huyoi anahusika asilimia 100% serikali hawahangaiki kwakuwa mhanga mwenyewe hahangaiki kushitaki sasa mtu anataka serikali imhoji nani wakati wa upelelezi kama aliyepigwa hataki kuja kutoa ushahidi dreva mhusika wa genge la wauaji kajificha
Slaa ametupatia mwanga kwenye mambo ya muhimu sana.
Chadema walikalia kumtuhumu Magufuli kwamba amemteka na kumpoteza Ben kumbe ni internal operation ya chama, kuua na kupoteza watu na kisha kutupia lawama serikali.
Sasa naanza kupata mashaka na walioshambulia Lisu, sasa naanza kuwaamini waliosema hii ni vita ya mamlaka vyeo ndani ya chama.
Haipo Serikali duniani inayoweza kufanya mambo ya kijinga kwa jinsi hii kama yanayodhaniwa kufanyika awamu ya 5 ya Hayati JPM. In fact JPM na Serikali yake hawakuhusika
Huko mbele ya safari mimi naamini kabisa kuwa ukweli wote utakuja kujulikana tu. Vita kati ya ukweli na uongo, uongo huwa unaanza unashinda kwanza, halafu ukweli ndiyo unakuja kumalizia kwa kushinda mwisho.
Kuna vitu vingine ni bora kukaa kimya badala ya kuongea, kwa kuwa unapoongea watu wataweza kujua kina cha busara zako kama ni kirefu au kifupi sana. Katika maisha, ni bora kukaa kimya watu wadhani una busara, kuliko wewe kudhani una busara ukaongea hadharani na kufanya hata wale waliodhani una busara watambue kuwa huna busara.
Mfano ni hili la Lissu na suala zima la kupigwa risasi. Ni kweli hatuna ukweli wote, lakini pia kuna viashiria vingi kwamba vyombo vya usalama vya serikali havikulipa uzito unaostahili katika kulipeleleza. Na pia kumekuwa na circumstantial evidence nyingi sana kwamba kwa namna moja au nyingine serikali ilihusika. Sasa pale Dr. Slaa anaposema hawezi kuongelea hili, kisha anaeleza kisa cha mtu alietekwa na watu wa Chadema wenyewe, ni wazi ana nia ya kuufanya umma uamini kwamba kuna uwezekano Lissu alipigwa risasi na watu wa Chadema.
Lakini sasa, hili wazo la Dr. Slaa lingekuwa na circumstantial evidence nje ya huyo alietekwa na Chadema wenyewe, labda ndio angepaswa kuliunganisha na hicho kisa kingine. Na Dkt Slaa, anajuaje kwamba huyo aliesema aliongoza kumteka mtu wa Chadema yote hiyo haikuwa part ya plan ya kuwavuruga Chadema kwa kuwagonganisha wao kwa wao? Hivi Dr. Slaa hajui dirty politics zinavyochezwa, Kampuni ya soda hii kuweka kondomu kwenye chupa ya kampuni ya soda ile ili watu waione ni kampuni ya soda chafu?
Kwa mfano, hivi Dr Slaa anajua kwamba muda mfupi baada ya Lissu kupigwa riasi Magufuli alimpigia simu Mwigulu Nchemba kama waziri wa Mambo ya Ndani atoe tamko kwamba serikali haikuhusika na jaribio la kumuua Lissu? (Mwigulu baada ya kupata ushauri wa wazee fulani wa CCM hakufanya hivyo, ikawa sababu mojawapo ya Magufuli kumchukia na hatimae kumtoa uwaziri). Muulize Mwigulu atakuambia, na utaelewa kwa nini pia Magufuli aliwachukia wazee fulani wa CCM.
Je, Dr. Slaa anajua kwamba Lissu alikuwa shadowed kwa muda mrefu kabla ya tukio? Je anajua CCTV recordings ziliondolewa pale kwenye eneo la tukio? Je Dr. Slaa anajua kwamba barabara zilifanywa tupu ili gari lililotumika kwenye jaribio liweze kupita bila pingamizi kuondoka sehemu ya tukio? Je Dr. Slaa anajua gari mpya ya Nissan Patrol ilitumika na kuchomwa moto ili kuharibu ushahidi? Sasa nani ndani ya Chadema anaweza ku-mount operation ya namna hiyo dhidi ya Lissu?
Nani ndani ya Chadema anaweza ku-mount operation za aina ya utekaji na uuaji uliofanywa na kuufanikisha bila kuwa na support ya serikali, na vyombo vya usalama vikae kimya bila kuwakamata kwa kutumia kila aina ya nguvu? Operation za namna hiyo ambazo nyingine zilifanyika mchana kweupe, zinaweza tu kufanyika ikiwa wanaozifanya wanajua serikali na vyombo vya usalama viko nyuma yao. Yaani hili ni gumu sana kwa Dr. Slaa kulielewa?
N wazi sana Dr. Slaa amekuwa currupted na zawadi ya ubalozi aliyopewa na Magufuli, na sasa inamfanya kuwa shabiki namba moja wa Magufuli. In fact anaonyesha hata silka ya kumshutumu na kumpiga Raisi Samia vijembe kichinichini kwa huu ushabiki wake kwa Magufuli. Dr. Slaa amekuwa psychologically bribed and corrupted na zawadi ya ubalozi kiasi kwamba sasa anajisahau kabisa, he is becoming so naive to the extent of forgetting to be clever. Poor Dr Slaa.
Unamlazimisha Dk Slaa kuongea jambo ambalo yeye mwenyewe amekataa kuliongelea?
Je kwa nini uongozi wa Chadema haujawahi kukanusha kuhusu huo utekaji wa Temeke?
Dk Slaa anaendelea kubaki kuwa mwanasiasa mkweli kuhusu dhamira yake.
Baada ya kifo cha Magufuli ndio tumejua kiwango na ukubwa wa kundi la maadui zake walivyokuwa watu wake wa karibu kiserikali.
Hatutashangaa huko mbeleni kuja kusikia matukio kadhaa yaliratibiwa kwa ushirikiano wa ndani na nje ya serikali yake.
Ilimradi tu,nia ya kumchafua na kumtibulia itimie.
Wewe mwandishi au mleta mada pamoja na mimi hatujui mambo ya Chadema kuliko yeye Dk Slaa.
ahahaaaa yaani unachekesha sana nduguyangu ben saanane alikuwa anatishwa na hilohilo kundi la mbowe na chacha wangwe kila mtu anajuwa kuwa ni mbowe ndiyo engineer wa mauwaji hayo yaani kama wewe hujui unafanya makusudi tu lakini ukweli unaujuwa
huyoi anahusika asilimia 100% serikali hawahangaiki kwakuwa mhanga mwenyewe hahangaiki kushitaki sasa mtu anataka serikali imhoji nani wakati wa upelelezi kama aliyepigwa hataki kuja kutoa ushahidi dreva mhusika wa genge la wauaji kajificha
Usimlaumu Sana Slaa yeye binafsi hajijui na tumshukuru Mungu hakuruhusu awe Rais.
Huko nyuma, sijui kwa nyakati hizi,watu waliotaka kuwa watawa/mapdri walipoongia shule za seminari hawakuwa wakilipa ada wenyewe ama wazazi wao, kama walichangia ni kidogo Sana.
Kilichokuwa kikifanyika,wanafunzi wote waliopata nafasi ya kusoma seminari majina yao yalikuwa yakitumwa nje kutafutiwa wafadhiri.
Sasa watu wengi wenye uwezo mkubwa na wengine kwa kupenda hujitolea kufadhiri jina mmojawapo kwa kulipa gharama zote mpaka mtu anapofikia daraja la kuwa padri, na walifanya hivyo Kama kutoa sadaka.
Mwanafunzi anayefadhiliwa hatajiwi jina la mfadhili wake Wala kupewa address,zaidi seminari/chuo ikipokea msaada wako unaambiwa kuandika barua ya kushukuru na wao walimu ndo huweka address ya huyo mfadhili.
Mwanafunzi akifanikiwa kuhitimu ndo hupewa nafasi ya kuwajua wafadhili wake nao hufufurahi kuwa sadaka yao kweli imaezaa matunda,mtu amekuwa padri mtumishi wa Mungu. Na hutokea kumzawadiwa usafiri/gari la kumsaidia kwenye utumishi.
Sasa mtu unapokengeuka ukauacha utume ambao kuna watu wamejitoa kwa hali na mali na inawezekana hawakuwa matajiri,kwani sadaka siyo lazima uwe tajiri, ni ile furaha na moyo wa kushiriki kujenga ufalme wa Mungu, mtu wa namna hiyo hawezi kubaki salama.
Chunguza karibu wote wa aina ya Slaa utakuwa Kuna vurugu na changamoto mnoo hasa za ndoa, wengi huoa na kuacha na hawatulii.
Naamini ni kama laana inayowaandama tu.
Wewe jiulize huyu alikuwa katibu mkuu Chadema wakati Wangwe anafariki kwa ajali,kifo kilicholeta utata uliozushwa na Wana ccm kuwa kuwa Chacha Wangwe ameuliwa na Chadema,huyu Slaa alikanusha na kwa kujiridhisha zaidi ilifanyika Post mortem ya pili huko huko Tarime,ndugu wa Chacha Wangwe na viongozi wa chadema walishuhudia majibu ikaonyesha ni kifo Cha ajali ya kawaida.
Na kwenye uchaguzi wa marudio Chadema walishinda,pamoja na CCM kutumia polisi na kuwatumia kina marehemu Mtikila kuchochea Wana Tarime.
Serikali imekuwa ikikamata watu kwa kuwadhuru,kuwaua watoto wa kuwazaa wao wenyewe leo ishindwe kuwakamata Chadema kwa visa vya kina Lisu na Ben Saanane!!
Serikali inavyotamani kuiona Chadema haipo kama tulivyoona kesi ya Mbowe,Leo ijue kabisa Chadema wameua, nadhani wangefurahi sana.
Slaa kama nilivyoeleza kuna laana inayomtafuna na bila shaka ni mtu katili sana. Mtu asiweza kuona ukatili wa kutisha wa Magu na badala yake anaushangilia,kisa ubalozi!!
Unamlazimisha Dk Slaa kuongea jambo ambalo yeye mwenyewe amekataa kuliongelea?
Je kwa nini uongozi wa Chadema haujawahi kukanusha kuhusu huo utekaji wa Temeke?
Dk Slaa anaendelea kubaki kuwa mwanasiasa mkweli kuhusu dhamira yake.
Baada ya kifo cha Magufuli ndio tumejua kiwango na ukubwa wa kundi la maadui zake walivyokuwa watu wake wa karibu kiserikali.
Hatutashangaa huko mbeleni kuja kusikia matukio kadhaa yaliratibiwa kwa ushirikiano wa ndani na nje ya serikali yake.
Ilimradi tu,nia ya kumchafua na kumtibulia itimie.
Wewe mwandishi au mleta mada pamoja na mimi hatujui mambo ya Chadema kuliko yeye Dk Slaa.
Wanabodi Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu, "Shambulizi la Lissu, wanaomdhania dereva anahusika, sio wajinga!, wana hoja za msingi!" Swali ni Jee Dereva Anahusika? Si maanishi kuwa dereva wa Lissu anahusika, bali mazingira ya tukio...
www.jamiiforums.com
Na kwenye kuwabaini wasiojulikana hawa niliwahi kusema
Wanabodi, Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Mhe.Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezwa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya watu kutaka kuwabaini hawa watu wanaoitwa ni watu wasiojulikana, ni kina nani?, wanatumwa na nani? na lengo lao ni nini?, kunakopelekea kujengwa kwa...
www.jamiiforums.com
Humu nilisema
Niliwahigi kuwaza hivi, kumbe pia kuna wengine waliowahi kuwaza hivi!.
P
Ninaamini kwa dhati, na nadhani utanielewa kwa nini naamini hivyo, kwamba, kama kweli serikali ingekuwa haihusiki na matukio haya, basi ingefanya kila aina ya jitihada kufanya uchunguzi, kwa kutumia vyombo vya ndani na vya nje, ili ukweli ujulikane, na hasa kama kungekuwa na harufu ya Chadema au vyama vya siasa vingine kuhusika.
Angalia kwamba harufu ya mbali sana - kama sio framing, juu ya Mbowe kuwa gaidi, ilifanya serikali kutumia mamilioni na labda mabilioni ya fedha ili kumtia Mbowe hatiani. Sasa fikiria ikiwa serikali ingeona fursa ya kufanya Mbowe au viongozi wengine kuwa walihusika katika kutaka kumuua Lissu, ingetumia hata nusu ya bajeti ya serikali ili kupata ukweli kwa ajili ya kuvi discredit vyama vya upinzani na hasa Chadema.
Ninaamni pia kitendo cha Samia kumwambia Mbowe wakutane nae siku ile ile alipoachiwa ilikuwa na dhamiri yake ilivyoumia baada ya kujua ukweli nyuma ya pazia la kesi ya Mbowe. Nina uhakika aliumia sana na hata kukasirishwa na kupotoshwa na sasa ameazimia kuondoa uozo wote huu na anajua she has to tread with care. Siku Samia alipoujua mchezo mchafu dhidi ya kina Mbowe, alibadilika ghafla, na hata kufikia kutoa tamko kuwa yuko tayari kupoteza uraisi kama hiyo ndio itakuwa cost kwake ya kutenda haki. Samia amebadilika hatoi tena antagonistic statements dhidi ya Chadema, kina Lissu, Mbowe na vyama vya upinzani kwa ujumla, hadi kuonekana kama anawabembeleza kama mama mwenye upendo kwa mwanae mtundu. What catalysed this big change in Samia? Refer hii thread na hakikisha unaisikiliza video clip iliyopo humo:
Lakini sasa, kila serikali na Polisi walipoambiwa wafanye uchunguzi, au hata kuunda tume huru ya uchunguzi wa visa vya mauaji na kutekwa, waliingia kigugumizi na hata kujichanganya kwa kutoa taarifa za uongo au zisizo na mshiko, kutia ndani flimsy excuses kwa mfano, ukweli wote wa suala la Lissu uko ndani ya dereva wa Lissu.
Kumbuka modus operandi hiyo hiyo ilitumika alipotekwa MO - utekaji ambao ulifuata muda mfupi baada ya MO kuwakatalia serikali mambo fulani katika suala la ununuzi wa korosho.
Lakini bottom line ni kwamba, haihitaji akili kubwa kuona kwamba wale wale wote waliouwawa au kutekwa hawakuwa wakiikosoa Chadema, bali walimkosoa Magufuli na serikali yake - to the advantage of Chadema. Kwa hiyo kuingiza suala la Wangwe katika masuala ya utekaji uliofanywa na Wasiojulikana ni kutokuwa na uwezo wa kuona mbali. Kama kweli Chadema walimuua Wangwe kama hawa wengine, basi pia ingekuwa kwa kuwa Wangwe alikuwa anamkosoa Magufuli. Lakini itaingia katika akili ya mjinga gani kuona kwamba Chadema waliua na kuteka watu waliokuwa wanakosoa Magufuli na serikali yake?
Common denominator ya watu waliotekwa na wasiojulikana ilikuwa ni nini? Na who stood to gain from their death or disappearance, Chadema? Na kwa nini Chadema ianze kuua na kuteka watu wanaoikosoa serikali kipindi cha Magufuli tu?
Kuna vitu vingine ni bora kukaa kimya badala ya kuongea, kwa kuwa unapoongea watu wataweza kujua kina cha busara zako kama ni kirefu au kifupi sana. Katika maisha, ni bora kukaa kimya watu wadhani una busara, kuliko wewe kudhani una busara ukaongea hadharani na kufanya hata wale waliodhani una busara watambue kuwa huna busara.
Mfano ni hili la Lissu na suala zima la kupigwa risasi. Ni kweli hatuna ukweli wote, lakini pia kuna viashiria vingi kwamba vyombo vya usalama vya Serikali havikulipa uzito unaostahili katika kulipeleleza. Na pia kumekuwa na circumstantial evidence nyingi sana kwamba kwa namna moja au nyingine Serikali ilihusika. Sasa pale Dr. Slaa anaposema hawezi kuongelea hili, kisha anaeleza kisa cha mtu alietekwa na watu wa CHADEMA wenyewe, ni wazi ana nia ya kuufanya umma uamini kwamba kuna uwezekano Lissu alipigwa risasi na watu wa CHADEMA.
Lakini sasa, hili wazo la Dr. Slaa lingekuwa na circumstantial evidence nje ya huyo alietekwa na Chadema wenyewe, labda ndio angepaswa kuliunganisha na hicho kisa kingine. Na Dkt Slaa, anajuaje kwamba huyo aliesema aliongoza kumteka mtu wa CHADEMA yote hiyo haikuwa part ya plan ya kuwavuruga CHADEMA kwa kuwagonganisha wao kwa wao? Hivi Dr. Slaa hajui dirty politics zinavyochezwa, kampuni ya soda hii kuweka kondomu kwenye chupa ya kampuni ya soda ile ili watu waione ni kampuni ya soda chafu?
Kwa mfano, hivi Dr Slaa anajua kwamba muda mfupi baada ya Lissu kupigwa riasi Magufuli alimpigia simu Mwigulu Nchemba kama waziri wa Mambo ya Ndani atoe tamko kwamba serikali haikuhusika na jaribio la kumuua Lissu? (Mwigulu baada ya kupata ushauri wa wazee fulani wa CCM hakufanya hivyo, ikawa sababu mojawapo ya Magufuli kumchukia na hatimae kumtoa uwaziri). Muulize Mwigulu atakuambia, na utaelewa kwa nini pia Magufuli aliwachukia wazee fulani wa CCM.
Je, Dr. Slaa anajua kwamba Lissu alikuwa shadowed kwa muda mrefu kabla ya tukio? Je, anajua CCTV recordings ziliondolewa pale kwenye eneo la tukio? Je, Dr. Slaa anajua kwamba barabara zilifanywa tupu ili gari lililotumika kwenye jaribio liweze kupita bila pingamizi kuondoka sehemu ya tukio? Je, Dr. Slaa anajua gari mpya ya Nissan Patrol ilitumika na kuchomwa moto ili kuharibu ushahidi? Sasa nani ndani ya CHADEMA anaweza ku-mount operation ya namna hiyo dhidi ya Lissu?
Nani ndani ya CHADEMA anaweza ku-mount operation za aina ya utekaji na uuaji uliofanywa na kuufanikisha bila kuwa na support ya Serikali, na vyombo vya usalama vikae kimya bila kuwakamata kwa kutumia kila aina ya nguvu? Operation za namna hiyo ambazo nyingine zilifanyika mchana kweupe, zinaweza tu kufanyika ikiwa wanaozifanya wanajua Serikali na vyombo vya usalama viko nyuma yao. Yaani hili ni gumu sana kwa Dr. Slaa kulielewa?
N wazi sana Dr. Slaa amekuwa currupted na zawadi ya ubalozi aliyopewa na Magufuli, na sasa inamfanya kuwa shabiki namba moja wa Magufuli. In fact anaonyesha hata silka ya kumshutumu na kumpiga Rais Samia vijembe kichinichini kwa huu ushabiki wake kwa Magufuli. Dr. Slaa amekuwa psychologically bribed and corrupted na zawadi ya ubalozi kiasi kwamba sasa anajisahau kabisa, he is becoming so naive to the extent of forgetting to be clever. Poor Dr Slaa.
Huyo babu wa mihogo achana naye. Akili za mihogo hizo!!!! Every critical Tanzanian knows what transpired that day!!! Circumstantial evidence inapoint upande fulani. Babu wa mihogo hawezi kusema "no" sasa hivi kwa vile anafaidika na upande alioenda lazima awaponde wenzie.
Haipo Serikali duniani inayoweza kufanya mambo ya kijinga kwa jinsi hii kama yanayodhaniwa kufanyika awamu ya 5 ya Hayati JPM. In fact JPM na Serikali yake hawakuhusika
Huko mbele ya safari mimi naamini kabisa kuwa ukweli wote utakuja kujulikana tu. Vita kati ya ukweli na uongo, uongo huwa unaanza unashinda kwanza, halafu ukweli ndiyo unakuja kumalizia kwa kushinda mwisho.
Inawezekana unachosema ni kweli, lakini ushahidi wa kimazingira kuanzia CCTV kuondolewa na malalamiko ya Lisu kuhusu gari iliyokuwa ikimfuata na kuiripoti , na serikali kukataa uchunguzi ili kujua kilichotokea kinanipa wasiwasi sana na hata mimi nafikiri serikali ilihusika
Inawezekana unachosema ni kweli, lakini ushahidi wa kimazingira kuanzia CCTV kuondolewa na malalamiko ya Lisu kuhusu gari iliyokuwa ikimfuata na kuiripoti , na serikali kukataa uchunguzi ili kujua kilichotokea kinanipa wasiwasi sana na hata mimi nafikiri serikali ilihusika
Ilifanyika hivyo ili kumumaliza Kabisa kisiiasa Hayati JPM na alikuwa hajui kuwa lilikuwa ni kosa kwake kutokujua hilo. Ni kosa alilofanya JPM na walijua kuwa atafanya kosa la namna hiyo. Professionals hawawezi kwenda kwenye eneo la tukio wakiwa hawana Plan B. Stil, wakamimina risasi kama mvua na bado wasiweze kumaliza target yao. TL hakushambuliwa na Professionals, alishambuliwa na amateurs, yeye mwenyewe anajua hilo! Ili kumumaliza kabisa JPM, huduma kwa TL zikawa mbovu sana na hatimaye, ...... now you connect the dots!
Kuna vitu vingine ni bora kukaa kimya badala ya kuongea, kwa kuwa unapoongea watu wataweza kujua kina cha busara zako kama ni kirefu au kifupi sana. Katika maisha, ni bora kukaa kimya watu wadhani una busara, kuliko wewe kudhani una busara ukaongea hadharani na kufanya hata wale waliodhani una busara watambue kuwa huna busara.
Mfano ni hili la Lissu na suala zima la kupigwa risasi. Ni kweli hatuna ukweli wote, lakini pia kuna viashiria vingi kwamba vyombo vya usalama vya Serikali havikulipa uzito unaostahili katika kulipeleleza. Na pia kumekuwa na circumstantial evidence nyingi sana kwamba kwa namna moja au nyingine Serikali ilihusika. Sasa pale Dr. Slaa anaposema hawezi kuongelea hili, kisha anaeleza kisa cha mtu alietekwa na watu wa CHADEMA wenyewe, ni wazi ana nia ya kuufanya umma uamini kwamba kuna uwezekano Lissu alipigwa risasi na watu wa CHADEMA.
Lakini sasa, hili wazo la Dr. Slaa lingekuwa na circumstantial evidence nje ya huyo alietekwa na Chadema wenyewe, labda ndio angepaswa kuliunganisha na hicho kisa kingine. Na Dkt Slaa, anajuaje kwamba huyo aliesema aliongoza kumteka mtu wa CHADEMA yote hiyo haikuwa part ya plan ya kuwavuruga CHADEMA kwa kuwagonganisha wao kwa wao? Hivi Dr. Slaa hajui dirty politics zinavyochezwa, kampuni ya soda hii kuweka kondomu kwenye chupa ya kampuni ya soda ile ili watu waione ni kampuni ya soda chafu?
Kwa mfano, hivi Dr Slaa anajua kwamba muda mfupi baada ya Lissu kupigwa riasi Magufuli alimpigia simu Mwigulu Nchemba kama waziri wa Mambo ya Ndani atoe tamko kwamba serikali haikuhusika na jaribio la kumuua Lissu? (Mwigulu baada ya kupata ushauri wa wazee fulani wa CCM hakufanya hivyo, ikawa sababu mojawapo ya Magufuli kumchukia na hatimae kumtoa uwaziri). Muulize Mwigulu atakuambia, na utaelewa kwa nini pia Magufuli aliwachukia wazee fulani wa CCM.
Je, Dr. Slaa anajua kwamba Lissu alikuwa shadowed kwa muda mrefu kabla ya tukio? Je, anajua CCTV recordings ziliondolewa pale kwenye eneo la tukio? Je, Dr. Slaa anajua kwamba barabara zilifanywa tupu ili gari lililotumika kwenye jaribio liweze kupita bila pingamizi kuondoka sehemu ya tukio? Je, Dr. Slaa anajua gari mpya ya Nissan Patrol ilitumika na kuchomwa moto ili kuharibu ushahidi? Sasa nani ndani ya CHADEMA anaweza ku-mount operation ya namna hiyo dhidi ya Lissu?
Nani ndani ya CHADEMA anaweza ku-mount operation za aina ya utekaji na uuaji uliofanywa na kuufanikisha bila kuwa na support ya Serikali, na vyombo vya usalama vikae kimya bila kuwakamata kwa kutumia kila aina ya nguvu? Operation za namna hiyo ambazo nyingine zilifanyika mchana kweupe, zinaweza tu kufanyika ikiwa wanaozifanya wanajua Serikali na vyombo vya usalama viko nyuma yao. Yaani hili ni gumu sana kwa Dr. Slaa kulielewa?
N wazi sana Dr. Slaa amekuwa currupted na zawadi ya ubalozi aliyopewa na Magufuli, na sasa inamfanya kuwa shabiki namba moja wa Magufuli. In fact anaonyesha hata silka ya kumshutumu na kumpiga Rais Samia vijembe kichinichini kwa huu ushabiki wake kwa Magufuli. Dr. Slaa amekuwa psychologically bribed and corrupted na zawadi ya ubalozi kiasi kwamba sasa anajisahau kabisa, he is becoming so naive to the extent of forgetting to be clever. Poor Dr Slaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.