Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Hii imfikie Mh Rais Mstaafu Kikwete, kuwa Tanzania kufikia uchumi wa kati ni pamoja na uwezo wakujigharamia uchaguzi mkuu.
Siasa za nchi hii ni ngumu sana.
JK ni mtu wa pekee kuwahi kutokea.
Nangojea uchaguzi huu upite na utatoa mwongozo.