Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Shulma= dhulmaHizo pesa ulizokuwa unatumia umezitafuta kwa jasho lako mwenyewe au za kafara au za wizi na shulma? Lakini pia wakati wewe unamuona kama hamnazo mwenzako ni mjanja alikuwa anakunyoosha kwa makusudi na hukugundua.
Acha utani mkuu. Miaka 80 apate scholarship?! Seriously?!Kuna mzee mmoja miaka ya 80 alipata scholarship kwenda Italy kupata course flani ndipo alipofika hotel akaagiza chakula bei kubwa kuliko vyote akaletewa dude limefunikwa kuja kufuna BONGE LA KOBE LIMEOKWA alirudisha change kabla hata ya kuligusa
ThanksShulma= dhulma
Safi sana. Kwangu mimi nakuwa namjua kabisa pombe zake. Mimi ndio namtuma Waiter...lete savana. Lete Kilimanjaro sio uagize kama pesa ni yako. Kama unaniona mi bahili basi nunua kwa pesa zako. Sitakagi ujinga mimi.Alikuona boya. Mm manzi tukienda nae kupata moja baridi moja ya moto namwambia kabisa kwa option mbili either anywe Balimi au Eagle. Mambo ya savanna tutagombana haiwezekani mtafutaji anywe local beer yeye azibue imported
HujaelewaAcha utani mkuu. Miaka 80 apate scholarship?! Seriously?!
Tena kama ni wewe naagiza na burger nifungiwe ya kula home😂Mkiona Menu list mkiwa na ATM zinazotembe (wanaume) si huwa mnajifyatua tu yani
😂😂 akisoma hii comment ataacha kabisa kumtoa out bàbe wake anaogopa kukomolewa😂Socket naye hamna kitu. Yeye anaamini Mwanamke ni tabia mbaya wakati hapo alikiwa ananyooshwa yeye bila kujua. Wanawake wana akili sana
Kula msosi wa gharama sio dhambi acha uoga wa maisha, ila kula kwa kufuru kama vile kesho hamna kula ndo sio.Hizi njaa ni nextlevel, demu anataka kula misosi ya gharama tu yani haoni kama hela anayotumia hovyo ingekuwa yake asingeifanyia hivyo yani mnajishushiaga heshima bila mpango
Kuna kula kwa gharama halafu kuna israfu ile kuagiza chakula cha ghali halafu huwez malizaKula msosi wa gharama sio dhambi acha uoga wa maisha, ila kula kwa kufuru kama vile kesho hamna kula ndo sio.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Yan hilo ndio lengo..alimpeleka aoime UTI ili naye akampime tena hiyo hiyo UTI mwsho wa siku almost 400k imefyekelewa mbali😂Alikuomba umsaidie ameshindwa kulea wanae?
Kama alikuomba ni sawa
Ila isije ikawa unatumia gia ya kumsaidia ili umkule kimasihara sasa ye amekuwahi akaamua akuingize hasara
Akome😂Yan hilo ndio lengo..alimpeleka aoime UTI ili naye akampime tena hiyo hiyo UTI mwsho wa siku almost 400k imefyekelewa mbali😂
Yes israfu ni mbaya hata kwenye dini imekatazwKuna kula kwa gharama halafu kuna israfu ile kuagiza chakula cha ghali halafu huwez maliza
Wanawake wengi akishaaminishwa najamii Kua nimzuri basi anahisi kila kitu kitamuendea Sawa hivyo kushindwa Kua nanidhamu Yamaisha nakujiheshimu,hawa wahivi tumezaa nao Ila kila ukifikiria jinsi ambavyo Amekua overwhelmed kichwani nadhana ya uzuri basi anazani kila kitu kwakwe kitakua Sawa hivyo kupunguza uwajibikaji katika maisha Yake binafsi,inaumiza Sana ,Hizo pesa za kucheza mnazitoaga wapi wakuu ...! Pole Sana kwa kutana na mwanamke mzuri lakini kichwani ni box
🤣Ndio maana yake na alimkomoa kweli kweli. akamwambi Dr Nipime na kolestero. Bill ikaja kama vile kafanyiwa operesheni.
Mkome kutelekeza wanawake badae nyege zikiwajaa mnarudi tena.