Kwa maoni ya Dkt. Slaa, inawezekana Ben Saanane na wengine walitekwa na kupotezwa na Chadema

Kagusa kwenye kidonda chenu. Chadema ni waongo sana. Unakumbuka Mbowe alitangaza kuvamiwa na vijana eti ni wa Ccm. Lakini ilifahamika kuwa alilewa akaanguka kwenye ngazi, na hata kijana wake mwenyewe anathibitisha usiku ule alitika kunywa na kimada wake.

Siyo aibu ile? Chadema hamuaniniki mbele ya wenye akili zao.
 
Hakuna siri ya watu wawili, kuna siku mtu ataongea kilichotokea siku ile
 
bado huwa mnaangaika na huyu mzee basi na nyie mna matatizo
 
Mtoa mada, mgojwa wa ukimwi hagunduliwi kwa kuangaliwa, bali kupimwa. Asante.
 
Shida ni kwamba mnashindwa kutushawishi yafuatayo.
1. Nani alipangua zamu za ulinzi za polisi kwenye makazi ya viongozi?
2.Nani alisafisha njia ili kuwe na safe exit baada ya excution?
3. Nani alitoa cctv camera kwenye makazi ya viongozi?
4. Lissu alitaja mpaka gari iliyomtail toka dar mbona haijakamatwa?
5. Kama imepigwa kiberiti kupoteza ushahidi je nanani?
6. Lissu alimuomba kwa kuwataja siro na kipilimba in personal.
7. Kwanini serikali inakataa hoja ya wapelelezi huru kama scotland yard?
8. Kama inaogopa kufitinishwa na scotland yard mbona haitumii vyombo vyake polisi na tiss kumpeleleza?
9. Kauli ya Magufuli dakika chache kabla ya shambulio je haiwezi kutoa clue? ( This is government)
10. Kwanini watetezi wa ccm/gvt wanamtaka dereva wa lissu ila hawana haja ya kumjua mpangua zamu za ulinzi wa polisi na mchomomoa kamera ya cctv?

Maswali ni mengi mno sasa nimalizie kama msemaji mmoja hapo juu chadema wanawezaje kuendesha op kubwa kama hii na hawana jeshi wala polisi?
 
Dr.mihogo hana mpya analazimisha kuendelea kuonekana na chadema wananifurahisha maana ni kama wamempotezea hivi hakuna anayehangaika kumjibu.[emoji1787]
 
Mtoa mada, mgojwa wa ukimwi hagunduliwi kwa kuangaliwa, bali kupimwa. Asante.
Unakosea Mkuu. Mgonjwa wa ukimwi unaweza kumjua kwa macho, ila mwathirika wa VVU huwezi kumjua kwa macho.
 
This is very simple than you think: Tuombe USA au Uingereza watupe wapelelezi wafanye uchunguzi. Kuna mengi sana wanaweza kutusaidia. Kupigwa risasi Mh. Lissu, Azori Gwanda na Ben Saanane kutoweka nk....
CCM hawezi kukubali, mauaji waliyoyafanya ni mengi mno na high-profile murder incidences ni direct orders kutoka Ikulu.
 
Nimekupata mkuu. Samahani sana nilikuwa nimekusoma vibaya au nilichanganya madawa. Mimi na wewe tuko page moja kabisa. Nadhani kuna mada nilichanga nikadhani namjibu jamaa fulani.
Wewe ulisoma heading ukaenda ku comment, hukusoma maelezo yote, mbona jamaa ameeleza vizuri sana. Nilipoona comment yako nilikuonea huruma kwamba hukusoma na kuelewa.
 
Kama serikali haijahusika wameshindwa nini kufanya uchunguzi??, Kwamba chadema ina nguvu kuliko usalama wa Taifa au jeshi la polisi??. Huu upuuzi wakutetea vitu ambavyo hata mtoto wa darasa la saba anavifahamu ni ukichaa.
Chadema na CCM vyote ni vyama vya serikali, kwaiyo hakitokea mtu wa kuhatarisha ulaji wao pamoja na usalama wa serikali wanashirikiana kumshugurikia.
 
Ungeweza kutoa mchango wa kudaidia kidogo angalau kwa kutuambia zil CCTV camera zilizopo kuwa eneo la tukio zilienda wapi. Nani alizitoa, na kwa sababu gani?
 
BAVICHA kama kawaida wameishiwa hoja, wamejaa matusi.
Kutukana hakusaidii zaidi ya kuonyesha tabia zenu na jinsi mnavyotumika!
 
Ungeweza kutoa mchango wa kudaidia kidogo angalau kwa kutuambia zil CCTV camera zilizopo kuwa eneo la tukio zilienda wapi. Nani alizitoa, na kwa sababu gani?
Hoja hapa hata mimi sikatai kuwa CCTV zilizimwa. Ninachokataa ni kwamba wahusika hawakuwa Serikali;isipokuwa watu wengine tu ambao walikuwa na ujanja wa ku-pretend kama Serikali
Hivi wewe hujiulizi uamuzi wa mtu anayeshikilia mhimili mkubwa kabisa wa nchi kukataa kufanya kazi na CAG; ulikuwa ni uamuzi wa busara? Tatizo lililokuwepo ni kwamba mengi yaliyokuwa yakifanyika, JPM alikuwa hawezi kuona nyuma yake yalikuwa yanamaanisha nini; ndiyo tatizokubwa lililokuwepo na ndiyo lile linalopeleka confusion kwa watu walio wengi.

Mbali na hayo, Mbunge waJMT amejeruhiwa vibaya sana yuko mahtuti, na hapo hapo hakuna hatua madhubuti zinazochukuliwa ku-rescue maisha yake; na wakati alipokuwa anajeruhiwa CCTV camera zilikuwa zimezimwa!

Angalia vizuri matukio haya namna yalivyo. Usiwe unasikia kishindo kikubwa pale uliposimama halafu unaanza kuangaza macho hapo hapo ulipo kwenye miguu yako hapana. Ukisikia kishindo kikubwa hapo ulipo, kama upo Kariakoo, angalia Chalinze au Morogoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…