Kwa mambo kama haya Dada zangu mnajiharibia sana kisha baadaye mnatulaumu

Kwa mambo kama haya Dada zangu mnajiharibia sana kisha baadaye mnatulaumu

Kuna mzee mmoja miaka ya 80 alipata scholarship kwenda Italy kupata course flani ndipo alipofika hotel akaagiza chakula bei kubwa kuliko vyote akaletewa dude limefunikwa kuja kufuna BONGE LA KOBE LIMEOKWA alirudisha change kabla hata ya kuligusa
Acha utani mkuu. Miaka 80 apate scholarship?! Seriously?!
 
Alikuona boya. Mm manzi tukienda nae kupata moja baridi moja ya moto namwambia kabisa kwa option mbili either anywe Balimi au Eagle. Mambo ya savanna tutagombana haiwezekani mtafutaji anywe local beer yeye azibue imported
Safi sana. Kwangu mimi nakuwa namjua kabisa pombe zake. Mimi ndio namtuma Waiter...lete savana. Lete Kilimanjaro sio uagize kama pesa ni yako. Kama unaniona mi bahili basi nunua kwa pesa zako. Sitakagi ujinga mimi.
 
Mimi toka nikiwa mdogo huwa najua wanawake hawanaga huruma na hela ya mwanaume.

Mmoja aliwah pata upele kwa sababu ya joto lililotokana na kubanwa na mkanda wa sindiria,
Basi hvyo vipele kila siku ilikuwa ni kelele akitaka nimpeleke hospital
Mwsho wa sku nkaamua nimpeleke duka la madawa ambalo lina daktari,
Tumefika bahati mbaya hatukumkuta daktari lakin muuzaji aliekuwepo tukamwelezea tatzo akatuambia tube fulani ya kununua lakin alivyokiona kidonda akasema mbona kimeshakauka(na kabla ya kwenda dukani nilkuwa namwambia kuwa huo upele utakauka wenyew lakin hakutaka kukubal)

Basi tukachukua hyo tube,tumetoka pale dukani anasema twende duka lingine tuone nao watasemaje,duka jingine huko ndo tulikutana na wataalamu makajanja wanamwambia hyo ni fungus na itakuwa ipo mwilin wakatupatia dawa za kumeza na wakatupatia tube nyingine tofauti.Nikawa mwanaume nmetoboka kizembe tu siku hyo
 
Socket naye hamna kitu. Yeye anaamini Mwanamke ni tabia mbaya wakati hapo alikiwa ananyooshwa yeye bila kujua. Wanawake wana akili sana
😂😂 akisoma hii comment ataacha kabisa kumtoa out bàbe wake anaogopa kukomolewa😂
 
Hizi njaa ni nextlevel, demu anataka kula misosi ya gharama tu yani haoni kama hela anayotumia hovyo ingekuwa yake asingeifanyia hivyo yani mnajishushiaga heshima bila mpango
Kula msosi wa gharama sio dhambi acha uoga wa maisha, ila kula kwa kufuru kama vile kesho hamna kula ndo sio.


Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Itakuwa wote wamemkimbia ksbb ya tabia zake. Hana akili hata moja huyo. Mweupe
 
Alikuomba umsaidie ameshindwa kulea wanae?
Kama alikuomba ni sawa

Ila isije ikawa unatumia gia ya kumsaidia ili umkule kimasihara sasa ye amekuwahi akaamua akuingize hasara
Yan hilo ndio lengo..alimpeleka aoime UTI ili naye akampime tena hiyo hiyo UTI mwsho wa siku almost 400k imefyekelewa mbali😂
 
Ndivyo walivyo mkuu, ukimuonea huruma ndo anapata kachance ka kukupigamo.

Akiwa na mtoto mkiwa manapiga story, lawama zote za maisha magumu atampa mwanae ila ukitaka kutoa msaada atajipa yeye kipaumbele yeye mwenyewe na sio mwanae anaemlaumu kumletea maisha magumu.
 
Hizo pesa za kucheza mnazitoaga wapi wakuu ...! Pole Sana kwa kutana na mwanamke mzuri lakini kichwani ni box
Wanawake wengi akishaaminishwa najamii Kua nimzuri basi anahisi kila kitu kitamuendea Sawa hivyo kushindwa Kua nanidhamu Yamaisha nakujiheshimu,hawa wahivi tumezaa nao Ila kila ukifikiria jinsi ambavyo Amekua overwhelmed kichwani nadhana ya uzuri basi anazani kila kitu kwakwe kitakua Sawa hivyo kupunguza uwajibikaji katika maisha Yake binafsi,inaumiza Sana ,
 
Pole dear, cha ajabu hizo dawa hatozimaliza dozi

Tatizo wanaume wengi mnaangalia uzuri tu wa mwanamke na kusahau kuangalia akili yake..

Kiukweli, my first priority is my child, bora tukanunue mazaga zaga tupike home.Kuliko nile vizuri restaurant wakati home hamna mboga.
 
Ndio maana yake na alimkomoa kweli kweli. akamwambi Dr Nipime na kolestero. Bill ikaja kama vile kafanyiwa operesheni.


Mkome kutelekeza wanawake badae nyege zikiwajaa mnarudi tena.
🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom