Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
mdogo wangu shetani kaniambia huku alipo kapata uwenyekiti ila ni kuchapa kazi mpaka moto umeongezeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kweliAliowakosea Mbona hakuwaita kwanza akawaomba MSAMAHA?
Mungu hutoa MSAMAHA baada ya wewe kusamehewa na uliowakosea
Yesu alisema " mtakaowafungia duniani watafungiwa mbinguni na mtakaowafungulia duniani watafunguliwa mbinguni"Kwamba Pengo anaondoa dhambi za mtu?????😆😆😆
Sakramenti ya Mafuta matakatifu ndio Nguvu yenyeweNguvu haihitajiki kumtetea Mwinyi wala Nyerere. Nguvu ya supersonic inahitaji kumtetea Jiwe.
somo: Jitahidi kuishi mkitenda haki
Huyu huyu Pengo alitukanwa chakari na Mbunge wa Kawe Gwajima baada ya Pengo kubali mahakama ya kaadhi ili wote wakristu tukinywa bia au kutafuna nguruwe wakatunyonge wale wenzetu??Mara nyingi ndugu wa mgonjwa ndio humfuata baba Paroko na kumuomba ampatie mgonjwa sakramenti ya Mafuta matakatifu
Lakini Shujaa Magufuli yeye mwenyewe alimuagiza CDF awaite Baba Paroko na Kardinali Pengo kwa ajili ya Huduma
Basi Yesu Kristo alisema " Dhambi zenu zijapokuwa Nyekundu zitafanywa nyeupe kama theruji"
Na tena " Watoza Ushuru watatangulia kuuona Ufalme wa Mbinguni kabla yenu"
Ni vema CDF Mabeyo ametoa Ufafanuzi maana umezima uvumi mwingi ukiwemo ule wa COVID 19
Mungu wa Mbinguni mbariki General Mabeyo
Mmm. Mwenyezi Mungu ndie anaetoa msamahaMara nyingi ndugu wa mgonjwa ndio humfuata baba Paroko na kumuomba ampatie mgonjwa sakramenti ya Mafuta matakatifu
Lakini Shujaa Magufuli yeye mwenyewe alimuagiza CDF awaite Baba Paroko na Kardinali Pengo kwa ajili ya Huduma
Basi Yesu Kristo alisema " Dhambi zenu zijapokuwa Nyekundu zitafanywa nyeupe kama theruji"
Na tena " Watoza Ushuru watatangulia kuuona Ufalme wa Mbinguni kabla yenu"
Ni vema CDF Mabeyo ametoa Ufafanuzi maana umezima uvumi mwingi ukiwemo ule wa COVID 19
Mungu wa Mbinguni mbariki General Mabeyo
Kwetu sisi haipo hivyo.....
Tusipangiane.
Hiyo ni imani yako wewe......
kama mababu wasiuwawe kwa dhambi za watoto wao wala watoto wao wasiuwawe kwa dhambi za mabbu zao kwamaana kila mtu na mzigo wake, vp mtu aweze kusamehe sambi zako. mapandpqe wanachofanya mi kukuombea tu ila kika mtu anavuna alichopamda. kwa imani ma matendn gan had usamehewe?hiyo ni mjibu wa imani yako sisi wakatoriki dhambi zetu tunaziungama kwa watawa wetuy kama paroko,asjkofi na hata papa. baki na imani yako
Kwastahili hii basi nyinyi hamna haja na Yesu kristo wala Mungu, wala hamhitaji kusubiri kiama.... sasa kama muna samehe dhambi? jamani Dunia ina vituko..Mara nyingi ndugu wa mgonjwa ndio humfuata baba Paroko na kumuomba ampatie mgonjwa sakramenti ya Mafuta matakatifu
Lakini Shujaa Magufuli yeye mwenyewe alimuagiza CDF awaite Baba Paroko na Kardinali Pengo kwa ajili ya Huduma
Basi Yesu Kristo alisema " Dhambi zenu zijapokuwa Nyekundu zitafanywa nyeupe kama theruji"
Na tena " Watoza Ushuru watatangulia kuuona Ufalme wa Mbinguni kabla yenu"
Ni vema CDF Mabeyo ametoa Ufafanuzi maana umezima uvumi mwingi ukiwemo ule wa COVID 19
Mungu wa Mbinguni mbariki General Mabeyo
uandishi wako sijauelewa mkuukama mababu wasiuwawe kwa dhambi za watoto wao wala watoto wao wasiuwawe kwa dhambi za mabbu zao kwamaana kila mtu na mzigo wake, vp mtu aweze kusamehe sambi zako. mapandpqe wanachofanya mi kukuombea tu ila kika mtu anavuna alichopamda. kwa imani ma matendn gan had usamehewe?