Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

Mkuu na Walikuwa bize kweli haoo[emoji16][emoji16]ungejaribu hata salamu tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu na Walikuwa bize kweli haoo[emoji16][emoji16]ungejaribu hata salamu tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua kama zuzu
Naona tu watu wanapita na kurudi
Wengine wamekaa vikundi,
Na mie natembea
Imagine urefu wa uwanja utembee masaa kadhaa
Kukatisha pale katikati

[emoji252] [emoji479]
 
Mkuu USIKU ni kwa ajili ya VISIVYOONEKANA KWA MACHO,,,unapaswa utulie,,sio muda wa kurandaranda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua kama zuzu
Naona tu watu wanapita na kurudi
Wengine wamekaa vikundi,
Na mie natembea
Imagine urefu wa uwanja utembee masaa kadhaa
Kukatisha pale katikati

[emoji252] [emoji479]
Dah aisee sasa mkuu hukuona kama unatembea sana ukachoka ama ulitembea kiasi cha muda ule ule ila kutizama saa inasoma 9?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…