Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Ni kweli mkuu. Ilikua ni maeneno ya handeni ila jina ndio sipajui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuu. Ilikua ni maeneno ya handeni ila jina ndio sipajui.
Duh mafuta yakiisha hapo balaaKuna ndugu yangu mmoja anaendesha magari makubwa, ilikua trip ya kutoka wilayani kuelekea mwanza (approx 200Km)
alianza safari saa 12 jioni mpaka kunakucha hajafika alikua anakutana na barabara nyingi ambazo akizifuata zinaishia mitoni
wachawi pumbavu zao
Kuna siku ilikuwa 2007. Nikitoka Arusha kwenda Dar saa Saba Nane usiku nilikuwa napita maeneo ya kwedikwazu. Kuna mahala Barbara imenyooka Sana Basi nikawa natembea speed 100-120.
Kuna mrembo mmoja mdada akawa anasimamisha gari akiomba lift. Nikapiga taa kubwa kumwona vizuri mrembo haswaa, sikusimama nikanuoosha goti, huku najiuliza huyu anaenda Wapi saa hizi,. Bwana ile nampita kwa speed ile alinipiga busu Mara tatu hapo dirishani. Maana sikuwa nimefunga madirisha ili nipigwe upepo nisilale. Nilifika dar Sina raha kutwa nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bisha tu usilolijuaNdoto, usingizi na imani za kishirikina.
Hakuna kitu. Why usiku na si mchana??
Why barabarani tu na si njia ya train, Angani au Majini??.
Story za abunwasi na changamsha genge.
Nishasafiri Barabara nyingi, masaa yote kuspan 24 hours sijashuhudia hayo.
Ulongo tu na kutiana woga, kuwapa ulaji waganga wa kienyeji wafanye zindiko.
MKUU Mara nyingi tukio linakukuta UKIWA peke yako,,,,hata kama mpo wengi lakini wenzio wamelala muda huo,,,hapo ndy unaona mauzauza,,,,kuna JAMAA ZANGU 2 walipata ajali ile bara bara ya SALENDER BRIDGE,,,DAR,,pale DON BOSCO kwa mbele PANA MBUYU mkubwa kati kati ya Bara bara,,jKITUO KINAITWA MBUYUNI,,,Jamaa zng wamepoteza maisha kwa siku tofauti,,,gari imegonga MBUYU akiwa peke YAKE,,,USIKU wa manane,ALIKUWA AKIENDA KWAKE ,,TENA kila mmoja kagonga kwa SIKU YAKE lakini vifo vinafanana,,,,haya mambo Yapo mkuu,,,hadi yakukute ndy utaaminiMimi ni mzoefu wa safari za usiku na sikuwahi kuona maluelue yoyote! Mimi nadhani ni imani tu. Wengi wanakutana na watu kama walevi, viziwi au vichaa wakivuka barabara na kuoanisha na imani za kishirikina. Hofu yangu ni kuona watu wanahamasishana kuua kwa kugonga bila kujali ni binadamu wenzetu.
Tukasimamisha magari yatupe msaada kuanzia saa 6 mpk saa 12 jioni ndio jamaa mmoja alisamama akasema hilo eneo ni hatari sana, tumpe laki 6 atuvute mpk maputo, tulitoa pesa haraka sana.
Haaaaa hatarii sana kwa afya aise
Vitomb* ndio nini ?Hapa jukwaani nani anavifahamu vyombo vya kioo? Ni Vitombe na Sahani za kioo! Basi siku moja natoka SHY kwenda Mhunze, kabla ya daraja nikakuta katikati ya barabara hivyo vyombo vimewekwa ugali ndani yake na kufunikiwa kama mtu ametengewa chakula, kikombe kimejaa maziwa! Cha ajabu kabla ya eneo hilo nilipishana na lori lakini halikuvigonga vile vyombo, sasa Mimi nikapunguza mwendo nikapita pembeni. Kama hatua ishirini hivi nikasimama nikarudi kucheki tukio, hamaaadi.sijakuta kitu chochote!!
Shy wachawi mnoHapa jukwaani nani anavifahamu vyombo vya kioo? Ni Vitombe na Sahani za kioo! Basi siku moja natoka SHY kwenda Mhunze, kabla ya daraja nikakuta katikati ya barabara hivyo vyombo vimewekwa ugali ndani yake na kufunikiwa kama mtu ametengewa chakula, kikombe kimejaa maziwa! Cha ajabu kabla ya eneo hilo nilipishana na lori lakini halikuvigonga vile vyombo, sasa Mimi nikapunguza mwendo nikapita pembeni. Kama hatua ishirini hivi nikasimama nikarudi kucheki tukio, hamaaadi.sijakuta kitu chochote!!
Huyo labda alitaka akuue ukawe bwana akeYaani pale upande wa kushoto kwenye dirisha nilisikia busu Mara tatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chai hiiKuna ndugu yangu
Mwaka juzi alikua speed mida ya saa 5 usiku ghafla akamuona mtu barabarani katikati.
Akamgonga then akasimama fasta .kushuka hakumkut yule mtu akakuta maharage
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka 2007 mugumu .mkoa wa maraKuna habari iliwahi kurushwa redioni, kule kishapu shinyanga wakati huo, mkuu wa wilaya alisimamishwa na babu mmoja ili amsaidie kusogeza matofali, na mkuu akasema huyu babu anasemaje huyu, aka akili sawasawa ? Akamwamuru dereva wake waondoke. Babu akakaa. Wakaingia kwenye gari wakawasha wakajiona wanaenda kwa masaa zaidi ya manne hawakuwa wamefika na no mahali pa kwenda kwa nusu saa,. Walipo simamisha gari kutoka nje wakajikuta wapo pale pale hawajaondoka. Ilibidi wamwombe mzee wampe na hela ya kuweka kibarua mtu abebe. Ndipo babu akawaruhusu wakaondoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii chai sasa😂😂😂😂😂Kuna siku ilikuwa 2007. Nikitoka Arusha kwenda Dar saa Saba Nane usiku nilikuwa napita maeneo ya kwedikwazu. Kuna mahala Barbara imenyooka Sana Basi nikawa natembea speed 100-120.
Kuna mrembo mmoja mdada akawa anasimamisha gari akiomba lift. Nikapiga taa kubwa kumwona vizuri mrembo haswaa, sikusimama nikanuoosha goti, huku najiuliza huyu anaenda Wapi saa hizi,. Bwana ile nampita kwa speed ile alinipiga busu Mara tatu hapo dirishani. Maana sikuwa nimefunga madirisha ili nipigwe upepo nisilale. Nilifika dar Sina raha kutwa nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaaaaa daah mkuu achaaa hayo huko Sudan/darful ndo shidaaaaKuna ndugu yangu mmoja anaendesha magari makubwa, ilikua trip ya kutoka wilayani kuelekea mwanza (approx 200Km)
alianza safari saa 12 jioni mpaka kunakucha hajafika alikua anakutana na barabara nyingi ambazo akizifuata zinaishia mitoni
wachawi pumbavu zao
Hee! Mungu epushia mbali,sijawahi kushuhudia vitu kama hivyo safariniHiyo kawaida kabisa kwa sisi tunao safiri safari kila mkoa mara nyingine unamkuta bibi tena yule unaemfaham lakini alishakufa au mbabu na bakora mkononi wakati mwingine unaona picha ya jeneza kabisa limefunguliwa na sanda ipo au mtoto mdogo anatambaa yaani tushazoea wala hofu ile haipo tena.
Onyo.ukiona vitu kama hivyo usijaribu kukwepa au kushika break inakula kwako.
Mi kukna siku naenda dodoma niko na ford new model kuna kizee kilitokea vichakani kikasimama ghalfa barabarani haki ya (mungu mungu nisamehe)nilikaza mikono kushika steling vizuri nilimpa nikafumba macho ili nisione ninavyoua huwezi amini nilimpita na sikusikia kishindo chochote na nilienda mbele kama 4 klmtrs nikapaki gari kuangalia sikuona tatizo kwenye gari na niliendekea nabsafari yangu bila presure.
Bado tu Siku yako itafika utayaona hayo yasemwayo. Yakikutokea zingatia unavyoambiwa :--Usifunge brake, wala usikwepe, nyoosha usukani, to a mguu kwenye kijiko cha mafuta.. "Kalaga baho".Ndoto, usingizi na imani za kishirikina.
Hakuna kitu. Why usiku na si mchana??
Why barabarani tu na si njia ya train, Angani au Majini??.
Story za abunwasi na changamsha genge.
Nishasafiri Barabara nyingi, masaa yote kuspan 24 hours sijashuhudia hayo.
Ulongo tu na kutiana woga, kuwapa ulaji waganga wa kienyeji wafanye zindiko.