Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kuna siku eti saa saba usiku tulikuwa na landcruiser tumetoka arusha tumewasha full maana mbele kulikuwa kweupe hakuna gari linalokuja mara kwa mbalii naona bata na vifaranga vyake kibao vinacheza barabarani mi nikamwaambia yule mwenzangu pembeni imeona mambo hayo? Jamaa ananiambia mambo gani yaani kama hakuna kitu mbele mi dereva naona yeye eti haoni nilipita kwa speed ile ile wala sikusita ndipo jamaa ananiuliza kwani ni nini nikambia bata na vifanga vyake tushavipita yaani hakuamini kabisaMkuu pole sana hiyo sehemu naijua mana nimekulia maeneo hayo,ukitoka mombo,kuna vijiji kadha kama mwelia,mwisho wa shama,kikwazu,chekelei,madumu,hizi sehemu ni mbaya sana, kipindi hicho usafiri ni baiskeli nikawaida kuwa beba hao viumbe wajastuka baiskeli imekuwa nzito ghafla pia kaharufu ka jasho la mtu utahisi,salama yenu nikule kumgonga huyo jama vinginevo ni hatari tupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena omba mungu ndugu sema huwa kabla ya safari natanguliza sala kwanza maana tangu kipindi hicho kabla ya safari naomba sana maana hayo matukio nilikutana nayo sanaHee! Mungu epushia mbali,sijawahi kushuhudia vitu kama hivyo safarini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi ni usiku kuanzia saa sita unusu saba nane hadi tisa
Dania tambala bovu.Hapo kuna siku eti saa saba usiku tulikuwa na landcruiser tumetoka arusha tumewasha full maana mbele kulikuwa kweupe hakuna gari linalokuja mara kwa mbalii naona bata na vifaranga vyake kibao vinacheza barabarani mi nikamwaambia yule mwenzangu pembeni imeona mambo hayo? Jamaa ananiambia mambo gani yaani kama hakuna kitu mbele mi dereva naona yeye eti haoni nilipita kwa speed ile ile wala sikusita ndipo jamaa ananiuliza kwani ni nini nikambia bata na vifanga vyake tushavipita yaani hakuamini kabisa
Mi iliyonishtua mara ya kwanza kusafiri na gari usiku kama saa nane hivi niko speed gari nimeweka katikati ya chack (ule mstari mweupe katikati ya barabara) maeneo ya kijijibcha mchungwa hapo tanga mara akatokezea mtu eti kabeba jeneza kichwani akaingia ghafla pale barabarani aisee nili nyoosha bila huruma wala sijui kama nilimgonga au la maana sikusimama na wala sikusikia chochote ila wenzangu waliohisi kilichoendelea pale walikemea sana kwa maombi huku safari ikiendeleaniliwahi kung'ata hirizi mdomoni hahahahah daah maisha haya
ina tegemea mazingira mkuuKwendaaa! Kuna dereva anaanza kufuatilia alomgonga kweli? Seriously???
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee acha tuu ndugu yangu
Jaribu nilichoongeaAsante mkuu. Nina uhakika wengi ni ama vichaa au walevi au walemavu (hawaoni au kusikia vizuri) na watu kwa imani zao za kishirikina wanahasishana kuua kwa kukusudia. Kweli ukifikiri elimu ni gharama basi jaribu ujinga!
Unaweza usisikie kitu au ukasikia kitu. Mlichokigonga ni msukule, au Zombie.Jini ukilipita kama unaligonga husikii chochote lakini huyu mtu tulimgonga na athari tuliipata lakini anaendelea na safari yake, je ni kitu gani ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi Mimi kipindi nasoma chuo Arusha hayo ndio ulikuwa usafiri wangu Dsm -arusha au Dsm - iringa saa zingine. Ila roho juu juu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii chai umeweka hadi vitunguuKuna siku ilikuwa 2007. Nikitoka Arusha kwenda Dar saa Saba Nane usiku nilikuwa napita maeneo ya kwedikwazu. Kuna mahala Barbara imenyooka Sana Basi nikawa natembea speed 100-120.
Kuna mrembo mmoja mdada akawa anasimamisha gari akiomba lift. Nikapiga taa kubwa kumwona vizuri mrembo haswaa, sikusimama nikanuoosha goti, huku najiuliza huyu anaenda Wapi saa hizi,. Bwana ile nampita kwa speed ile alinipiga busu Mara tatu hapo dirishani. Maana sikuwa nimefunga madirisha ili nipigwe upepo nisilale. Nilifika dar Sina raha kutwa nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Andika vizuri mbwaa weweduh dunia INA mengo
swaga hizo ww boya au umetoka kolomije janaAndika vizuri mbwaa wewe
Nilikua siamini pia, yaliyonitokea sijui niongee nini ?Japo Mimi sio dereva wala makonda nakumbuka natoka Dar kuja Mbeya mjini nikiwa na IT za kwenda Tunduma tulipofika mbuyuni Ruaha basi akatokea paka mmoja katikati ya barabara akakatiza kwenda kushoto tukiwa Speed kama 100-110 ndani ya Noah basis dereva akajisemesha maneno kadhaa akasema ngoja turudi akageuza gari kurudi Dar akasema tusiporudi pale alipokatiza paka safari yetu hatutafika salama kabisa.mauzauza yapo sana barabarani
Sent using Jamii Forums mobile app
Unàwapa n.a. vitafunwa kabisa mkuuMimi kuna siku saa 3 asubuhi nipo morogoro road na Altezza yangu maeneo ya mwembe chai dar... nikawakuta watu katikati ya barabara wamekaa wanakunywa chai... [emoji12][emoji12][emoji12]
Sent from my VKY-L29 using Jamii Forums mobile app