Hii imfikie Mh Rais Mstaafu Kikwete, kuwa Tanzania kufikia uchumi wa kati ni pamoja na uwezo wakujigharamia uchaguzi mkuu.
Àtakuwa alitumbuliwa huyu na JPM
Kwani Marekani au Germany akitaka kufanya uchaguzi nchini mwao wanaomba fedha za uchaguzi nchi nyingine?Ni kwasababu Magufuli kaharibu mahusiano ya nchi yetu na mataifa washirika. Kuwaita binadamu wenzako mabeberu huku ukirudiarudia kila mara ni uwendawazimu wa aina yake! Magufuli ni mbaguzi na hafai kamwe kuwa kiongozi! Havumiliki!
Wewe mchague Lisu ili aendelee kuwaramba!
Sisi watanzania tutamchagua tena Magu ili tuendelee kujitegemea kama hivi, hatutaki kummuabudu mtu ili aje aingilie mambo yetu ya ndani ya nchi sisi.
Mawazo tegemezi haya. Kwani huwa hawaleti pesa hata wanapoandikiwa "barua" kuacha kufanya hivo?Ni kwasababu Magufuli kaharibu mahusiano ya nchi yetu na mataifa washirika. Kuwaita binadamu wenzako mabeberu huku ukirudiarudia kila mara ni uwendawazimu wa aina yake! Magufuli ni mbaguzi na hafai kamwe kuwa kiongozi! Havumiliki!
We bhana daaaNi kwasababu Magufuli kaharibu mahusiano ya nchi yetu na mataifa washirika. Kuwaita binadamu wenzako mabeberu huku ukirudiarudia kila mara ni uwendawazimu wa aina yake! Magufuli ni mbaguzi na hafai kamwe kuwa kiongozi! Havumiliki!
kwa hizi akili kuna siku mabeberu watakukula tigoHapo hakuna cha kusifia na laiti ungejua madhara yake!
Slave mind,ulitaka tukaombe pesa ya uchaguzi?Ni kwasababu Magufuli kaharibu mahusiano ya nchi yetu na mataifa washirika. Kuwaita binadamu wenzako mabeberu huku ukirudiarudia kila mara ni uwendawazimu wa aina yake! Magufuli ni mbaguzi na hafai kamwe kuwa kiongozi! Havumiliki!
Kupanga ni kumchagua bwasheeHivi wakulima Wa Korosho wamelipwa Pesa zao? on time? Wanafunzi vyuo vikuu wamepata mikopo wote? on time?
Kwa hiyo mlitaka akope huko kwenu nje mnakokimbilia?Ni kwasababu Magufuli kaharibu mahusiano ya nchi yetu na mataifa washirika. Kuwaita binadamu wenzako mabeberu huku ukirudiarudia kila mara ni uwendawazimu wa aina yake! Magufuli ni mbaguzi na hafai kamwe kuwa kiongozi! Havumiliki!
toka lini ukawa msemaji wa wtz wote? jisemee mwenyewe mie huniwakilishi na wala sitampigia kura huyo uchwara!.Wewe mchague Lisu ili aendelee kuwaramba!
Sisi watanzania tutamchagua tena Magu ili tuendelee kujitegemea kama hivi, hatutaki kummuabudu mtu ili aje aingilie mambo yetu ya ndani ya nchi sisi.
Eti sisi watanzania..!!Wewe mchague Lisu ili aendelee kuwaramba!
Sisi watanzania tutamchagua tena Magu ili tuendelee kujitegemea kama hivi, hatutaki kummuabudu mtu ili aje aingilie mambo yetu ya ndani ya nchi sisi.
Wewe mchague Lisu ili aendelee kuwaramba!
Sisi watanzania tutamchagua tena Magu ili tuendelee kujitegemea kama hivi, hatutaki kummuabudu mtu ili aje aingilie mambo yetu ya ndani ya nchi sisi.
Jamaa ana hasira na chuki ya dhati kabisa kutoka moyoni dhidi ya raisi wetu JPM