Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

hahahahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu mi nliamua kupita kimya kimya naona ww umeshndwa kuvumilia

Jamaa anakwambia akachomoa pisto akawaonesha majambaz[emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ha ha haa,, angalia wasikutafune ww mzebaba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka leo sielewi ile sayansi iliyotokea pale,
Nilitembea Bila kuchoka, nilipokuja kushtuka nilipita katikati ya miiba
Nafika najiangalia nimetobolewa nimejaa damu
Na maumivu ya miguu

[emoji252] [emoji479]
Katika maisha yako mkuu usije gusa hirizi, zinajaribiana uwezo. hii niliambiwa na mzee zamani sana. ukiwa free na hirizi na ushirikina unaishi maisha ya raha sana. Kama ni shida basi ni za kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika maisha yako mkuu usije gusa hirizi, zinajaribiana uwezo. hii niliambiwa na mzee zamani sana. ukiwa free na hirizi na ushirikina unaishi maisha ya raha sana. Kama ni shida basi ni za kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya vitu sina habari navyo ni hirizi sijui uganga,
Na wakati Tukio linatokea nilikua teenager sina hata clue na mambo ya giza

[emoji252] [emoji479]
 
Mpaka leo sielewi ile sayansi iliyotokea pale,
Nilitembea Bila kuchoka, nilipokuja kushtuka nilipita katikati ya miiba
Nafika najiangalia nimetobolewa nimejaa damu
Na maumivu ya miguu

[emoji252] [emoji479]
douh!! pole sna mdada,, ulikuw vyombo nn cku hyo??

mi nlikua na kidem ki1 hv recently af kumbe ni kichawi asee,,kisa chake ntaeleza cku ingine

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
 
nimepewa wawazo kama hayo Shukrani, ila zaidi ya yote nsivae hirizi ya aina yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The Newest Mshana Jr hater.

#utakula kiburi yako.
 
Umeendesha Tanganyika bus...we mhenga kweli kweli...bado dereva!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…