Kwa mambo haya mnataka tuoe kweli?

Kwa mambo haya mnataka tuoe kweli?

Kwahiyo wajuba "NILIYOWAKUSANYA" mnaikataa ndoa kwasababu haijaenda ile "direction" muitakayo?

Kwahiyo wajuba, kwakuwa tu amesema tofauti na mawazo yenu BASI KAWA MUONGO.

Kwahiyo wajuba, mnataka Dunia iende VILE MTAKAVYO NYIE.

Kwahiyo wajuba, huwa hamuwezi ku "defend" point zenu zaidi ya kutoa maneno ya kashfa kama ""mashoga nyie, mmelelewa na familia mbovu, mnamalezi mabovu N.k""

Kwahiyo wajuba, wakati mnasoma mashuleni kwenu ""Si mlikuwa na debate?"" Kwahiyo nyie mlikuwa na kazi ya kutukana wale waliowapinga, HAMKUFUNDISHWA KUITETEA MADA YENU KWA KUJENGA HOJA?

USHAURI WANGU KWENU.
ndugu zangu wakubali Ndoa, ni kweli ndoa ni Bora sanaa "KWENU" ila si kitu chochoteee kwetu.

Na ni kweli ndoa ni jambo lisilo na maana kwetu, ila ni jambo jema kwenu.

Sasa iko hivii...

Tukiwa tunajadili "HILI/HAYA" hebu tufungue akili zetu.

Tusitake Dunia na watu wotee waamini "Kile tuaminicho ni sahihi pia kwao"

Hebu Jenga hoja na sisi WAKATAA NDOA tutajenga hoja.

Ikifika point huoni usahihi wangu na cha kuandika huna basi "JUST AGREE TO DISAGREE" na ishia hapo.

Huna haja Tena ya kutoa maneno mabaya (negative words) kama "Wewe ni shoga" "Umemelewa na wazazi sijui wakoje"

Just shut up and move on.

sophy27 hebu njoo uwaelekeze wenzako hili nililosema.

Asanteni wotee MNAOITAMANI NDOA na nyie wengine Mungu awaongoze kwenye ndoa ZENU mzidi kuishi kwa kuvumiliana, ila sisi wengine MDOMO TU WA MWANAMKE TUMESHINDWA VUMILIA.

Nawasilisha;

Mr. Liverpool
Raisi wa KATAA NDOA duniani.

Nakala:-
dronedrake
Katibu Mkuu wa Chama - Kwa utekelezaji

#YNWA
Ulichoandika ni tofauti na kile nilichokiandika. Kuwa na ndoa au kutokuwa na ndoa ni suala binafsi na wala halihitaji kampeni.
 
Hamsikii tu.
1677491500428.jpg
 
Hiki kisa nimekichukua FB asee

Mimi ni mama wa watoto 2 mimi na mume wangu tulikua vizuri shida ni huyu mwanaume ambaye niko naye. Nimfanyakazi mwenzangu na ni mume wa mtu.

Mwanzo mahusiano yalikua ya kawaida tu tunafurahiana lakini baadaye nikajikuta naanza kumpenda nikabeba mimba yake na ndiyo huyu mtoto wangu wa pili.

Haikua shida ila mwaka jana mwishoni mke wake alijua, katika kuongea nilimtukana sana huyo mpaka akaondoka akarudi kwao. Alipoondokja nilipata uhuru wa kukaa naye zaidi nikawa natumia muda mwingi kwake mpaka mume wangu akagundua.

Kwa ushawishi wa huyu Kaka aliniambia nimuambie ukweli wangu ili tuachane kwani yeye kashaaachana na mke wake hivyo anataka tuishi pamoja.

Kweli nilimuambia mume wangu nikamuambia na kuwa mtoto mdogo si wake, mume wangu alikasirika sana basi akaniacha na kuondoka, alichukua kila kilichochake na kwenda kupangisha nyumba nyingine.

Hii nyumba na mume wangu tulijenga pamoja ingawa ina majina yake lakini aliniachia kila kitu yeye alichukua nguo tu. Baada ya mume wangu kuondoka huyu mwanaume alichukua vitu vyake na kuhamia kwangu kwani alikua kapanga tu.

Shida inakuja hivi, mwanaume hahudumii kwa chochote, anafanya kazi na anamshara mzuri lakini hatoi hata hela ya kula, mimi ndiyo namhudumia kila kitu, nikimuuliza matumizi anadai hana hale, tunagombana sana, shida yoyote ananiambia nimuombe mume wangu.

Mwanzo mume wangu alikua ananihudumia kwani alijua naishi mwenyewe, lakini baada ya kuwa namsumbua aligundua naishi na huyu mwanaume hapa, alikuja na kuchukua mtoto mkubwa ambaye ndiyo wakwake akampeleka kwa Mama yake, tangu siku hiyo hatoi chochote na hahangaiki na mimi.

Sababu ya kuja kwako ni hivi, huyu mwanaume anataka kwenda kuchukua watoto wake 3 ambao alizaa na mke wake , si hivyo tu, kuna wengine wawili alizaa huko nnje ananiambia anataka kuishi nao kwani nyumba kubwa, nawaza kama huyu mmoja hahudumii je akileta hao wengine itakuaje.

Kaka najuta kwanini nilimuacha mume wangu, kipindi cha mahusiano huyu Kaka alikua anahudumia, anajali hela yake naiona lakini sasa hivi nimemuacha mume wangu hanihudumii kwa chochote, nimechoka nataka kumuacha lakini hata sijui naanzia wapi naomba ushauri wako nifanya nini kaka?
Atakuwa jini huyu
Sisi wanawake hatuko hivi
 
MWANAUME UKIWA NA FAMILIA, UNAFANYA KAZI NYINGI, KWA MUDA MWINGI KWA AJILI YA FAMILIA. (UNAONEKANA WEWE SIO ROMANTIC).
WALE WANAUME WA WENGINE KWA SBB HUISHI NAO WANAONEKANA WANAJUA KUJALI, WANAJUA KUTUNZA, WANAJUA KUPENDA. HAYA SASA NENDA KUISHI NAO, UNAKUJA KUKUTA UMEUVAA MZOGA NA WAKATI HUO HUO UMEPOTEZA DHAHABU.
 
Hiki kisa nimekichukua FB asee

Mimi ni mama wa watoto 2 mimi na mume wangu tulikua vizuri shida ni huyu mwanaume ambaye niko naye. Nimfanyakazi mwenzangu na ni mume wa mtu.

Mwanzo mahusiano yalikua ya kawaida tu tunafurahiana lakini baadaye nikajikuta naanza kumpenda nikabeba mimba yake na ndiyo huyu mtoto wangu wa pili.

Haikua shida ila mwaka jana mwishoni mke wake alijua, katika kuongea nilimtukana sana huyo mpaka akaondoka akarudi kwao. Alipoondokja nilipata uhuru wa kukaa naye zaidi nikawa natumia muda mwingi kwake mpaka mume wangu akagundua.

Kwa ushawishi wa huyu Kaka aliniambia nimuambie ukweli wangu ili tuachane kwani yeye kashaaachana na mke wake hivyo anataka tuishi pamoja.

Kweli nilimuambia mume wangu nikamuambia na kuwa mtoto mdogo si wake, mume wangu alikasirika sana basi akaniacha na kuondoka, alichukua kila kilichochake na kwenda kupangisha nyumba nyingine.

Hii nyumba na mume wangu tulijenga pamoja ingawa ina majina yake lakini aliniachia kila kitu yeye alichukua nguo tu. Baada ya mume wangu kuondoka huyu mwanaume alichukua vitu vyake na kuhamia kwangu kwani alikua kapanga tu.

Shida inakuja hivi, mwanaume hahudumii kwa chochote, anafanya kazi na anamshara mzuri lakini hatoi hata hela ya kula, mimi ndiyo namhudumia kila kitu, nikimuuliza matumizi anadai hana hale, tunagombana sana, shida yoyote ananiambia nimuombe mume wangu.

Mwanzo mume wangu alikua ananihudumia kwani alijua naishi mwenyewe, lakini baada ya kuwa namsumbua aligundua naishi na huyu mwanaume hapa, alikuja na kuchukua mtoto mkubwa ambaye ndiyo wakwake akampeleka kwa Mama yake, tangu siku hiyo hatoi chochote na hahangaiki na mimi.

Sababu ya kuja kwako ni hivi, huyu mwanaume anataka kwenda kuchukua watoto wake 3 ambao alizaa na mke wake , si hivyo tu, kuna wengine wawili alizaa huko nnje ananiambia anataka kuishi nao kwani nyumba kubwa, nawaza kama huyu mmoja hahudumii je akileta hao wengine itakuaje.

Kaka najuta kwanini nilimuacha mume wangu, kipindi cha mahusiano huyu Kaka alikua anahudumia, anajali hela yake naiona lakini sasa hivi nimemuacha mume wangu hanihudumii kwa chochote, nimechoka nataka kumuacha lakini hata sijui naanzia wapi naomba ushauri wako nifanya nini kaka?
Si walifuata msemo wa KATAA NDOA.... Aendelee tu .... Aende tu makao makuu ya KATAA NDOA Kwa msaada zaidi...kumbaafu
 
1, Mwanamke Akamwambie mmewe ukweli na mtoto huyu si wako
2, Mume akamuachia kila kitu na nyumba Akaenda Kupanga
3,Bado akaendelea Kumhudumia huyo Mwanamke
4', Mwanamme Akahamia kwa Mwanamke Nyumba ya Mwanaume Mwenzie Yeye Kapanga!
5,Mwanamme mwenye mke Akaijia Mtoto wake Baada yakugundua Nyumba yake Anaishi mwaume Aliye mzalisha Mkewe!!

Basi kama Nikweli Mwenyemke Atafutwe na Apewe Tuzo ya Amani
Kuacha nyumba ni easy tu mkuu... Wala usiwaze tupo tuliochaga kitambo tu.... Na maisha yakamchapa vya kutosha .... Vikao viiingiii Kwa ajili ya watoto tu nikarudi ila Kila mtu na ratiba zake ..... Kuachia nyumba sio issue ...issue wanajazaje choo na kuvaa na kuishi Kwa ujumla wake.
 
Story za iddi malengo hizo.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app

Dada sio story haya mambo hutokea kweli
Imemtokea jamaa yangu hi
Tena msimuliaji alipoanza nkajua anamuongea jamaa yangu kumbe ni tofauti

Ni kisa cha kweli kabisa.... now nnaloongea na wewe jamaa yangu kabaki na nyumba na mtoto wake tu
Yule wa pili alikua wa huyo dogo alieenda kuishi na shemeji

Haya mambo yapo na yanatokea kwenye jamii zetu
Kwakweli kuna wakati wanaokataa ndoa naona wapo sawa
Me nmekulia mazingira ya dini na nna amini MUNGU
Na MUNGU ndio muasisi wa ndoa hivyo naamimi kukataa ndoa ni kwenda kinyume na MUNGU

sasa sijui tushike lipi...
I wishi niowe mke atakaenielewa na nimuelewe pia
TUELEWANE. Ila ukisikia haya unashuka chini unaanza na zeo
 
Dada sio story haya mambo hutokea kweli
Imemtokea jamaa yangu hi
Tena msimuliaji alipoanza nkajua anamuongea jamaa yangu kumbe ni tofauti

Ni kisa cha kweli kabisa.... now nnaloongea na wewe jamaa yangu kabaki na nyumba na mtoto wake tu
Yule wa pili alikua wa huyo dogo alieenda kuishi na shemeji

Haya mambo yapo na yanatokea kwenye jamii zetu
Kwakweli kuna wakati wanaokataa ndoa naona wapo sawa
Me nmekulia mazingira ya dini na nna amini MUNGU
Na MUNGU ndio muasisi wa ndoa hivyo naamimi kukataa ndoa ni kwenda kinyume na MUNGU

sasa sijui tushike lipi...
I wishi niowe mke atakaenielewa na nimuelewe pia
TUELEWANE. Ila ukisikia haya unashuka chini unaanza na zeo
Watu wabishi sana sijui kwann hawaelewi [emoji19][emoji19]
 
Tuendelee kumsubiri masia atakuja soon,dunia iishe hatimaye tukauone mji mpya,yerusalemu ule mji wa dhahabu.Ndoa tuwaachie wenye uwezo nazo
 
Dada sio story haya mambo hutokea kweli
Imemtokea jamaa yangu hi
Tena msimuliaji alipoanza nkajua anamuongea jamaa yangu kumbe ni tofauti

Ni kisa cha kweli kabisa.... now nnaloongea na wewe jamaa yangu kabaki na nyumba na mtoto wake tu
Yule wa pili alikua wa huyo dogo alieenda kuishi na shemeji

Haya mambo yapo na yanatokea kwenye jamii zetu
Kwakweli kuna wakati wanaokataa ndoa naona wapo sawa
Me nmekulia mazingira ya dini na nna amini MUNGU
Na MUNGU ndio muasisi wa ndoa hivyo naamimi kukataa ndoa ni kwenda kinyume na MUNGU

sasa sijui tushike lipi...
I wishi niowe mke atakaenielewa na nimuelewe pia
TUELEWANE. Ila ukisikia haya unashuka chini unaanza na zeo
😂😂😂😂👏👏👏
 
KATAA NDOAAAAAÀAAAAAAAAAAAAAAA
KATAA NDOAAAAAÀAAAAAAAAAAAAAAA
KATAA NDOAAAAAÀAAAAAAAAAAAAAAA
KATAA NDOAAAAAÀAAAAAAAAAAAAAAA
 
Hiki kisa nimekichukua FB asee

Mimi ni mama wa watoto 2 mimi na mume wangu tulikua vizuri shida ni huyu mwanaume ambaye niko naye. Nimfanyakazi mwenzangu na ni mume wa mtu.

Mwanzo mahusiano yalikua ya kawaida tu tunafurahiana lakini baadaye nikajikuta naanza kumpenda nikabeba mimba yake na ndiyo huyu mtoto wangu wa pili.

Haikua shida ila mwaka jana mwishoni mke wake alijua, katika kuongea nilimtukana sana huyo mpaka akaondoka akarudi kwao. Alipoondokja nilipata uhuru wa kukaa naye zaidi nikawa natumia muda mwingi kwake mpaka mume wangu akagundua.

Kwa ushawishi wa huyu Kaka aliniambia nimuambie ukweli wangu ili tuachane kwani yeye kashaaachana na mke wake hivyo anataka tuishi pamoja.

Kweli nilimuambia mume wangu nikamuambia na kuwa mtoto mdogo si wake, mume wangu alikasirika sana basi akaniacha na kuondoka, alichukua kila kilichochake na kwenda kupangisha nyumba nyingine.

Hii nyumba na mume wangu tulijenga pamoja ingawa ina majina yake lakini aliniachia kila kitu yeye alichukua nguo tu. Baada ya mume wangu kuondoka huyu mwanaume alichukua vitu vyake na kuhamia kwangu kwani alikua kapanga tu.

Shida inakuja hivi, mwanaume hahudumii kwa chochote, anafanya kazi na anamshara mzuri lakini hatoi hata hela ya kula, mimi ndiyo namhudumia kila kitu, nikimuuliza matumizi anadai hana hale, tunagombana sana, shida yoyote ananiambia nimuombe mume wangu.

Mwanzo mume wangu alikua ananihudumia kwani alijua naishi mwenyewe, lakini baada ya kuwa namsumbua aligundua naishi na huyu mwanaume hapa, alikuja na kuchukua mtoto mkubwa ambaye ndiyo wakwake akampeleka kwa Mama yake, tangu siku hiyo hatoi chochote na hahangaiki na mimi.

Sababu ya kuja kwako ni hivi, huyu mwanaume anataka kwenda kuchukua watoto wake 3 ambao alizaa na mke wake , si hivyo tu, kuna wengine wawili alizaa huko nnje ananiambia anataka kuishi nao kwani nyumba kubwa, nawaza kama huyu mmoja hahudumii je akileta hao wengine itakuaje.

Kaka najuta kwanini nilimuacha mume wangu, kipindi cha mahusiano huyu Kaka alikua anahudumia, anajali hela yake naiona lakini sasa hivi nimemuacha mume wangu hanihudumii kwa chochote, nimechoka nataka kumuacha lakini hata sijui naanzia wapi naomba ushauri wako nifanya nini kaka?
Nawewe muachie nyumba ukimbie,kama mme wako wa kwanza alivyokuachia nyumba akakimbia na nguo zake,
ila wewe fanya tofauti kidogo,kimbia na mtoto wako,ili huyo mme mpya alete hapo mke wake walee watoto wao.
 
Back
Top Bottom