Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Sijuhi hata kama watakuelewa!! Mtu mwenyewe alikuwa naivèna cluelessaisee magufuli sio wa kwanza kufa humu duniani, hata sisi tulishafiwa na ndugu zetu tutoleeni upumbavu humu, yeye alikua na hatimiliki ya kuishi daima?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kajamaa ni ka jinga,huwa kanajiona kanaakiri kuliko watu wote.
Unajua neno la umwilisho?Ni yesu
Jinga tu linatafsiri how you are! Auawe yeye alikuwa ni nini hasa?Sio Mimi tu hata wewe unaamini hivyo
una uhakika kuwa hajauliwa?Jinga tu linatafsiri how you are! Auawe yeye alikuwa ni nini hasa?
True. Polepole anajua kishafikia mwisho wake kisiasa hasa ndani ya CCM unless zitokee miracle kama zile zilizomuingiza CCM.... Which is very unlikely.Pole pole alikuwa amefikia juu sana. Alikuwa na mamlaka makubwa sana ya kumhoji yeyote ndani ya taifa hili.
Wakati huo alikuwa na kipindi chake Channel Ten anajifanya anatatua shida za wananchi, anampigia simu kiongozi yeyote wakati wowote hata usiku wa manane kumhoji atoe majibu.
Sasa hayo madaraka yamemponyoka ghafla sana. Hapo alipo kiakili hayuko sawa, bado ana HANG OVER ya MADARAKA.
Na kibaya zaidi bado anaihitaji SIASA lakini akiangalia haoni FUTURE. Maana hayuko kwenye Chama wala serikalini na hata akienda kugombea huko CCM kwenye kura za maoni hawezi kupita.
Sasa sasa hivi anachofanya ni kutafuta mashabiki kwa kujifanye yeye ni mtetezi wa watu.
Hakuma kingine cha maana.
Sasa yeye kama hawezi zungumzia habari za mtu aliyekufa, sasa mbona kuna kipindi alikua anazungumzia habari za yesu
Hapo umetaja jambo la imani, kibinadamu imetoka hiyo... Akirudi atakuwa mzimu...Huamini katika kukufuliwa wafu?
Nawaona wahuni mnakula bata tu 'sisi tunasema tokomeza wahuni popote walipo'wafuasi wa jiwe hamuishi kuwashwa washwa.
Watanzania na uwezo wao wa kutunza hasira na visasi. JPM alikuwa na matatizo makubwa ya moyo ambayo hakuyachukulia kiumakini katika kuyatibu.Alikuwa akihojiwa na Dar24 na kuulizwa kuhusu minong'ono ya watu kuwa Magufuli huenda hakufariki kwa ugonjwa uliotajwa kweli na kuwa huenda aliuawa
Polepole akakwepa kujibu swali hilo na kusema mtu akishakufa yeye hamzungumzii tena (hata Rais wa nchi?)
Polepole ambaye alikua moja ya watu wa karibu sana na Magufuli kabla hajafa, na kwa sababu hiyo lazima atakuwa anajua mengi kuhusu kuumwa hadi kufariki kwa Magufuli
Na wafuasi wengi wenye hii minong'ono ni wale wanamuunga mkono na kumuamini Polepole kama mfuasi wa kweli wa Magufuli aliyebaki, angesema ndio ni matatizo ya moyo yalimuondoa basi ingepungua sana kama sio kuisha
Kwa nini anashikwa na kigugumizi ku back up taarifa aliyotoa Rais kuwa Magufuli alifariki kwa ugonjwa wa moyo wakati anajua ni kweli kuna minong'ono?
Kusema hawezi kuzungumzua kifo cha Magufuli kuugua kwake kuliambatana na usiri mkubwa haoni kuwa anazidi kuongeza nguvu kwenye hiyo minong'ono?
Video
View attachment 2059441
Kumuita mpumbavu umekwenda mbali sana. Mtunzie heshima hayati kwani huwa hasemwi vibaya.Ni COVID-19 hata kama ukweli hausemwi. Magu alikuwa mpumbavu mpaka kudharau COVID.
Na huo upumbavu wake umegharimu maisha ya watu wengi, yeye mwenyewe pamoja na watu wake wa karibu.
Philipp Mpango aliponea CHUP CHUP.
Imagine, hawa wote wamefanyiwa Coup 👇👇
View attachment 2059453