka maeneo hayo anavaa nguo kuendelea na safari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gari sio gali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani nani mkuu amekwambia alishuka kweny gari?
Mtoa mada amesema ivi "Badala ya kujibu akabaki ametukazia macho jamaa yangu akanishika mkono na kunivuta tukaondoka. Lakini mpaka sasa hivi tumebaki na maswali vichwani mwetu. "
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hi chai hii hebu leta maandazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ulitisha sana mwamba,,ungeenda pemben ndo ingekuwa mwisho wako,,ila Mungu pia aliingilia kati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bidada wasema kwel?? ilikuwa wp hyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni highway siku nyingine usikanyage brake kama speed yako imezidi 90kph, piga honi, pangua gia weka1, shika uskani vyema pia sali moyoni wala usifumbe macho,kama hakuna kivuko kanyaga mafuta kama kawa usiachie..tofauti na mtaani haiwezekani Mtu (kama sio mtoto japo
nao hutumika) akavuka mbele wakati gari ipo kasi..
 
ha ha haa,,,mkuu naona umeamua umtolee uvivu kwa kumchana,, any way hao wananogesha stori tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilikuwa naendesha baiskeli mida ya saa moja usiku kutoka Cheyo kwenda Isevya gafla nikakutana na demu mkali sanaaaaa mwarabu amejazia vishungi balaaa . .sikumkwepa akacheka sanaaaa akanambia nimefaulu mtihani wa kumkarawila nilitafuna balaaaaa...leo nipo N.I.T nasomea udereva niwe dereva wa malori nikatafune majini njiani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…