Kulupura
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,053
- 1,189
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usimalize MANENO,,, this is AfricaHakika nisiwe mwongo, nasafiri sana usiku tena pekeyangu sijawahi kuona chochote kitu. Haya ni maneno ya waafrika wenye uoga moyoni na imani za kujumlisha.
Duuuh mkuu hukuogopa?nyoka mkubwa ku cross barabara maeneo ya Hedaru, gari iliyumba kwa upepo sana, nilikuwa na watu 3, mmoja alikaa pembeni mwangu na wengine nyuma, pamoja na kuwaambia mnamwona huyo nyoka mkubwa? wote waling'aa macho hakuna aliyemwona, nilipofika alipo cross, gari iliyumba sana
Sent using Jamii Forums mobile app
usitoe hitimisho bado hujafa, jipe mudaHakika nisiwe mwongo, nasafiri sana usiku tena pekeyangu sijawahi kuona chochote kitu. Haya ni maneno ya waafrika wenye uoga moyoni na imani za kujumlisha.
mkuu utapelekwa kwa mganga soonmwandende hizo ringi za shaba zinasaidia nini?
niliingiza upepo mkuu, uzuri wake ilikuwa jioniDuuuh mkuu hukuogopa?
mndamba kutoka Ifakara
Mixa ukagongana nae macho halafu ukahisi msisimko wa ajabuMimi mwaka juzi nakumbuka natoka zangu club nilimuona mwanamke wa kizungu barabarani kavaa baibui mrefu mzuriiiii...ilikuwa kama saa tisa usiku kasimama peke yake. Naamini alikuwa jini
Wao pia walihisi gari kuyumba?nyoka mkubwa ku cross barabara maeneo ya Hedaru, gari iliyumba kwa upepo sana, nilikuwa na watu 3, mmoja alikaa pembeni mwangu na wengine nyuma, pamoja na kuwaambia mnamwona huyo nyoka mkubwa? wote waling'aa macho hakuna aliyemwona, nilipofika alipo cross, gari iliyumba sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya hapo ikawajeHivi vitu vipo, ilikuwa mwaka 1998 nikitokea South Africa kupitia njia ya Zimbabwe - Msumbiji, tukiwa katikati ya mapori ya Msumbiji mchana wa saa 7 tulimkuta mzee katikati ya barabara amevaa kanzu nyeupee akiwa anatusumamisha, tukaambiana na mwenzangu hakuna kupunguza mwendo, kule kitendo cha kutaka kumgonga alifanya kama watoto wanavyocheza mchezo wao wa rede, akakwepa gari, basi hatukufika hata mita 100 gari ikazima, kusimama hayupo na gari ikawa imenoki engine palepale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu!!! Hiyo ya malori nomaMKUU KUNA siku nilikuwa nakwenda TANGA,,,nipo na jamaa kama 4 kwenye GARI ndogo nikiwa naendesha ,, nakumbuka tulitoka hapa DAR ,mapema kama SAA 12 jioni,,tukaenda mdogo mdogo kufika CHALINZE tukatulia SEHEM vurugu za MABASI NA MAFUSO ZIPUNGUWE,,,kufika kama SAA 4 USIKU tukaanza safari ya kwenda NGAMIANI TANGA,,,TUKIWA kwenye gari story ziliendelea kama kawaida ili DEREVA NISILALE.,,tukaipita MSATA,,salama,,WAMI,,, MKATA,,SEGERA hyo,,,,Salama salmini, HALE ,, tukatoboa MUHEZA SAA nane USIKU,muda huo wenzangu wote nilihisi wamelala,maana ilikuwa kmya,,nlikuwa nasikiliza MVUMO WA INJINI YA GARI NA UPEPO TU,,, sasa balaa likaanza TUMEFIKA kuna SEHEM inaitwa MKANYAGENI,,nikaona mbele kama mita 50 kuna MWANAMKE katikati ya Barabara,,kakaa chini tena yupo UCHI WA MNYAMA,,,amekaa mkao wa kunyoosha miguu kuangalia tulipokuwa tunakuja,,Nikasikia KELELE MMOJA,,,wa JAMAA yangu aliyokuwa mbele ananambiya KANYAGA MAFUTA,,USIFUNGE brake TUTAKUFA,,MCHAWI YULE,,,,,jamaa wote waliamka,,,wakati huo nilikuwa nipo SPEED KAMA 120 HIVI...basi nikakanyaga mafuta nikampitia yule MAMA katikati ,,,means NIMEMGONGA,,,lakini sikusikia DALILI YEYOTE YA KUGONGA,,,,muda huo watu wote walikuwa macho,,,,huku tukiwa na Taharuki ya kugonga MTU,,,nilizidisha speeds ya gari hadi NGAMIANI MJINI,kwa kuwa ilikuwa ni USIKU ilibidi kusubiri kukuche, ,ilipofika ASUBUHI nikaanza kuikaguwa GARI,,AJABU haikuonyesha DALILI YEYOTE YA KUGONGA MTU,,aisee tulishangaa sana,,wala hakuna DALILI KWAMBA TULIGONGA MTU PALE,,PIA,,TULISHANGAA SANA,,, KUNA SIKU ingine nipo PEKE YNGU kwenye GARI,,,ilikuwa kama SAA NANE za USIKU ,, Barabara ya MOROGORO maeneo ya MAGARI SABA DARESALAM , ,,njia ilikuwa imetulia sana muda huo,,,NIKIWA SPEEDS PEKE YNGU BARABARANI,,,,,,mbele kidogo nikaona LORI LINAKUJA KWA KASI WRONG SITE,,means limehama UPANDE wake linakuja kwngu,,ikabidi NIHAME UPANDE wa pili KULIPISHA,,,kuangalia kulia naona kuna LORI LINGINE limewasha taa nalo linakuja kwa speed,,Duu,yaani nipo katikati UPANDE wa kushoto kuna LORI LINAKUJA UPANDE WNGU,,na kulia pia KUNA Lori kwa kifupi niliwekwa katikati ya magari mawili yanayokuja mbele yngu kwa KASI KUBWA,,nilihisi mikono imekufa GANZI,,,pale pale nikapata UJASIRI NIKASEMA MIMI hapa SIENDI PEMBENI,,maana huko pembeni kuna MAKORONGO ,, wakati natafakari ZILE LORI hizi hapa karibu yngu,,yaani zinakuja kwa pamoja mbele yangu,,,,zikiwa zimewasha taa fully..basi na Mimi sijuwi nilipata ujasiri GANI,, nikajikuta nimeng'ang'ania steering huku nakanyaga mafuta,,,kufumba na kufumbuwa nikajiona nimepita katikati ya yale malori lakini sijasikia kishindo,,au DALILI ya KUGONGA,,, na sehemu niliyopita katikati YAKE hata BODABODA HAIPITI..NIKAGEUKA NYUMA SIKUONA HATA DALILI YA GARI KUPISHANA NALO,,..HAPO nilikuwa natetemeka na gari ilizima kwa woga,,,,KESHO,,, nilipo muhadithia jamaa yng mmoja akaniuliza HIVI UNAJUWA YALE MARINGI YA SHABA,, WANAYOVAA MADEREVA WA MASAFA MAREFU MKONONI NI YA KAZI GNI? MFANO MADEREVA WA MALORI AU MABASI MAKUBWA YA MIKOANI,,,,WENGI WAO WANA MARINGI YA SHABA MKONONI,, nikamwambiya sijuwi,,akasema WAULIZE,,vinginevyo usipende kutembea usiku wa manane,,especially peke YAKO,, nikakumbuka kuna kitu natakiwa nikifanye kama DEREVA WA USIKU....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana mkuu,,vitu vingine hadi vikukute ,,vingine utaona ni story z kawaida,,ila Mimi sipendi kutembea USIKU sana,,,sio na gari hata kwa miguu,, ikifika SAA sita sijafika kwngu nakuwa na hofu sana ,,,mauzauza huanza SAA sita nanusu kwa sehem za MITI MIREFU AU PORINI,,,lakini sehem za mjini ni UKIWA USIKU MKUBWA,,,WENYE UPWEKE,,,nane,,Tisa,,Tisa na nusu,,hatari Sana MKUU
Huo ujasiri wa kupita katikati ulikujaje mkuu?maana sipati picha ilikuwa hatari sanaHatari sana mkuu,,vitu vingine hadi vikukute ,,vingine utaona ni story z kawaida,,ila Mimi sipendi kutembea USIKU sana,,,sio na gari hata kwa miguu,, ikifika SAA sita sijafika kwngu nakuwa na hofu sana ,,,mauzauza huanza SAA sita nanusu kwa sehem za MITI MIREFU AU PORINI,,,lakini sehem za mjini ni UKIWA USIKU MKUBWA,,,WENYE UPWEKE,,,nane,,Tisa,,Tisa na nusu,,hatari Sana MKUU
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa no way out MKUU,, maana tayari nilikuwa KATI KATI ya BARABARA,,, mbele yangu magari mawili yamenitokea,,hata kama ningeenda pembeni nisingewahi,,,,ikabidi nikanyage mafuta,,,lakini kwny nafsi yang nilijiona ni kama ndy mwisho wa maisha yngu,, sikuamini kama ningeweza kupita pale kati kati ya zile Lori,,ilikuwa NO WAY OUT,,,,,kwnz nimemulikwa mataa usoni,,mbele KMO sioni vizuri,,akili yng ilidhani pengine mmoja wa DEREVA wa lori ndy angenikwepa Mimi,,,Huo ujasiri wa kupita katikati ulikujaje mkuu?maana sipati picha ilikuwa hatari sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna siku nilikua natembea njiani Muda wa saa sita hiviHatari sana mkuu,,vitu vingine hadi vikukute ,,vingine utaona ni story z kawaida,,ila Mimi sipendi kutembea USIKU sana,,,sio na gari hata kwa miguu,, ikifika SAA sita sijafika kwngu nakuwa na hofu sana ,,,mauzauza huanza SAA sita nanusu kwa sehem za MITI MIREFU AU PORINI,,,lakini sehem za mjini ni UKIWA USIKU MKUBWA,,,WENYE UPWEKE,,,nane,,Tisa,,Tisa na nusu,,hatari Sana MKUU
Sent using Jamii Forums mobile app