Kwa mambo kama haya Dada zangu mnajiharibia sana kisha baadaye mnatulaumu

Unafikiri kwanini aliachwa na watoto 3 akilea peke yake? Kuna mizoga na wanawake, wanawake kama hawa akishakupa a red light at the first time mkatie line atakutia hasara huko mbeleni.
 

Umesahu kuhadithia kwamba umemla, unafikiri je utamuweza mwanamke aliyeachwa na Wanaume watatu na mtoto?
 
Ni changudoa tu huyo, na unajua kilicho mawazoni mwake wakati wote, ni kumvulia mwanaume! Pole kwa watoto kuwa na mama wa aina hiyo!
 
Mimi Huwa natoa tahadhali kabisa hamna kutupa chakula nyumbani kwangu; kwa hilo sioni haya hata ukiwa mgeni
 
Ni mtumishi wa serikali ana bima, ss hio billi imekuaje ukalipa wewe mkui
 
Ulikuwa kwenye mkutano mkakutana na bongo movies
 
Sasa wewe game ilikuwa iishie ndani ya dk 90 ukaenda mwenyewe kuongezea muda wa ziada....ulitegemea nini? Pale pale duka la mwanzo mlikuwa mmemaliza mchezo na mpo ngoma draw. Mnagawana point moja moja. Wewe ukata upate zote tatu....ndo hivyo ikala kwako.
 
Nilichukia,hata hilo duka la pili nilienda kwasababu ya hasira tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…