Hahahahahhahahaaaa Huu uzi umenikumbusha kitu. Siko upande wa mauza uza ila nilifahamiana na dereva mmoja wa malori wa kukatiza nchi kama 4 hivi barani Africa. Siku moja tukiwa Bukoba akawa ananisimulia vitu anavyokutana navyo barabaeani kama dereva mchana na usiku.
Kikubwa wizi, majambazi na majangiri kuna eneo ukiacha kioo wazi wanakutupia kopo la nyuki au nyoka. Ndani ya Salina kadhaa lazima usimamishe gari kama so kulidondosha. Kifuatacho ni kupakua mizigo kisha wanakuacha uwe mzima ah umeumia hawana habari na wewe kisha wanapotelea maporini.
Kuna moja hiyo nilicheka nusura nijikojolee, naomba nisimulie kisa chenyewe kama alivonisimulia.
Jamaa yangu miaka hiyo aliajiriwa kwenye kampuni ya usafirishaji mizigo ya mwarabu mmoja wa mwanza japo alikuwa dereva tayari na alijua kuendesha. Wakiondoka na mzigo tajiri aliwaasa njiani kuna majambazi na majangiri na hawaishii kuiba tuu wanabaka pia aka kuwasodomise. Kweli wakaondoka na dreva wake kufika katikati ya pori wakawekewa kizuizi na majangiri dereva akashuka kujaribu kuwasihi wawaachie wapite na Yule utingo alibaki kwenye gari. Wakaja wakamshusha utingo wakawaambia mkitaka muende na mzigo tunachukua roba moja na tunambaka mmoja wenu. Daah wakiwa na hamaki wakasema tumshughulikie dereva utingo Rudi kwenye hadi fastaa. Kweli dereva akashughulikiwamaana aliendesha kwa tabu sana mzigo ukafika salama lakini hawakupata mzigo wa kurudi nao hivi hawakuwa na hela Yaani lori lilirudi tupu.
Siku wanarudi na mwanza yule dereva alimwambia utingo, endesha wewe mimi nipumzike kufika pori lilelile wakasimamishwa na majangiri walewale wakasema, mnarudi haya leo tumshughulikie utingo dereva pumzika, bila kusubiri wakaenda upande wa abiria wakamshusha yule jamaa na kumsodomise tena......(wakati ananisimulia nilicheka hatariii)
Yule dereva kufika kwa mwarabu akarudisha funguo kazi imemshinda.
Kisa kingine alichokutana nacho huyo jamaa yangu safari za mwanza bukoba hadi mpakani Uganda akiwa bado utingo alipata dereva ambae mkewe alikuwa na wivu balaa halafu mzigo na mtata. Maana siku majangiri wanaobaka wakiwepo kwenye pori mojawapo huwa malori wanaambiana na kukaa vituo eneo kabla ya pori na wakiondoka basi safari huendelea. Ilimpa wakati mgumu maana alimuaga mkewe naondoka jumatatu tunarudi alhamis Ila wakikutana na changamoto kama hizo za kuwakwepa majangiri wabakaji anakaa muda mrefu zaidi matokeo yake mkewe anahisi amepita nyumba ndogo. Akirudi hata na zawadi bado anakuwa na kibarua cha kumuelewesha mkewe kuwa kazi yao ni ngumu na mambo wanayokutana nayo barabarani hawezi kuelezea yote.
Siku ya siku mkewe akamwambia leo tutasafiri wote nione hizi changamoto mnazokutana nazo. Akamsihi sana mkewe bakii mkewe kagoma basi kishingo upande jamaa akakubali mkewe wasafiri wote. Hamad kati ya pori majangiri wabakaji hasa hapa, wakawashusha wote, wakasema leo mna mwanamke.... Basi nyie rudini kwenye gari leo acha tufaidi mbele na nyuma. Dereva machozi yalimtoka akiahidi day la hela kubwa Hata akope waapi sanasana aliambulia kupigwa na ubapa wa mapanga mgongoni. Mkewe kuona mmewe anataka kuuwawa, analogs kelele, basi muacheni navua nchi zote, walipomaliza mke karudi kwenye gari hoiii. Walipofika walikokuwa wanapeleka mzigo, mke akamwambia dereva, mume wangu nisamehe kweli kazi yenu in a changamoto, pole sana. Naomba nirudi na basi nyie hata mkikaa wiki mbili sina wivu tena. Alikuwa mpole maana alihisi jamaa atamuacha. Dereva akamwambia tulia tunarudi wote uzuri saa ya kurudi pori lilikuwa shwari.
Safari moja kwenye vilima vya iringa kuna maiti ya mwizi mmoja wa mizigo ya malori walimkamata wamapiga hadi akafa halafu wakamuweka kwenye kilima chenye kina kali yaani ukija na gari unastukia huyu hapa alikanywagwa na magari hadi akapotelea kwenye lami. Hilo eneo pakajaa mafuta meusiii.....
Kasinde.