Ndani ya Kipindi kifupi tumeona uwekezaji uliovunja rekodi tangu tupate Uhuru. Hatujawahi kuvutia uwekezaji kwa kiwango cha trilioni 9.6 thamani ya uwekezaji ndani ya miezi 9 yaani uwekezaji wa Rais samia miezi 9 unazidi uwekezaji wa miaka 4 iliyopita huyu Mama hana sifa ya kujikosha na kujitweza, haya mambo ndiyo yanawanyima usingizi na Raha wahasidi wake.
Tusichokijua kwa Rais Samia kitaaluma amesomea UCHUMI tena ni mchumi kutoka vyuo vikuu vinavyoheshimika Uingereza mambo yake yanaonekana.
Kuhusu kodi amevunja rekodi hivyo ana uwezo wa kukopa na kulipa madeni yote tuliyorithishwa.
Piga kazi!! Samia the Great!!
Tusichokijua kwa Rais Samia kitaaluma amesomea UCHUMI tena ni mchumi kutoka vyuo vikuu vinavyoheshimika Uingereza mambo yake yanaonekana.
Kuhusu kodi amevunja rekodi hivyo ana uwezo wa kukopa na kulipa madeni yote tuliyorithishwa.
Piga kazi!! Samia the Great!!