geometry
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 466
- 358
- Thread starter
- #121
Nchi yoyote duniani haiwezi kusonga mbele bila yakua na sheria! Wanasheria wako wapi hapa brother??
Itakuwa hamjaelewa lengo la ThreadUna akili sana.
Muulize pia mikataba ya kufungua kampuni au kupata kandarasi ataandikiwa na nani?
Halafu akipata kesi ya ajira atakimbilia kwa wataalam wa sheria.
Hence.Kila course ni viable circumstancial.
Nimeeka top five kwa mchanganuo mbalimbali wa masomo sasa kama masomo ya Arts sijayagusa wewe kinakuuma nini...Ungeleta hiyo Argument kama Course zote ningezigroup kwenye kundi moja au ningeeka Course za Arts alafu nisingeeka Unazoona wewe ni best kwa Arts
apa anatakiwa aje ku argue mtu wa Bussiness au Science ambae kuna Course anaona ni best then sijaiekea ila sijasema Arts hamna best course ila sijaigusa Arts