huyoi anahusika asilimia 100% serikali hawahangaiki kwakuwa mhanga mwenyewe hahangaiki kushitaki sasa mtu anataka serikali imhoji nani wakati wa upelelezi kama aliyepigwa hataki kuja kutoa ushahidi dreva mhusika wa genge la wauaji kajificha..dereva inajulikana yuko Ubelgiji.
..Polisi wa Tz wanatakiwa wawashirikishe wenzao wa Ubelgiji ili dereva arejeshwe nchini.
..Na Tanzania ina mahusiano mazuri na Ubelgiji kwasababu Raisi alikuwa huko majuzi.
..Ukiona Polisi hawafanyi jitihada kumrejesha dereva nchini ujue kwamba hawana haja naye, hawaamini kwamba anahusika.
chadema wataumbukaKuna umuhim wa kuwaomba aidha FBI au Scotland yard ili mbivu na mbichi zijulikane!!
Inamaana system nzima ya usalama wa NCHI wamewashindwa CDM juu ya madai yako??Slaa ametupatia mwanga kwenye mambo ya muhimu sana.
Chadema walikalia kumtuhumu Magufuli kwamba amemteka na kumpoteza Ben kumbe ni internal operation ya chama, kuua na kupoteza watu na kisha kutupia lawama serikali.
Sasa naanza kupata mashaka na walioshambulia Lisu, sasa naanza kuwaamini waliosema hii ni vita ya mamlaka vyeo ndani ya chama.
Ahsante sana mzee Slaa.
Ndio vzr tujue ukweli uko wap maan inaonekana CDM wana nguvu kubwa NCHI hii mpaka hakuna wa kuwagusa wakifanya uhalifu!!chadema wataumbuka
Mkuu mimi nimefunga mjadala kumjibu huyu MATAGA!..dereva inajulikana yuko Ubelgiji.
..Polisi wa Tz wanatakiwa wawashirikishe wenzao wa Ubelgiji ili dereva arejeshwe nchini.
..Na Tanzania ina mahusiano mazuri na Ubelgiji kwasababu Raisi alikuwa huko majuzi.
..Ukiona Polisi hawafanyi jitihada kumrejesha dereva nchini ujue kwamba hawana haja naye, hawaamini kwamba anahusika.
Ukistaajabu ya comment yako utayaona ya sabaya.. serikali ya tz ipo chini ya mwamvuli wa uzalendoHaipo Serikali duniani inayoweza kufanya mambo ya kijinga kwa jinsi hii kama yanayodhaniwa kufanyika awamu ya 5 ya Hayati JPM. In fact JPM na Serikali yake hawakuhusika
Huko mbele ya safari mimi naamini kabisa kuwa ukweli wote utakuja kujulikana tu. Vita kati ya ukweli na uongo, uongo huwa unaanza unashinda kwanza, halafu ukweli ndiyo unakuja kumalizia kwa kushinda mwisho.
Unamlazimisha Dk Slaa kuongea jambo ambalo yeye mwenyewe amekataa kuliongelea?Kuna vitu vingine ni bora kukaa kimya badala ya kuongea, kwa kuwa unapoongea watu wataweza kujua kina cha busara zako kama ni kirefu au kifupi sana. Katika maisha, ni bora kukaa kimya watu wadhani una busara, kuliko wewe kudhani una busara ukaongea hadharani na kufanya hata wale waliodhani una busara watambue kuwa huna busara.
Mfano ni hili la Lissu na suala zima la kupigwa risasi. Ni kweli hatuna ukweli wote, lakini pia kuna viashiria vingi kwamba vyombo vya usalama vya serikali havikulipa uzito unaostahili katika kulipeleleza. Na pia kumekuwa na circumstantial evidence nyingi sana kwamba kwa namna moja au nyingine serikali ilihusika. Sasa pale Dr. Slaa anaposema hawezi kuongelea hili, kisha anaeleza kisa cha mtu alietekwa na watu wa Chadema wenyewe, ni wazi ana nia ya kuufanya umma uamini kwamba kuna uwezekano Lissu alipigwa risasi na watu wa Chadema.
Lakini sasa, hili wazo la Dr. Slaa lingekuwa na circumstantial evidence nje ya huyo alietekwa na Chadema wenyewe, labda ndio angepaswa kuliunganisha na hicho kisa kingine. Na Dkt Slaa, anajuaje kwamba huyo aliesema aliongoza kumteka mtu wa Chadema yote hiyo haikuwa part ya plan ya kuwavuruga Chadema kwa kuwagonganisha wao kwa wao? Hivi Dr. Slaa hajui dirty politics zinavyochezwa, Kampuni ya soda hii kuweka kondomu kwenye chupa ya kampuni ya soda ile ili watu waione ni kampuni ya soda chafu?
Kwa mfano, hivi Dr Slaa anajua kwamba muda mfupi baada ya Lissu kupigwa riasi Magufuli alimpigia simu Mwigulu Nchemba kama waziri wa Mambo ya Ndani atoe tamko kwamba serikali haikuhusika na jaribio la kumuua Lissu? (Mwigulu baada ya kupata ushauri wa wazee fulani wa CCM hakufanya hivyo, ikawa sababu mojawapo ya Magufuli kumchukia na hatimae kumtoa uwaziri). Muulize Mwigulu atakuambia, na utaelewa kwa nini pia Magufuli aliwachukia wazee fulani wa CCM.
Je, Dr. Slaa anajua kwamba Lissu alikuwa shadowed kwa muda mrefu kabla ya tukio? Je anajua CCTV recordings ziliondolewa pale kwenye eneo la tukio? Je Dr. Slaa anajua kwamba barabara zilifanywa tupu ili gari lililotumika kwenye jaribio liweze kupita bila pingamizi kuondoka sehemu ya tukio? Je Dr. Slaa anajua gari mpya ya Nissan Patrol ilitumika na kuchomwa moto ili kuharibu ushahidi? Sasa nani ndani ya Chadema anaweza ku-mount operation ya namna hiyo dhidi ya Lissu?
Nani ndani ya Chadema anaweza ku-mount operation za aina ya utekaji na uuaji uliofanywa na kuufanikisha bila kuwa na support ya serikali, na vyombo vya usalama vikae kimya bila kuwakamata kwa kutumia kila aina ya nguvu? Operation za namna hiyo ambazo nyingine zilifanyika mchana kweupe, zinaweza tu kufanyika ikiwa wanaozifanya wanajua serikali na vyombo vya usalama viko nyuma yao. Yaani hili ni gumu sana kwa Dr. Slaa kulielewa?
N wazi sana Dr. Slaa amekuwa currupted na zawadi ya ubalozi aliyopewa na Magufuli, na sasa inamfanya kuwa shabiki namba moja wa Magufuli. In fact anaonyesha hata silka ya kumshutumu na kumpiga Raisi Samia vijembe kichinichini kwa huu ushabiki wake kwa Magufuli. Dr. Slaa amekuwa psychologically bribed and corrupted na zawadi ya ubalozi kiasi kwamba sasa anajisahau kabisa, he is becoming so naive to the extent of forgetting to be clever. Poor Dr Slaa.
Nimefunga mjadala kukujibu maana naona bado unateseka kwa kuwa serikali ya kidhalimu haipo tena japo mnatamani muone poteza poteza .ahahaaaa yaani unachekesha sana nduguyangu ben saanane alikuwa anatishwa na hilohilo kundi la mbowe na chacha wangwe kila mtu anajuwa kuwa ni mbowe ndiyo engineer wa mauwaji hayo yaani kama wewe hujui unafanya makusudi tu lakini ukweli unaujuwa
huyoi anahusika asilimia 100% serikali hawahangaiki kwakuwa mhanga mwenyewe hahangaiki kushitaki sasa mtu anataka serikali imhoji nani wakati wa upelelezi kama aliyepigwa hataki kuja kutoa ushahidi dreva mhusika wa genge la wauaji kajificha
Mkuu mimi nimefunga mjadala kumjibu huyu MATAGA!
We are in different leagues yaani hajiulizi kwanini US walimfungia Zero Brain kukanyaga unyamwezini?
Ninaona ni mtu aliye mjinga hatojiuliza kwanini Scotland Yard walipotaka kuletwa kuchunguza tukio hili wahusika walikataa kata kata.
Wanausalama wa US wako na ushahidi wa kutosha ndio maana muhusika mkuu alifungiwa kutia mguu kule . Hawabahatishi.
Mie nimeongea kutokana na yale aliyoongea Dr Slaa. Kwa nini huwezi kusoma ukaelewa?Unamlazimisha Dk Slaa kuongea jambo ambalo yeye mwenyewe amekataa kuliongelea?
Je kwa nini uongozi wa Chadema haujawahi kukanusha kuhusu huo utekaji wa Temeke?
Dk Slaa anaendelea kubaki kuwa mwanasiasa mkweli kuhusu dhamira yake.
Baada ya kifo cha Magufuli ndio tumejua kiwango na ukubwa wa kundi la maadui zake walivyokuwa watu wake wa karibu kiserikali.
Hatutashangaa huko mbeleni kuja kusikia matukio kadhaa yaliratibiwa kwa ushirikiano wa ndani na nje ya serikali yake.
Ilimradi tu,nia ya kumchafua na kumtibulia itimie.
Wewe mwandishi au mleta mada pamoja na mimi hatujui mambo ya Chadema kuliko yeye Dk Slaa.
Habari za siku Mkuu PascalNaunga mkono hoja, ila kwenye hii hoja, Dr. Slaa pia ana hoja ya msingi!.
Na kwenye kuwabaini wasiojulikana hawa niliwahi kusemaShambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?
Wanabodi Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu, "Shambulizi la Lissu, wanaomdhania dereva anahusika, sio wajinga!, wana hoja za msingi!" Swali ni Jee Dereva Anahusika? Si maanishi kuwa dereva wa Lissu anahusika, bali mazingira ya tukio...www.jamiiforums.com
Humu nilisemaShambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
Wanabodi, Tangu kutokea kwa shambulizi kwa Mhe.Tundu Lissu, ambalo mpaka sasa linaelezwa kufanywa na watu wasiojulikana, kumeibuka shauku kubwa ya watu kutaka kuwabaini hawa watu wanaoitwa ni watu wasiojulikana, ni kina nani?, wanatumwa na nani? na lengo lao ni nini?, kunakopelekea kujengwa kwa...www.jamiiforums.com
Niliwahigi kuwaza hivi, kumbe pia kuna wengine waliowahi kuwaza hivi!.
P
Huyo babu wa mihogo achana naye. Akili za mihogo hizo!!!! Every critical Tanzanian knows what transpired that day!!! Circumstantial evidence inapoint upande fulani. Babu wa mihogo hawezi kusema "no" sasa hivi kwa vile anafaidika na upande alioenda lazima awaponde wenzie.Kuna vitu vingine ni bora kukaa kimya badala ya kuongea, kwa kuwa unapoongea watu wataweza kujua kina cha busara zako kama ni kirefu au kifupi sana. Katika maisha, ni bora kukaa kimya watu wadhani una busara, kuliko wewe kudhani una busara ukaongea hadharani na kufanya hata wale waliodhani una busara watambue kuwa huna busara.
Mfano ni hili la Lissu na suala zima la kupigwa risasi. Ni kweli hatuna ukweli wote, lakini pia kuna viashiria vingi kwamba vyombo vya usalama vya Serikali havikulipa uzito unaostahili katika kulipeleleza. Na pia kumekuwa na circumstantial evidence nyingi sana kwamba kwa namna moja au nyingine Serikali ilihusika. Sasa pale Dr. Slaa anaposema hawezi kuongelea hili, kisha anaeleza kisa cha mtu alietekwa na watu wa CHADEMA wenyewe, ni wazi ana nia ya kuufanya umma uamini kwamba kuna uwezekano Lissu alipigwa risasi na watu wa CHADEMA.
Lakini sasa, hili wazo la Dr. Slaa lingekuwa na circumstantial evidence nje ya huyo alietekwa na Chadema wenyewe, labda ndio angepaswa kuliunganisha na hicho kisa kingine. Na Dkt Slaa, anajuaje kwamba huyo aliesema aliongoza kumteka mtu wa CHADEMA yote hiyo haikuwa part ya plan ya kuwavuruga CHADEMA kwa kuwagonganisha wao kwa wao? Hivi Dr. Slaa hajui dirty politics zinavyochezwa, kampuni ya soda hii kuweka kondomu kwenye chupa ya kampuni ya soda ile ili watu waione ni kampuni ya soda chafu?
Kwa mfano, hivi Dr Slaa anajua kwamba muda mfupi baada ya Lissu kupigwa riasi Magufuli alimpigia simu Mwigulu Nchemba kama waziri wa Mambo ya Ndani atoe tamko kwamba serikali haikuhusika na jaribio la kumuua Lissu? (Mwigulu baada ya kupata ushauri wa wazee fulani wa CCM hakufanya hivyo, ikawa sababu mojawapo ya Magufuli kumchukia na hatimae kumtoa uwaziri). Muulize Mwigulu atakuambia, na utaelewa kwa nini pia Magufuli aliwachukia wazee fulani wa CCM.
Je, Dr. Slaa anajua kwamba Lissu alikuwa shadowed kwa muda mrefu kabla ya tukio? Je, anajua CCTV recordings ziliondolewa pale kwenye eneo la tukio? Je, Dr. Slaa anajua kwamba barabara zilifanywa tupu ili gari lililotumika kwenye jaribio liweze kupita bila pingamizi kuondoka sehemu ya tukio? Je, Dr. Slaa anajua gari mpya ya Nissan Patrol ilitumika na kuchomwa moto ili kuharibu ushahidi? Sasa nani ndani ya CHADEMA anaweza ku-mount operation ya namna hiyo dhidi ya Lissu?
Nani ndani ya CHADEMA anaweza ku-mount operation za aina ya utekaji na uuaji uliofanywa na kuufanikisha bila kuwa na support ya Serikali, na vyombo vya usalama vikae kimya bila kuwakamata kwa kutumia kila aina ya nguvu? Operation za namna hiyo ambazo nyingine zilifanyika mchana kweupe, zinaweza tu kufanyika ikiwa wanaozifanya wanajua Serikali na vyombo vya usalama viko nyuma yao. Yaani hili ni gumu sana kwa Dr. Slaa kulielewa?
N wazi sana Dr. Slaa amekuwa currupted na zawadi ya ubalozi aliyopewa na Magufuli, na sasa inamfanya kuwa shabiki namba moja wa Magufuli. In fact anaonyesha hata silka ya kumshutumu na kumpiga Rais Samia vijembe kichinichini kwa huu ushabiki wake kwa Magufuli. Dr. Slaa amekuwa psychologically bribed and corrupted na zawadi ya ubalozi kiasi kwamba sasa anajisahau kabisa, he is becoming so naive to the extent of forgetting to be clever. Poor Dr Slaa.
Inawezekana unachosema ni kweli, lakini ushahidi wa kimazingira kuanzia CCTV kuondolewa na malalamiko ya Lisu kuhusu gari iliyokuwa ikimfuata na kuiripoti , na serikali kukataa uchunguzi ili kujua kilichotokea kinanipa wasiwasi sana na hata mimi nafikiri serikali ilihusikaHaipo Serikali duniani inayoweza kufanya mambo ya kijinga kwa jinsi hii kama yanayodhaniwa kufanyika awamu ya 5 ya Hayati JPM. In fact JPM na Serikali yake hawakuhusika
Huko mbele ya safari mimi naamini kabisa kuwa ukweli wote utakuja kujulikana tu. Vita kati ya ukweli na uongo, uongo huwa unaanza unashinda kwanza, halafu ukweli ndiyo unakuja kumalizia kwa kushinda mwisho.
Ilifanyika hivyo ili kumumaliza Kabisa kisiiasa Hayati JPM na alikuwa hajui kuwa lilikuwa ni kosa kwake kutokujua hilo. Ni kosa alilofanya JPM na walijua kuwa atafanya kosa la namna hiyo. Professionals hawawezi kwenda kwenye eneo la tukio wakiwa hawana Plan B. Stil, wakamimina risasi kama mvua na bado wasiweze kumaliza target yao. TL hakushambuliwa na Professionals, alishambuliwa na amateurs, yeye mwenyewe anajua hilo! Ili kumumaliza kabisa JPM, huduma kwa TL zikawa mbovu sana na hatimaye, ...... now you connect the dots!Inawezekana unachosema ni kweli, lakini ushahidi wa kimazingira kuanzia CCTV kuondolewa na malalamiko ya Lisu kuhusu gari iliyokuwa ikimfuata na kuiripoti , na serikali kukataa uchunguzi ili kujua kilichotokea kinanipa wasiwasi sana na hata mimi nafikiri serikali ilihusika
Aweke ushahidi waziKuna vitu vingine ni bora kukaa kimya badala ya kuongea, kwa kuwa unapoongea watu wataweza kujua kina cha busara zako kama ni kirefu au kifupi sana. Katika maisha, ni bora kukaa kimya watu wadhani una busara, kuliko wewe kudhani una busara ukaongea hadharani na kufanya hata wale waliodhani una busara watambue kuwa huna busara.
Mfano ni hili la Lissu na suala zima la kupigwa risasi. Ni kweli hatuna ukweli wote, lakini pia kuna viashiria vingi kwamba vyombo vya usalama vya Serikali havikulipa uzito unaostahili katika kulipeleleza. Na pia kumekuwa na circumstantial evidence nyingi sana kwamba kwa namna moja au nyingine Serikali ilihusika. Sasa pale Dr. Slaa anaposema hawezi kuongelea hili, kisha anaeleza kisa cha mtu alietekwa na watu wa CHADEMA wenyewe, ni wazi ana nia ya kuufanya umma uamini kwamba kuna uwezekano Lissu alipigwa risasi na watu wa CHADEMA.
Lakini sasa, hili wazo la Dr. Slaa lingekuwa na circumstantial evidence nje ya huyo alietekwa na Chadema wenyewe, labda ndio angepaswa kuliunganisha na hicho kisa kingine. Na Dkt Slaa, anajuaje kwamba huyo aliesema aliongoza kumteka mtu wa CHADEMA yote hiyo haikuwa part ya plan ya kuwavuruga CHADEMA kwa kuwagonganisha wao kwa wao? Hivi Dr. Slaa hajui dirty politics zinavyochezwa, kampuni ya soda hii kuweka kondomu kwenye chupa ya kampuni ya soda ile ili watu waione ni kampuni ya soda chafu?
Kwa mfano, hivi Dr Slaa anajua kwamba muda mfupi baada ya Lissu kupigwa riasi Magufuli alimpigia simu Mwigulu Nchemba kama waziri wa Mambo ya Ndani atoe tamko kwamba serikali haikuhusika na jaribio la kumuua Lissu? (Mwigulu baada ya kupata ushauri wa wazee fulani wa CCM hakufanya hivyo, ikawa sababu mojawapo ya Magufuli kumchukia na hatimae kumtoa uwaziri). Muulize Mwigulu atakuambia, na utaelewa kwa nini pia Magufuli aliwachukia wazee fulani wa CCM.
Je, Dr. Slaa anajua kwamba Lissu alikuwa shadowed kwa muda mrefu kabla ya tukio? Je, anajua CCTV recordings ziliondolewa pale kwenye eneo la tukio? Je, Dr. Slaa anajua kwamba barabara zilifanywa tupu ili gari lililotumika kwenye jaribio liweze kupita bila pingamizi kuondoka sehemu ya tukio? Je, Dr. Slaa anajua gari mpya ya Nissan Patrol ilitumika na kuchomwa moto ili kuharibu ushahidi? Sasa nani ndani ya CHADEMA anaweza ku-mount operation ya namna hiyo dhidi ya Lissu?
Nani ndani ya CHADEMA anaweza ku-mount operation za aina ya utekaji na uuaji uliofanywa na kuufanikisha bila kuwa na support ya Serikali, na vyombo vya usalama vikae kimya bila kuwakamata kwa kutumia kila aina ya nguvu? Operation za namna hiyo ambazo nyingine zilifanyika mchana kweupe, zinaweza tu kufanyika ikiwa wanaozifanya wanajua Serikali na vyombo vya usalama viko nyuma yao. Yaani hili ni gumu sana kwa Dr. Slaa kulielewa?
N wazi sana Dr. Slaa amekuwa currupted na zawadi ya ubalozi aliyopewa na Magufuli, na sasa inamfanya kuwa shabiki namba moja wa Magufuli. In fact anaonyesha hata silka ya kumshutumu na kumpiga Rais Samia vijembe kichinichini kwa huu ushabiki wake kwa Magufuli. Dr. Slaa amekuwa psychologically bribed and corrupted na zawadi ya ubalozi kiasi kwamba sasa anajisahau kabisa, he is becoming so naive to the extent of forgetting to be clever. Poor Dr Slaa.