Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

Kuna siku nyingine nilikuwa nakwenda twn ASUBUHI, nikakuta kuna GARI NDOGO imepinduka MAENEO YA KIMARA KOROGWE ni kitambo kiasi,,,wakati ule BARA BARA ya MOROGORO ilikuwa bado ni MOJA,,,before hii Barabara ya MWENDO KASI KUJENGWA,,,majira kama SAA MOJA asubuhi,,,ndipo nikaona watu BADO WANASHANGAA I GARI NDOGO ILIYOPATA AJALI,,,,yaani gari ilikuwa chini kwenye korongo kabisa,,halafu imepondeka vibaya,,,ikabidi nijisogeze kwenda KUSHUUDIA NINI kilitokea pale,,,,ndy nikapata HABARI kupitia watu waliokuwa pale,,,kwenye AJALI,,,jamaa KAPINDUKA na GARI,,,na alikuwa PEKE YAKE ndani,,,,,inasemekana jamaa alikuwa ametoka mjini na anaelekea MBEZI NI SAA TISA ZA USIKU,, ,,,kufika maeneo Yale DEREVA WA GARI NDOGO ambaye kwa muda huo alikuwa yupo hospital,,,,,,anasema YEYE ALIONA WATU WENGI wamevaa KANZU na VILEMBA WANAKATISHA BARABARA huku WAMEBEBA JENEZA WANAKWENDA KUZIKA NI KAMA VILE MSIBA WA WAISLAM unavyokuwa WA nakwenda KUZIKA,,,,,yaani GHAFLA TU kaona WANAVUKA BARABARA wakati yeye yupo speed,,,anasema ikabidi AWAKWEPE,,,ndy akaingia KORONGONI,,,,,GARI ilipinduka zaidi ya Mara 3.JAMAA kupona ni bahati tu,,,hakupata majeraha ya kutisha,,,maana alikuwa bado anajieleza,,,kwa hyo wakuu haya mambo yapo usiombe yakukute,,,na wala huna sababu ya KUBISHA JAMBO HUJAWAHI KUKUTANA NALO,,,wewe jiulize Kwanini WANYAMA WENGI wanagongwa USIKU?ni matokeo ya KUAMINI HAYA MAUZAUZA,,sometimes unaweza kuhisi ni MBWA,, JINI ,,,KUMBE NI MNYAMA KWELI,,,DEREVA makini huwa USIKU hakukwepi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku niko kwenye basi kutoka Moro kwenda Dar , maeneo mbele ya Chalinze, ulikatiza upepo mkali sana uliopelekea lile basi kutikisika, na basi lilikuwa speed, Sijaelewa ile mechanism mpaka leo , na wala si eneo ambalo labda lina tahadhari ya upepo mkali!
 
Duuuh mkuu hukuogopa?

mndamba kutoka Ifakara
 
Mimi mwaka juzi nakumbuka natoka zangu club nilimuona mwanamke wa kizungu barabarani kavaa baibui mrefu mzuriiiii...ilikuwa kama saa tisa usiku kasimama peke yake. Naamini alikuwa jini
Mixa ukagongana nae macho halafu ukahisi msisimko wa ajabu
 
Ukiwa na Yesu moyoni mwako ameweka makazi yake KATU haya yatabaki masimulizi tu hutayaona kwa macho yako. Katu giza halichangamani na Nuru. Kwa Jina la Yesu naachia ulinzi kwa kila mmoja wenu aendeshaye gari, ulinzi wa Roho Mtakatifu uwafunike katika Jina la Yesu
 
Wao pia walihisi gari kuyumba?
 
Nilikua natoka Mombo naingia Soni njiani nikakutana na watu kama wametoka sijui kwenye sherehe au ni nini wamevaa kama wanaijeria na makanzu wakanipiga mkono nikasimama wakaomba lift nikawapakia ilikua ni coaster kama dk tano tupo kweye safari naona kimya tu kucheki nyuma sikuti watu. nikawatukana tu kum.... zenu nikaenda kupaki
 
Baada ya hapo ikawaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuu!!! Hiyo ya malori noma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuu!!! Hiyo ya malori noma

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana mkuu,,vitu vingine hadi vikukute ,,vingine utaona ni story z kawaida,,ila Mimi sipendi kutembea USIKU sana,,,sio na gari hata kwa miguu,, ikifika SAA sita sijafika kwngu nakuwa na hofu sana ,,,mauzauza huanza SAA sita nanusu kwa sehem za MITI MIREFU AU PORINI,,,lakini sehem za mjini ni UKIWA USIKU MKUBWA,,,WENYE UPWEKE,,,nane,,Tisa,,Tisa na nusu,,hatari Sana MKUU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ujasiri wa kupita katikati ulikujaje mkuu?maana sipati picha ilikuwa hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ujasiri wa kupita katikati ulikujaje mkuu?maana sipati picha ilikuwa hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa no way out MKUU,, maana tayari nilikuwa KATI KATI ya BARABARA,,, mbele yangu magari mawili yamenitokea,,hata kama ningeenda pembeni nisingewahi,,,,ikabidi nikanyage mafuta,,,lakini kwny nafsi yang nilijiona ni kama ndy mwisho wa maisha yngu,, sikuamini kama ningeweza kupita pale kati kati ya zile Lori,,ilikuwa NO WAY OUT,,,,,kwnz nimemulikwa mataa usoni,,mbele KMO sioni vizuri,,akili yng ilidhani pengine mmoja wa DEREVA wa lori ndy angenikwepa Mimi,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku nilikua natembea njiani Muda wa saa sita hivi
Nilikua navuka uwanja kwenda jirani tu na hapo kama dakika 5hivi.

Ila ajabu kuanzia saa sita nilifka maeneo saa tisa,
Na pale wakati natembea nilikua napishana na watu wako busy kama mchana halafu ni eneo la kijijini,
Lile tukio sitasahau kamwe.



[emoji252] [emoji479]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…