Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza gharama zote za Uchaguzi Mkuu kulipwa na Serikali

Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza gharama zote za Uchaguzi Mkuu kulipwa na Serikali

Huyo rais wako chuki yake ya wazi kwa Lisu iko wazi, vinginevyo leo Lisu asingekuwa na ulemavu.

Hayo uyasemayo siwezi kutoa kaluli yoyote kwa sababu sijayaona.

Ila nimemsikia Tundu Lissu mara kwa mara akitoa kauli za kejeli na kashfa na dharau kwa kiongozi wa nchi na taasisi ya uraisi.
 
Hii ndiyo maana halisi ya kujitegemea na kuachana na kutembeza bakuli la ombaomba. Tanzania tajiri sema mijizi ilizidi. Salute Mh. Magufuli kwa kukomesha mijizi hiyo.
 
Ni kwasababu Magufuli kaharibu mahusiano ya nchi yetu na mataifa washirika. Kuwaita binadamu wenzako mabeberu huku ukirudiarudia kila mara ni uwendawazimu wa aina yake! Magufuli ni mbaguzi na hafai kamwe kuwa kiongozi! Havumiliki!
Ngoja tu nikutukani roho yangu iridhike. Yaan sijui nyie watu mna uharo kichwani. Kwa hiyo mlitaka tuendelee kupangiwa kila kitu. Badala ya kufurahi sasa angalau tunaweza kuanza kujitegemea polepole unaanza kukandamiza na mawazo yako ya kimkundugu
 
Ni vizuri kutumia pesa za ndani, lakini lengo la kutumia fedha za ndani ni ili kukwepa jumuiya ya kimataifa kujionea ushenzi, ukatili na uhayawani uliopangwa kufanyika kwenye uchaguzi huu, ili ccm wajitangaze washindi kimabavu.
Hayo uyasemayo siwezi kutoa kaluli yoyote kwa sababu sijayaona.

Ila nimemsikia Tundu Lissu mara kwa mara akitoa kauli za kejeli na kashfa na dharau kwa kiongozi wa nchi na taasisi ya uraisi.

Ww huwezi kuona maana ni mwamba ngozi ...
 
Tunadaiwa trilioni ngapi huko nje?

Huku ni kujitegemea with interest.
 
Jitahidi vile vya kusifia uwe unatoa sifa, sio kupinga kila kitu mkuu...
Mkuu;

Usipoteze muda wako kutoa ushauri kwa watu wa aina ya huyo jamaa!

Usihangaike na wapumbavu bali hangaika na wajinga ambao ukiwaelimisha wanaelimika!
 
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa serikali ya Tanzania kulipa gharama zote za Uchaguzi Mkuu tokea tuingie kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992...
Kwamba tutaiba kura na kufanya rafu bila haya sio? basi sawa
 
Ni kwa sababu Magufuli kaharibu mahusiano ya nchi yetu na mataifa washirika. Kuwaita binadamu wenzako mabeberu huku ukirudiarudia kila mara ni uwendawazimu wa aina yake! Magufuli ni mbaguzi na hafai kamwe kuwa kiongozi! Havumiliki!
An hungry lion can not become a graceful giraffe..brother
 
Beberu ni tusi na ni neno la kibaguzi. Hakuna lugha nyingine ya kulielezea. Watu weusi wakiitwa nyani unaona wanavyokuja juu? Vivyo hivyo kwa neno beberu
Nilichogundua wewe hata shule hujamaliza ndo maana unaona beberu Ni tusi angali wenye Akili tunaona Ni jina la mfumo kama Mifumo ya kijima na n.k

Hivyo Basi Endelea na Imani yako ya kipuuzi kuwa ubeberu Ni tusi.
 
Ni kwa sababu Magufuli kaharibu mahusiano ya nchi yetu na mataifa washirika. Kuwaita binadamu wenzako mabeberu huku ukirudiarudia kila mara ni uwendawazimu wa aina yake! Magufuli ni mbaguzi na hafai kamwe kuwa kiongozi! Havumiliki!
Kama ni mabeberu kweli ulitaka asemaje?
 
Mleta uzi ipo siku utamsifia mkeo kwa kujinunulia pedi yake.
Vitu vya kawaida sana unasifia na kuanzisha uzi.
 
Wewe hujielewi kuitwa beberu Ni tusi? Hujui beberu Ni mtu anaefuata mfomo wa kibepali.

Nisawa na Mchina umuite Mjima Napo utakuwa umekosea? Maana wanatumia mfumo wa kijima.

Nchi karbia zote za ulaya na America zinatumia mfumo wa kipebali hivyo kuitwa beberu Ni kawaida Sana.. rejea history documents mkuu.
Mkuu kuna tofauti kati ya Beberu na Bepali. Mabeberu wawe nchi au mtu mmoja mmoja ni wakandamizaji na wezi wa aina fulani. Bepari ni capitalists (I stand to be corrected).
 
Mkuu kuna tofauti kati ya Beberu na Bepali. Mabeberu wawe nchi au mtu mmoja mmoja ni wakandamizaji na wezi wa aina fulani. Bepari ni capitalists (I stand to be corrected).
Umenena yaliyo sahihi mkuu Bora wewe unauelewa na huu Mfumo.

Hivyo Basi hata rais anavyotumiaga Neno Beberu huwa yupo sahihi maana Kuna nchi au watu bado wanazi undermine nchi zetu za Afrika Kupitia mgongo wa demokrasia kwa kuwatumia Hawa wanasiasa, na ndo Maana siku zote rais amesikika akisisitiza; "Kuna watu wanatumiwa na Mabeberu"

Hivyo taumuke Afrika tunaweza.
 
Wanajifanya wanashule hawa ufipa kumbe weupe. Hajui maana ya ubepali na ubeberu anajua ni tusi sababu wamezoea kutukana.
 
Hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa serikali ya Tanzania kulipa gharama zote za Uchaguzi Mkuu tokea tuingie kwenye mfumo wa vyama vingi mwaka 1992.

Ieleweke kuwa Mwaka 2015, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitumia jumla ya Shilingi 534,499,415,599/= katika zoezi zima la Uchaguzi Mkuu. Pesa kati ya hizo zilitolewa na Washirika wa Maendeleo ambao ni Umoja wa nchi za Ulaya, Uingereza na Marekani kupitia mradi wa DEP unaosimamiwa na UNDP ambapo pia walitoa vifaa kwa ajili ya uchaguzi na pia ukarabati wa Kituo cha Kuchakata taarifa za Wapiga Kura (Data Processing Center).

Kuanzia sasa mpaka Uchaguzi Mkuu, Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania (NEC) inatarajia kutumia shilingi bilioni 331.7 kukamilisha zoezi la Uchaguzi Mkuu ambapo fedha hizo zitatolewa kupitia Mfuko Mkuu wa Hazina kwa kuzingatia kifungu cha 122 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi.

Hii itakuwa ni dhana ya kujitegemea ambayo faida yake ni kuwa na uhuru wa kuamua namna ya kuendesha uchaguzi bila kuingiliwa kimaamuzi na Wanaochangia gharama za Uchaguzi!
Ndiyo wajibu wa serikali
 
Hamjatoa kule kwenye mifuko ya hifadhi za jamii?

Mnaiba haki za wazee wetu huku mkijitapa mnajitegemea, kujitegemea gani kwa kupora haki za wengine?
Unauliza swali halafu unatoa majibu wewe mwenyewe!
 
Unamaanisha kutumia Kodi zetu; either through makusanyo au mikopo kutoka kwa mabeberu..., kwahio bora useme gharama kulipwa na walipa kodi au Mikopo itakayolipwa na walipa kodi...
Kwa hiyo hizo pesa zinakusanywa na walipa kodi!

Kwa hiyo wasiolipa kodi sio pesa zao?

Tanzania kuna vituko!
 
Wewe mchague Lissu ili aendelee kuwaramba!

Sisi Watanzania tutamchagua tena Magu ili tuendelee kujitegemea kama hivi, hatutaki kummuabudu mtu ili aje aingilie mambo yetu ya ndani ya nchi sisi.

Juzi tu hapa bwana kabudi alikwenda na barua yake kuwaramba huko kwa mabeberu
 
Back
Top Bottom