Kwahiyo wajuba "NILIYOWAKUSANYA" mnaikataa ndoa kwasababu haijaenda ile "direction" muitakayo?
Kwahiyo wajuba, kwakuwa tu amesema tofauti na mawazo yenu BASI KAWA MUONGO.
Kwahiyo wajuba, mnataka Dunia iende VILE MTAKAVYO NYIE.
Kwahiyo wajuba, huwa hamuwezi ku "defend" point zenu zaidi ya kutoa maneno ya kashfa kama ""mashoga nyie, mmelelewa na familia mbovu, mnamalezi mabovu N.k""
Kwahiyo wajuba, wakati mnasoma mashuleni kwenu ""Si mlikuwa na debate?"" Kwahiyo nyie mlikuwa na kazi ya kutukana wale waliowapinga, HAMKUFUNDISHWA KUITETEA MADA YENU KWA KUJENGA HOJA?
USHAURI WANGU KWENU.
ndugu zangu wakubali Ndoa, ni kweli ndoa ni Bora sanaa "KWENU" ila si kitu chochoteee kwetu.
Na ni kweli ndoa ni jambo lisilo na maana kwetu, ila ni jambo jema kwenu.
Sasa iko hivii...
Tukiwa tunajadili "HILI/HAYA" hebu tufungue akili zetu.
Tusitake Dunia na watu wotee waamini "Kile tuaminicho ni sahihi pia kwao"
Hebu Jenga hoja na sisi WAKATAA NDOA tutajenga hoja.
Ikifika point huoni usahihi wangu na cha kuandika huna basi "JUST AGREE TO DISAGREE" na ishia hapo.
Huna haja Tena ya kutoa maneno mabaya (negative words) kama "Wewe ni shoga" "Umemelewa na wazazi sijui wakoje"
Just shut up and move on.
sophy27 hebu njoo uwaelekeze wenzako hili nililosema.
Asanteni wotee MNAOITAMANI NDOA na nyie wengine Mungu awaongoze kwenye ndoa ZENU mzidi kuishi kwa kuvumiliana, ila sisi wengine MDOMO TU WA MWANAMKE TUMESHINDWA VUMILIA.
Nawasilisha;
Mr. Liverpool
Raisi wa KATAA NDOA duniani.
Nakala:-
dronedrake
Katibu Mkuu wa Chama - Kwa utekelezaji
#YNWA