Kwa maelezo ya CDF mstaafu ni Kwamba Magufuli alipata Msamaha na Ondoleo la Dhambi zake zote mbele ya Kardinali Pengo!

πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Dakika yako ya mwisho ukiweza kutubu unakwenda mbinguni,rejea Majambazi mawili yaliyosulubiwa na Bwana Yesu msalabani,mmoja alimtukana na mmoja alitubu na Yesu akamwambia punde utakuwa nami mkono wa kuume wa Mungu Baba.
 
Kifo chake kilikuwa kifo chema kwa sababu alikufa akimtafuta Mungu ili amsamehe dhambi zake na pia alijua kwamba anakufa!
Tunachojua Ki Biblia ni kwamba mtu akifa akiwa na Roho Mtakatifu moyoni mwake, roho yake inakwenda peponi au paradiso na kama hana Roho Mtakatifu moyoni mwake, roho yake inakwenda kuzimu.
Mtu akifa, hatuna uwezo wa kufuatilia na kujua roho yake iko wapi!
Hakuna aliye na uwezo wa kufanya utafiti juu ya njia za Mungu na hukumu zake.
 
Dakika yako ya mwisho ukiweza kutubu unakwenda mbinguni,rejea Majambazi mawili yaliyosulubiwa na Bwana Yesu msalabani,mmoja alimtukana na mmoja alitubu na Yesu akamwambia punde utakuwa nami mkono wa kuume wa Mungu Baba.
Thubutu, mbingu ya nani. Tunapaswa kutubu sasahivi tupo wazima. Ile ya Yule msalabani ni kesi nyingine. Yesu alikuwa bado hajahubiliwa Ulimwenguni. Ndo kwanza kazi ilikuwa Haijaanza alafu wakati ule ilikuwa ngumu Sana kumtambuwa Yesu ndo muokozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…