Kwa maneno haya ya Polepole inamaanisha kifo cha Magufuli kina mchezo mchafu ndani yake?

Upumbavu wako tunaupima .
Tangu JPM afe
Je CoVID 19 haijaua ?
Kama imeua
Basi umeandika upumbavu. Kaombe msamaha kaburi LA mzee JPM
 
Alidharau kujikinga na covid 19, ikamsambaratisha
 

It’s a coup!
 
Wana sgang Kuna sinema Gani mnataka kutuchezea wadanganyika?
 
aisee magufuli sio wa kwanza kufa humu duniani, hata sisi tulishafiwa na ndugu zetu tutoleeni upumbavu humu, yeye alikua na hatimiliki ya kuishi daima?
Tena wasitujazie server kwa upuuzi wa namna hii!
 
Wajinga tu ndo hawawezi jua hii movie ilichezwaje, changa la macho ili tujuwe corona kisa watu wake wa karibu wamekufa .
Hata hivyo Tanzania hakuna Rais aliyewahi kufa mwenyewe tu kawaida.

Waswahili tunaamini mtu hawezi kufa hivi hivi tu.

Akifa mtu wa mtaani tu lazima kuna mkono wa mtu.

Akifa kiongozi lazima kauawa au karogwa.

Tangu enzi za Karume na Sokoine kuuawa na Nyerere mpaka leo ni nani bado hawajui WASWAHILI.
 
Anajifanya kuihamishia kinyemela Shule yake ya uongozi Dar24 siyo?
 
Hata kama asingesema ni kweli let alone kuruka swali maneno yake hayawezi kutumika kama evidence, hana credibility
 
Moja ya wahuni tulioachiwa na magufuli ni polepole
 
Uyu jamaa ni was kupuuzwa sana maana kipindi kilewatu wanaokotwa kwenye mifuko wakielea mtoni, watu wanapigwa na kutishiwa maisha waziwazi, watu wanatekwa, watu wanapigwa risasi mchana jua linawaka na alikua asemi chochote, eti Leo hii anajiita mwanaharakati!!! Pumbavu kabisa uyu au anatufanya sisi wajinga km yeye? Mm cku iz nikikuta MTU anaongelea issue za polepole kumuona km mwanaharakati namuona mjinga na mpumbavu. Swine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…