Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,621
Mkuu na Walikuwa bize kweli haoo[emoji16][emoji16]ungejaribu hata salamu tu mkuuKuna siku nilikua natembea njiani Muda wa saa sita hivi
Nilikua navuka uwanja kwenda jirani tu na hapo kama dakika 5hivi.
Ila ajabu kuanzia saa sita nilifka maeneo saa tisa,
Na pale wakati natembea nilikua napishana na watu wako busy kama mchana halafu ni eneo la kijijini,
Lile tukio sitasahau kamwe.
[emoji252] [emoji479]
Mkuu upo online naomba niulize kdgo.Mkuu na Walikuwa bize kweli haoo[emoji16][emoji16]ungejaribu hata salamu tu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua kama zuzuMkuu na Walikuwa bize kweli haoo[emoji16][emoji16]ungejaribu hata salamu tu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu USIKU ni kwa ajili ya VISIVYOONEKANA KWA MACHO,,,unapaswa utulie,,sio muda wa kurandarandaKuna siku nilikua natembea njiani Muda wa saa sita hivi
Nilikua navuka uwanja kwenda jirani tu na hapo kama dakika 5hivi.
Ila ajabu kuanzia saa sita nilifka maeneo saa tisa,
Na pale wakati natembea nilikua napishana na watu wako busy kama mchana halafu ni eneo la kijijini,
Lile tukio sitasahau kamwe.
[emoji252] [emoji479]
Tumia browserMkuu upo online naomba niulize kdgo.
Kuangalia mtu last sedn humu jf nafanyajee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah aisee sasa mkuu hukuona kama unatembea sana ukachoka ama ulitembea kiasi cha muda ule ule ila kutizama saa inasoma 9?Nilikua kama zuzu
Naona tu watu wanapita na kurudi
Wengine wamekaa vikundi,
Na mie natembea
Imagine urefu wa uwanja utembee masaa kadhaa
Kukatisha pale katikati
[emoji252] [emoji479]
Ujana tu ulikua,Mkuu USIKU ni kwa ajili ya VISIVYOONEKANA KWA MACHO,,,unapaswa utulie,,sio muda wa kurandaranda
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumia vipi mkuu,mm sio mzoefu sanaaTumia browser
Ukiangalia profile yake utaona
[emoji252] [emoji479]
Humu umeingia kwa kupitia nini?
Yes ni appa kutoka playstore mkuuHumu umeingia kwa kupitia nini?
App au?
[emoji252] [emoji479]
Sasa kaingilie kupitia Google
Ina maana tukiacha hitajio langu,kutumia google ni tamu zaidi ya kutumia app?Sasa kaingilie kupitia Google
[emoji252] [emoji479]
Kila mtu na interest yake mimi natumia app tena ile ya old version hii mpya mbaya siitaki
Sioni utamu wa GoogleIna maana tukiacha hitajio langu,kutumia google ni tamu zaidi ya kutumia app?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yepi mkuu.Sioni utamu wa Google
Labda kwenye computer inapendeza.
Ila kwenye app Kuna mapungufu kadhaa
[emoji252] [emoji479]
Nenda utaona