Kwa mambo kama haya Dada zangu mnajiharibia sana kisha baadaye mnatulaumu

Kwa mambo kama haya Dada zangu mnajiharibia sana kisha baadaye mnatulaumu

Huyu dada ni rafiki yangu kiasi flani maana tuliwahi kuwa karibu kipindi cha nyuma. Nmekuja kutana naye this time ana watoto watatu wana baba tofauti.

Na hawa baba zao wote wamemwachia yeye watoto. So anahangaika nao sana. Nilipokutana naye tukaongea nilimwonea huruma sana.nikawaza how to help her. Sikumwambia lolote lakini.

Juzi kaniambia anaumwa UTI nikaona leo nimpeleke Hosp. Kwa roho safi kabisa. Pamoja na kuwa najua ana Bima maana anafanya kazi Serikalini.

Akanitajia jina la Hosp flani ndo anapenda aende huko. Nikampeleka.... Tumeenda amepima kila ugonjwa mwilini na kuchukua dawa nyingi sana. Yaani alikuwa anaomba tu apimwe kitu flani,apimwe na hiki, apimwe na kile....

Mwishowe akawa anaomba apewe dawa na nyingine anazo kwenye simu anaomba aandikiwe apewe. Analeta Bill Tsh 378,000. Nilipe. Kweli nimelipa. But ameni disappoint sana. Anaonekana hana utu au hajui thamani ya pesa ya mwenzie.

Wakati mimi nlidhani ataangalia tu UTI ,Typhoid na Malaria. Then tutoke twende fanya shopping ya vyakula awapelekee watoto. Yeye kaona watoto wake wataenda kula madawa.

Tunatoka ananambia "sasa tunaelekea wapi My?" Nimemjibu tu nyumbani kwako.

Anaonekana hajafurahi. Tunarudi ananiambia 'yaani hapa sijui hata nachowaza My.... Nyumbani nimeishiwa kila kitu" nimejisikia uvivu hata kumjibu. Nimeona tu huyu dada akili hana.

Last week tumetoka out akawa anaagiza vinywaji vya gharama na kuku mzima ambaye hakummaliza nikadhani atabeba apeleke nyumbani. Akaacha. Nlimwambia basi si bora angeagiza nusu. Akajibu tu hakutegemea kuku angekuwa mkubwa kiasi kile. Simple like that.

Nimeshindwa namna ya kuendelea kuwaza msaidia. Maana naona hasaidiki. Sijui anawaza nini. Dada mzuri sister du but kichwani mweupe kabisa. Huku analalamika kuwa wazazi wenzie wamemwachia tu watoto ahangaike nao peke yake.

Imeniumiza sana. Akina dada muwe na subra, uvumilivu na upendo. Usimkatishe tamaa mtu anayetaka kukusaidia.

Wewe ni fala sasa Kwann asitumie bima yake mfyuuu
 
Wanakera Sana,Ni utomvu kweli wa nidhamu na kutaka kufukuziana riziki ndani ya nyumba...imagine umwage sahani nzima?malaika mgawa riziki akipita anasema Hawa kimewazidia,anapita zake😆


🤣🤣🤣 n kweli kabsa
 
Huyu dada ni rafiki yangu kiasi flani maana tuliwahi kuwa karibu kipindi cha nyuma. Nmekuja kutana naye this time ana watoto watatu wana baba tofauti.

Na hawa baba zao wote wamemwachia yeye watoto. So anahangaika nao sana. Nilipokutana naye tukaongea nilimwonea huruma sana.nikawaza how to help her. Sikumwambia lolote lakini.

Juzi kaniambia anaumwa UTI nikaona leo nimpeleke Hosp. Kwa roho safi kabisa. Pamoja na kuwa najua ana Bima maana anafanya kazi Serikalini.

Akanitajia jina la Hosp flani ndo anapenda aende huko. Nikampeleka.... Tumeenda amepima kila ugonjwa mwilini na kuchukua dawa nyingi sana. Yaani alikuwa anaomba tu apimwe kitu flani,apimwe na hiki, apimwe na kile....

Mwishowe akawa anaomba apewe dawa na nyingine anazo kwenye simu anaomba aandikiwe apewe. Analeta Bill Tsh 378,000. Nilipe. Kweli nimelipa. But ameni disappoint sana. Anaonekana hana utu au hajui thamani ya pesa ya mwenzie.

Wakati mimi nlidhani ataangalia tu UTI ,Typhoid na Malaria. Then tutoke twende fanya shopping ya vyakula awapelekee watoto. Yeye kaona watoto wake wataenda kula madawa.

Tunatoka ananambia "sasa tunaelekea wapi My?" Nimemjibu tu nyumbani kwako.

Anaonekana hajafurahi. Tunarudi ananiambia 'yaani hapa sijui hata nachowaza My.... Nyumbani nimeishiwa kila kitu" nimejisikia uvivu hata kumjibu. Nimeona tu huyu dada akili hana.

Last week tumetoka out akawa anaagiza vinywaji vya gharama na kuku mzima ambaye hakummaliza nikadhani atabeba apeleke nyumbani. Akaacha. Nlimwambia basi si bora angeagiza nusu. Akajibu tu hakutegemea kuku angekuwa mkubwa kiasi kile. Simple like that.

Nimeshindwa namna ya kuendelea kuwaza msaidia. Maana naona hasaidiki. Sijui anawaza nini. Dada mzuri sister du but kichwani mweupe kabisa. Huku analalamika kuwa wazazi wenzie wamemwachia tu watoto ahangaike nao peke yake.

Imeniumiza sana. Akina dada muwe na subra, uvumilivu na upendo. Usimkatishe tamaa mtu anayetaka kukusaidia.
Maskini huyo demu anakula madawa ya kulevya. Hakuna akili hapo mpeleke kwanza Sober house
 
Ndio walivyohao, juzi kuna mmoja tulikutana Makao makuu ya nchi nikampeleka Royal tumefika anamuuliza mhudumu ampe menu ya vyakula vyakizungu nilivyoona hvyo nikakumbuka alishawahi nisumbua kuagiza pizza na milk shake ambayo aliiacha akisema ni mbaya inasukari nyingi, basi mm nikaagiza makange ya kuku yakaja akaonja akasema yana chumvi, mm nikala nikamaliza na pepsi baada ya hapo akasema anataka bites tena za supermarket usiku wa saa 7 nikaona poa kwa nje kuna maduka lakini chakushangaza akanunua chocolate zile kubwa mbili na maziwa.
Kesho yake nikampeleka sehemu pale wanaita oven....akaagiza pizza na milk shake alivyoanza kula akaniambia hajapenda hiyo ladha hivyo abadili na mm nikamkata jicho.
Kesho yake tena nikampeleka Mwambao tukaagiza but yeye aliagiza vitu vingi nikamwambia cha msingi umalize ila mwisho wa siku aligusa kila kimoja akasema ameshiba
Jioni akasema anataka sehemu iliyotulia, pale mwambao kwa juu kulia kuna mgahawa flani kama wakihindi umetulia. Tukafika akapewa menu alivyochagua akaambiwa hamna kwa sasa ikabd achague upya.
Baada ya hapo kwakuwa kesho tulisafiri kurudi makwetu akaniambia tutafute maduka ya nguo nikamwambia tayari tumeshatumia zaidi ya 300k so imetosha

Nilichogundua baadhi ya wanawake wanakuwa single mother kwa sababu ambazo huwa wanajitakia wenyewe kwasababu huyu alikuwa anachagua chakula chenye gharama kubwa kuliko chochote kwenye menu. Ukiachana na dread alizotaka kusuka kwa 100,000
Hizo pesa ulizokuwa unatumia umezitafuta kwa jasho lako mwenyewe au za kafara au za wizi na shulma? Lakini pia wakati wewe unamuona kama hamnazo mwenzako ni mjanja alikuwa anakunyoosha kwa makusudi na hukugundua.
 
Alikuomba umsaidie ameshindwa kulea wanae?
Kama alikuomba ni sawa

Ila isije ikawa unatumia gia ya kumsaidia ili umkule kimasihara sasa ye amekuwahi akaamua akuingize hasara
Thank you. Wanaume wengine hatujielewi. Yaani vitu vidogo kama hivi unashindwa kuvielewa.

Mwanamke anayejali na kukujali pia na wewe she will always take care your wealth. Hata kama hamna uhusiano.
 
huyu alitaka kukukomoa ama😂, hivyo vyakula alivoagiza sijavielewa uzungu wa nini angeagiza zake makange chips buku 10 labda angekula akaenjoy. ona sasa yeye mwenyewe hakuenjoy, afu ni ulimbukeni tu inabidi kuagiza kitu unachokifahamu na unakipenda.
Socket naye hamna kitu. Yeye anaamini Mwanamke ni tabia mbaya wakati hapo alikiwa ananyooshwa yeye bila kujua. Wanawake wana akili sana
 
Msisingizie usingle mom jamani. Wengine hayo maisha ya kula sehemu nzuri hawajazoea wakipata mtu wanaona wamalize kabisa na wao wasikose cha kuhadithia. Kakosa exposure huyo wako ndo maana hata hajui ale nini na bado anakula kama anamkomoa mlipaji
Hizi njaa ni nextlevel, demu anataka kula misosi ya gharama tu yani haoni kama hela anayotumia hovyo ingekuwa yake asingeifanyia hivyo yani mnajishushiaga heshima bila mpango
 
Si useme tuu mtoto mmoja ni wako!!
Unazunguukaaa.
Ndio maana yake na alimkomoa kweli kweli. akamwambi Dr Nipime na kolestero. Bill ikaja kama vile kafanyiwa operesheni.


Mkome kutelekeza wanawake badae nyege zikiwajaa mnarudi tena.
 
Hizi njaa ni nextlevel, demu anataka kula misosi ya gharama tu yani haoni kama hela anayotumia hovyo ingekuwa yake asingeifanyia hivyo yani mnajishushiaga heshima bila mpango
Mwanamke hata kama ana lipwa pesa nyingi ni wachache sana anaweA kusuka nywele za 70k bila kuhongwa.

Pesa ya kutafuta ina thamani sana na wanaijali
 
Mwanamke hata kama ana lipwa pesa nyingi ni wachache sana anaweA kusuka nywele za 70k bila kuhongwa.

Pesa ya kutafuta ina thamani sana na wanaijali
Hapo ndio inaponichosha, kuna manzi nilimuuliza juzi kiutani tu kuwa nataka nimtoe out huwa anapendelea vinywaji gani akasema oh pombe mi sinywi ila maybe robertson, saint anne and the like😂 nikamtega nikamuuliza je, wewe ulishawahi kujinunulia vinywaji vya aina hio hata siku moja endapo ukienda mwenyewe akacheka sana na kudai hawezi fanya hivyo kwa hela yake!

Utaona jinsi gani watoto wa kike ni wahuni mno😂
 
Ndio walivyohao, juzi kuna mmoja tulikutana Makao makuu ya nchi nikampeleka Royal tumefika anamuuliza mhudumu ampe menu ya vyakula vyakizungu nilivyoona hvyo nikakumbuka alishawahi nisumbua kuagiza pizza na milk shake ambayo aliiacha akisema ni mbaya inasukari nyingi, basi mm nikaagiza makange ya kuku yakaja akaonja akasema yana chumvi, mm nikala nikamaliza na pepsi baada ya hapo akasema anataka bites tena za supermarket usiku wa saa 7 nikaona poa kwa nje kuna maduka lakini chakushangaza akanunua chocolate zile kubwa mbili na maziwa.
Kesho yake nikampeleka sehemu pale wanaita oven....akaagiza pizza na milk shake alivyoanza kula akaniambia hajapenda hiyo ladha hivyo abadili na mm nikamkata jicho.
Kesho yake tena nikampeleka Mwambao tukaagiza but yeye aliagiza vitu vingi nikamwambia cha msingi umalize ila mwisho wa siku aligusa kila kimoja akasema ameshiba
Jioni akasema anataka sehemu iliyotulia, pale mwambao kwa juu kulia kuna mgahawa flani kama wakihindi umetulia. Tukafika akapewa menu alivyochagua akaambiwa hamna kwa sasa ikabd achague upya.
Baada ya hapo kwakuwa kesho tulisafiri kurudi makwetu akaniambia tutafute maduka ya nguo nikamwambia tayari tumeshatumia zaidi ya 300k so imetosha

Nilichogundua baadhi ya wanawake wanakuwa single mother kwa sababu ambazo huwa wanajitakia wenyewe kwasababu huyu alikuwa anachagua chakula chenye gharama kubwa kuliko chochote kwenye menu. Ukiachana na dread alizotaka kusuka kwa 100,000
Fupa lililomshinda fisi wewe unawezaje kupambana nalo?
 
huyu alitaka kukukomoa ama😂, hivyo vyakula alivoagiza sijavielewa uzungu wa nini angeagiza zake makange chips buku 10 labda angekula akaenjoy. ona sasa yeye mwenyewe hakuenjoy, afu ni ulimbukeni tu inabidi kuagiza kitu unachokifahamu na unakipenda.
Mkiona Menu list mkiwa na ATM zinazotembe (wanaume) si huwa mnajifyatua tu yani
 
Hapo ndio inaponichosha, kuna manzi nilimuuliza juzi kiutani tu kuwa nataka nimtoe out huwa anapendelea vinywaji gani akasema oh pombe mi sinywi ila maybe robertson, saint anne and the like😂 nikamtega nikamuuliza je, wewe ulishawahi kujinunulia vinywaji vya aina hio hata siku moja endapo ukienda mwenyewe akacheka sana na kudai hawezi fanya hivyo kwa hela yake!

Utaona jinsi gani watoto wa kike ni wahuni mno😂
Ni wahuni sana. Usiwahendekeza kwa kutaka sifa utakufa masikini🤣🤣
 
Hapo ndio inaponichosha, kuna manzi nilimuuliza juzi kiutani tu kuwa nataka nimtoe out huwa anapendelea vinywaji gani akasema oh pombe mi sinywi ila maybe robertson, saint anne and the like[emoji23] nikamtega nikamuuliza je, wewe ulishawahi kujinunulia vinywaji vya aina hio hata siku moja endapo ukienda mwenyewe akacheka sana na kudai hawezi fanya hivyo kwa hela yake!

Utaona jinsi gani watoto wa kike ni wahuni mno[emoji23]
Alikuona boya. Mm manzi tukienda nae kupata moja baridi moja ya moto namwambia kabisa kwa option mbili either anywe Balimi au Eagle. Mambo ya savanna tutagombana haiwezekani mtafutaji anywe local beer yeye azibue imported
 
Back
Top Bottom