Upumbavu wako tunaupima .Ni COVID-19 hata kama ukweli hausemwi. Magu alikuwa mpumbavu mpaka kudharau COVID.
Na huo upumbavu wake umegharimu maisha ya watu wengi, yeye mwenyewe pamoja na watu wake wa karibu.
Philipp Mpango aliponea CHUP CHUP.
Imagine, hawa wote wamefanyiwa Coup 👇👇
View attachment 2059453
aisee magufuli sio wa kwanza kufa humu duniani, hata sisi tulishafiwa na ndugu zetu tutoleeni upumbavu humu, yeye alikua na hatimiliki ya kuishi daima?
Alidharau kujikinga na covid 19, ikamsambaratishaAlikuwa akihojiwa na Dar24 na kuulizwa kuhusu minong'ono ya watu kuwa Magufuli huenda hakufariki kwa ugonjwa uliotajwa kweli na kuwa huenda aliuawa
Polepole akakwepa kujibu swali hilo na kusema mtu akishakufa yeye hamzungumzii tena (hata Rais wa nchi?)
Polepole ambaye alikua moja ya watu wa karibu sana na Magufuli kabla hajafa, na kwa sababu hiyo lazima atakuwa anajua mengi kuhusu kuumwa hadi kufariki kwa Magufuli
Na wafuasi wengi wenye hii minong'ono ni wale wanamuunga mkono na kumuamini Polepole kama mfuasi wa kweli wa Magufuli aliyebaki, angesema ndio ni matatizo ya moyo yalimuondoa basi ingepungua sana kama sio kuisha
Kwa nini anashikwa na kigugumizi ku back up taarifa aliyotoa Rais kuwa Magufuli alifariki kwa ugonjwa wa moyo wakati anajua ni kweli kuna minong'ono?
Kusema hawezi kuzungumzua kifo cha Magufuli kuugua kwake kuliambatana na usiri mkubwa haoni kuwa anazidi kuongeza nguvu kwenye hiyo minong'ono?
Video
View attachment 2059441
Baba yako ana HASARA kubwa.Upumbavu wako tunaupima .
Tangu JPM afe
Je CoVID 19 haijaua ?
Kama imeua
Basi umeandika upumbavu. Kaombe msamaha kaburi LA mzee JPM
Ni COVID-19 hata kama ukweli hausemwi. Magu alikuwa mpumbavu mpaka kudharau COVID.
Na huo upumbavu wake umegharimu maisha ya watu wengi, yeye mwenyewe pamoja na watu wake wa karibu.
Philipp Mpango aliponea CHUP CHUP.
Imagine, hawa wote wamefanyiwa Coup 👇👇
View attachment 2059453
Wana sgang Kuna sinema Gani mnataka kutuchezea wadanganyika?Alikuwa akihojiwa na Dar24 na kuulizwa kuhusu minong'ono ya watu kuwa Magufuli huenda hakufariki kwa ugonjwa uliotajwa kweli na kuwa huenda aliuawa
Polepole akakwepa kujibu swali hilo na kusema mtu akishakufa yeye hamzungumzii tena (hata Rais wa nchi?)
Polepole ambaye alikua moja ya watu wa karibu sana na Magufuli kabla hajafa, na kwa sababu hiyo lazima atakuwa anajua mengi kuhusu kuumwa hadi kufariki kwa Magufuli
Na wafuasi wengi wenye hii minong'ono ni wale wanamuunga mkono na kumuamini Polepole kama mfuasi wa kweli wa Magufuli aliyebaki, angesema ndio ni matatizo ya moyo yalimuondoa basi ingepungua sana kama sio kuisha
Kwa nini anashikwa na kigugumizi ku back up taarifa aliyotoa Rais kuwa Magufuli alifariki kwa ugonjwa wa moyo wakati anajua ni kweli kuna minong'ono?
Kusema hawezi kuzungumzua kifo cha Magufuli kuugua kwake kuliambatana na usiri mkubwa haoni kuwa anazidi kuongeza nguvu kwenye hiyo minong'ono?
Video
View attachment 2059441
Fafanua kama sii kuthibitoshaIt’s a coup!
Magufuli hakuwa Msukuma.It’s a coup!
Tena wasitujazie server kwa upuuzi wa namna hii!aisee magufuli sio wa kwanza kufa humu duniani, hata sisi tulishafiwa na ndugu zetu tutoleeni upumbavu humu, yeye alikua na hatimiliki ya kuishi daima?
Hata hivyo Tanzania hakuna Rais aliyewahi kufa mwenyewe tu kawaida.Wajinga tu ndo hawawezi jua hii movie ilichezwaje, changa la macho ili tujuwe corona kisa watu wake wa karibu wamekufa .
Wasukuma ni watu wema sana.Kati yawatu wahovyo Sana kutokea hapa tz Ni wachaga nawasukuma.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Yesu hajafa, amepazwa mbinguniSasa yeye kama hawezi zungumzia habari za mtu aliyekufa, sasa mbona kuna kipindi alikua anazungumzia habari za yesu
Nyie ccm mtauana bure jamani !Source of death,halafu mkuu umeandika kishabiki flani hivi...!
pale CCM kuna mwenye akili kumzidi pole pole ? (utani tu)Kajamaa ni ka jinga,huwa kanajiona kanaakiri kuliko watu wote.
Moja ya wahuni tulioachiwa na magufuli ni polepolePole pole alikuwa amefikia juu sana. Alikuwa na mamlaka makubwa sana ya kumhoji yeyote ndani ya taifa hili.
Wakati huo alikuwa na kipindi chake Channel Ten anajifanya anatatua shida za wananchi, anampigia simu kiongozi yeyote wakati wowote hata usiku wa manane kumhoji atoe majibu.
Sasa hayo madaraka yamemponyoka ghafla sana. Hapo alipo kiakili hayuko sawa, bado ana HANG OVER ya MADARAKA.
Na kibaya zaidi bado anaihitaji SIASA lakini akiangalia haoni FUTURE. Maana hayuko kwenye Chama wala serikalini na hata akienda kugombea huko CCM kwenye kura za maoni hawezi kupita.
Sasa sasa hivi anachofanya ni kutafuta mashabiki kwa kujifanye yeye ni mtetezi wa watu.
Hakuma kingine cha maana.