Kwa mahojiano haya ya Deo Bonge na Ayo, atakuwa 'amefinywa'? Asema aachwe apumzike, analiamini Jeshi la Polisi kufanya kazi yake

Deo hawezi kaa kwenye media na kuongelea unachokipenda wewe ili ufurahi,badala yake ataongea kistaarabu hata kama ana maumivu moyoni,lengo ni kutoichafua serikali Kwa kile ambacho hakina ushahidi wa moja Kwa moja.

Deo ana familia inamtegemea ,hivi ulishawahi kuwaza raia wa kawaida ukaingia kwenye mzozo na serikali nini kitatokea?
 
Thanks for the reminder !!

Ngoja nikae kijanja
 
Jemba kama hizi ndiyo maana huwa zinaachwa zikapotee huko huko.
 
Aisee hawa nyumbu sasa wanataka kutuzoea wanatuona watoto wadogo ni wakati wa kuungana dhidi yao tukiua ata 5 watatuheshim tyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…