Kwa mara ya kwanza, Jaribio la nchi jirani lakwama Tanzania

Yaani Vilaza wa kwenye matokeo darasani wamekaa wakachukuana Vilaza bungeni wakawapeleka Dubai. Hebu kila mtu anayeshabikia mkataba huu mkataba aje na cheti cha form chenye division one.
Nina Div 1 ya 14 kutoka Don Bosco Seminary. Una lingine?
 
Ujinga
 
Baada ya DP World kufanikiwa kuingia Makubaliano na Tanzania, Kenya amechanganyikiwa sana.
 
Kama huna la maana la kusema si ufunge bakuli lako mwanangu. Kumbaff kabisa. Unatetea ufisadi na ukumbaff au umetumwa au ni mnufaikaji na dili hili la kimalaya kisiasa?
Ufisadi gani umetetewa hapa?

Endelea na ujinga wako tu. Tanzania haijalala na hatalala tena. Waambie wenzako the sleeping giant ameamka
 
HUYO JIRANI YUPO KARIBU SANA NA CHAMA FULANI NA WAMEAPIZANA KAZI YAO IWE MOJA TU, SABOTAGE BY ANY MEAN, NINA MASHAKA HATA HUTO TO MAANDAMANO TUNARATIBIWA NA WAO KISIRISIRI.
 
HUYO JIRANI YUPO KARIBU SANA NA CHAMA FULANI NA WAMEAPIZANA KAZI YAO IWE MOJA TU, SABOTAGE BY ANY MEAN, NINA MASHAKA HATA HUTO TO MAANDAMANO TUNARATIBIWA NA WAO KISIRISIRI.
Hiyo ndo imekuwa mipango ya huyu jirani kwa miaka mingi. Ku sabotage jitihada zozote za Tanzania katik kujikwamua kiuchumi ili aendelee kuwa juu yake!
 
Ulichoandika ni utopolo mtupu,watz hawana uwezo wa kucompet na wakenya ktk nyanja zote.
Wale ni full capitalist kitambo tu,Kama tu sisi tunalima parachichi wao ndo exporter,sisi tunalima mahindi na vitunguu wao ndio wajanja wa masoko ya sudani na nje
 
Ulichoandika ni utopolo mtupu,watz hawana uwezo wa kucompet na wakenya ktk nyanja zote.
Wale ni full capitalist kitambo tu,Kama tu sisi tunalima parachichi wao ndo exporter,sisi tunalima mahindi na vitunguu wao ndio wajanja wa masoko ya sudani na nje
Wafikishie salamu
Waliyokuwa wanafanya gizani ili kutufanya tuendelee kuwa chini yao sasa yanafahamika na tumeamka kweli.

Miaka 5 mingi sana lazima waisome namba.
 
Mleta mada hawa ndio division one ndani ya CCM, hawajitambui unazungumzia kenya wkati kwako kuna shida lukuki hujitambui na ndio maana divisio five wamejaa kwenye ofisi za nchi hii
 
Baada ya DP World kufanikiwa kuingia Makubaliano na Tanzania, Kenya amechanganyikiwa sana.

..DP anataka bandari zote kuanzia Djibout, Eritrea, Somali, Kenya, Tanzania, Msumbiji.

..Makubaliano kati ya Tanzania na DP hayazuii Kenya nao kuingia makubaliano na DP.

..Naona kuna propaganda za kila aina dhidi ya yeyote anayeonyesha mashaka na mkataba kati ya Tanzania na DP.

..Mwanzo kulikuwa na shutuma kwamba kila anayeupinga ni mdini na mbaguzi.

..Sasa naona mmekuja kivingine kwamba wanaopinga mkataba wanatumiwa na Wakenya.
 
Uwe unawahi kwenda nyumbani ufanye masahihisho na kazi za nyumbani na watoto wako kuliko kukaa bar muda wote.

Hao Kenya waliboresha bandari zao kwa mkataba wa kipumbavu km wa hapo Salama?
(Hakuna wa kujitoa) ili iweje?

Km nimemsikia kiongozi wa Bunge DHAIFU akisema siku ile walikuwa wanaigiza,hawakupitisha pendekezo hilo,au na wewe unasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…