Kijana kijana
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 2,546
- 2,621
Mkuu na Walikuwa bize kweli haoo[emoji16][emoji16]ungejaribu hata salamu tu mkuuKuna siku nilikua natembea njiani Muda wa saa sita hivi
Nilikua navuka uwanja kwenda jirani tu na hapo kama dakika 5hivi.
Ila ajabu kuanzia saa sita nilifka maeneo saa tisa,
Na pale wakati natembea nilikua napishana na watu wako busy kama mchana halafu ni eneo la kijijini,
Lile tukio sitasahau kamwe.
[emoji252] [emoji479]
Sent using Jamii Forums mobile app