Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

niliwahi kung'ata hirizi mdomoni hahahahah daah maisha haya
 
Mkuu pole sana hiyo sehemu naijua mana nimekulia maeneo hayo,ukitoka mombo,kuna vijiji kadha kama mwelia,mwisho wa shama,kikwazu,chekelei,madumu,hizi sehemu ni mbaya sana, kipindi hicho usafiri ni baiskeli nikawaida kuwa beba hao viumbe wajastuka baiskeli imekuwa nzito ghafla pia kaharufu ka jasho la mtu utahisi,salama yenu nikule kumgonga huyo jama vinginevo ni hatari tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kuna siku eti saa saba usiku tulikuwa na landcruiser tumetoka arusha tumewasha full maana mbele kulikuwa kweupe hakuna gari linalokuja mara kwa mbalii naona bata na vifaranga vyake kibao vinacheza barabarani mi nikamwaambia yule mwenzangu pembeni imeona mambo hayo? Jamaa ananiambia mambo gani yaani kama hakuna kitu mbele mi dereva naona yeye eti haoni nilipita kwa speed ile ile wala sikusita ndipo jamaa ananiuliza kwani ni nini nikambia bata na vifanga vyake tushavipita yaani hakuamini kabisa
 
Hapo kuna siku eti saa saba usiku tulikuwa na landcruiser tumetoka arusha tumewasha full maana mbele kulikuwa kweupe hakuna gari linalokuja mara kwa mbalii naona bata na vifaranga vyake kibao vinacheza barabarani mi nikamwaambia yule mwenzangu pembeni imeona mambo hayo? Jamaa ananiambia mambo gani yaani kama hakuna kitu mbele mi dereva naona yeye eti haoni nilipita kwa speed ile ile wala sikusita ndipo jamaa ananiuliza kwani ni nini nikambia bata na vifanga vyake tushavipita yaani hakuamini kabisa
Dania tambala bovu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sehemu, ukitoka Mombo naenda mazinde, kuna eneo lina kosa kali sana, nilikutana na madude ya ajabu mpaka niliogopa kuendelea na safari na usiku ule sikupata usingizi kabisa.

sipo hapa kumfurahisha mtu. Over.
 
niliwahi kung'ata hirizi mdomoni hahahahah daah maisha haya
Mi iliyonishtua mara ya kwanza kusafiri na gari usiku kama saa nane hivi niko speed gari nimeweka katikati ya chack (ule mstari mweupe katikati ya barabara) maeneo ya kijijibcha mchungwa hapo tanga mara akatokezea mtu eti kabeba jeneza kichwani akaingia ghafla pale barabarani aisee nili nyoosha bila huruma wala sijui kama nilimgonga au la maana sikusimama na wala sikusikia chochote ila wenzangu waliohisi kilichoendelea pale walikemea sana kwa maombi huku safari ikiendelea
 
Kuna siku ilikuwa 2007. Nikitoka Arusha kwenda Dar saa Saba Nane usiku nilikuwa napita maeneo ya kwedikwazu. Kuna mahala Barbara imenyooka Sana Basi nikawa natembea speed 100-120.
Kuna mrembo mmoja mdada akawa anasimamisha gari akiomba lift. Nikapiga taa kubwa kumwona vizuri mrembo haswaa, sikusimama nikanuoosha goti, huku najiuliza huyu anaenda Wapi saa hizi,. Bwana ile nampita kwa speed ile alinipiga busu Mara tatu hapo dirishani. Maana sikuwa nimefunga madirisha ili nipigwe upepo nisilale. Nilifika dar Sina raha kutwa nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii chai umeweka hadi vitunguu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo Mimi sio dereva wala makonda nakumbuka natoka Dar kuja Mbeya mjini nikiwa na IT za kwenda Tunduma tulipofika mbuyuni Ruaha basi akatokea paka mmoja katikati ya barabara akakatiza kwenda kushoto tukiwa Speed kama 100-110 ndani ya Noah basis dereva akajisemesha maneno kadhaa akasema ngoja turudi akageuza gari kurudi Dar akasema tusiporudi pale alipokatiza paka safari yetu hatutafika salama kabisa.mauzauza yapo sana barabarani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo Mimi sio dereva wala makonda nakumbuka natoka Dar kuja Mbeya mjini nikiwa na IT za kwenda Tunduma tulipofika mbuyuni Ruaha basi akatokea paka mmoja katikati ya barabara akakatiza kwenda kushoto tukiwa Speed kama 100-110 ndani ya Noah basis dereva akajisemesha maneno kadhaa akasema ngoja turudi akageuza gari kurudi Dar akasema tusiporudi pale alipokatiza paka safari yetu hatutafika salama kabisa.mauzauza yapo sana barabarani

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua siamini pia, yaliyonitokea sijui niongee nini ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom