Kwa maneno haya ya Polepole inamaanisha kifo cha Magufuli kina mchezo mchafu ndani yake?

Kwa maneno haya ya Polepole inamaanisha kifo cha Magufuli kina mchezo mchafu ndani yake?

aisee magufuli sio wa kwanza kufa humu duniani, hata sisi tulishafiwa na ndugu zetu tutoleeni upumbavu humu, yeye alikua na hatimiliki ya kuishi daima?
Sijuhi hata kama watakuelewa!! Mtu mwenyewe alikuwa naivèna clueless
 
Basi mkaifukue mfanye autopsy kwa kifo kama ni maradhi au vingine

Kila kukicha ni haya haya tu
Wangapi wamekufa jamani na tunasema tu kafa basi ?
 
Huyu chawa still bado aamini mungu wake amekufa
 
Kunguni yafaa abuni njia atafute mbadala ya kuishi baada ya godoro kupigwa dawa aache kulia kulia magu afufuki tena.
Kama hakujipanga imekula kwake haiji mara mbili bahati
 
Pole pole alikuwa amefikia juu sana. Alikuwa na mamlaka makubwa sana ya kumhoji yeyote ndani ya taifa hili.

Wakati huo alikuwa na kipindi chake Channel Ten anajifanya anatatua shida za wananchi, anampigia simu kiongozi yeyote wakati wowote hata usiku wa manane kumhoji atoe majibu.

Sasa hayo madaraka yamemponyoka ghafla sana. Hapo alipo kiakili hayuko sawa, bado ana HANG OVER ya MADARAKA.

Na kibaya zaidi bado anaihitaji SIASA lakini akiangalia haoni FUTURE. Maana hayuko kwenye Chama wala serikalini na hata akienda kugombea huko CCM kwenye kura za maoni hawezi kupita.

Sasa sasa hivi anachofanya ni kutafuta mashabiki kwa kujifanye yeye ni mtetezi wa watu.

Hakuma kingine cha maana.
True. Polepole anajua kishafikia mwisho wake kisiasa hasa ndani ya CCM unless zitokee miracle kama zile zilizomuingiza CCM.... Which is very unlikely.

Anachojaribu kujifanya kwa sasa ni kujaribu kuendelea kuwa relevant kwenye siasa za Tanzania... Ila naona kama vile anafanya makosa mengi kwa kipindi kifupi.
 
Sasa hapa mbona ni kama wewe ndo unaetueleza habari za hicho unachoita mchezo mchafu?? Maana polepole hajakizungumzia!
Mama tayari alishasema mjadala huu umekwisha hivyo tuheshimu maagizo ya mkuu wetu wa nchi maana hata kama tutachonga vipi Mwendazake hawezi kufufuka!
 
So ukijua itakusaidia nini au unataka uamshe kilio kwa makonda na sabaya waanze kulia upya
 
Napenda Kushauri Janeth Magufuli, Jesca Magufuli, na wale Watoto wengine Wajiunge JF anonymously watueleze wanayoyajua kuhusu baba Yao.

Mama Janeth Magufuli Alilia Sana Msibani.
 
Alikuwa akihojiwa na Dar24 na kuulizwa kuhusu minong'ono ya watu kuwa Magufuli huenda hakufariki kwa ugonjwa uliotajwa kweli na kuwa huenda aliuawa

Polepole akakwepa kujibu swali hilo na kusema mtu akishakufa yeye hamzungumzii tena (hata Rais wa nchi?)

Polepole ambaye alikua moja ya watu wa karibu sana na Magufuli kabla hajafa, na kwa sababu hiyo lazima atakuwa anajua mengi kuhusu kuumwa hadi kufariki kwa Magufuli

Na wafuasi wengi wenye hii minong'ono ni wale wanamuunga mkono na kumuamini Polepole kama mfuasi wa kweli wa Magufuli aliyebaki, angesema ndio ni matatizo ya moyo yalimuondoa basi ingepungua sana kama sio kuisha

Kwa nini anashikwa na kigugumizi ku back up taarifa aliyotoa Rais kuwa Magufuli alifariki kwa ugonjwa wa moyo wakati anajua ni kweli kuna minong'ono?

Kusema hawezi kuzungumzua kifo cha Magufuli kuugua kwake kuliambatana na usiri mkubwa haoni kuwa anazidi kuongeza nguvu kwenye hiyo minong'ono?

Video

View attachment 2059441
Watanzania na uwezo wao wa kutunza hasira na visasi. JPM alikuwa na matatizo makubwa ya moyo ambayo hakuyachukulia kiumakini katika kuyatibu.

Ilipokuja corona hatari ya yeye kupoteza maisha ikawa ikiongozeka siku baada ya siku. Angetaka angeweza kutibiwa Ujerumani au sehemu yoyote duniani lakini alishaamua kuishi hivyo hivyo.
 
Ni COVID-19 hata kama ukweli hausemwi. Magu alikuwa mpumbavu mpaka kudharau COVID.

Na huo upumbavu wake umegharimu maisha ya watu wengi, yeye mwenyewe pamoja na watu wake wa karibu.

Philipp Mpango aliponea CHUP CHUP.

Imagine, hawa wote wamefanyiwa Coup 👇👇

View attachment 2059453
Kumuita mpumbavu umekwenda mbali sana. Mtunzie heshima hayati kwani huwa hasemwi vibaya.
 
Back
Top Bottom