Kwa mara ya kwanza, Jaribio la nchi jirani lakwama Tanzania

Kwa mara ya kwanza, Jaribio la nchi jirani lakwama Tanzania

Kuna maswali mmeulizwa mara nyingi ila hamtoi majibu..

1. Kwanini mkataba huo wa kukodisha bandari hauna kikomo cha muda, yaani ni wa milele?

2. Kwanini mkataba huo hauwezi kuvunjwa hata kama wawekezaji watathibitika kukosa uwezo?

3. Kwanini bandari za Zanzibar hazihusiki kwenye huo mkataba, bali ni bandari zoote za Tanganyika pekee?

4. Kwanini wahusika wote wakuu wa mkataba ni Wazanzibar?

"Do not argue with a fool because people won't notice the difference".
 
Shida iko wapi?
Tulijenga mwendokasi tukamnyang'anya mwekezaji na sasa tunaendesha wenyewe. Vipi tunaiendesha kwa ufanisi?

Uwanja wetu wa Taifa Benjamin Mkapa vipi tunauendeshaji?

Endelea kuomboleza ndugu. Mimi sio levels zako.

Div 1 point 14 ya O level, Div 1 point 7 ya A level na GPA ya 3.4 LLB.

Una lingine?
Haha we jamaa muongo sana kadanye wajinga wenzako huko Bukoba.

Mhaya mjinga kabisa.

Hiyo three ya makongo ndio uwe na akili??
 
Jirani anatapa tapa!!

Baada ya kujenga Bandari ya Lamu akitegemea kulikamata soko la Afrika Mashariki huku akitarajia kuiwekea gati zaidi ya 30 ambazo zitaendeshwa na sekta binafsi, huku akiimarisha bandari ya Mombasa na kuweka mipango kujenga SGR kuja Tanzania na SGR nyingine kwenda Congo ili kuzimaliza kabisa bandari za Tanzania sasa amekosa raha baaada ya kusikia Tanzania ameamka na anaboresha bandari zake kwa kiwango cha kimataifa.

Ikumbukwe jirani huyu alikuwa akifadika sana na ukiritimba uliokuwepo katika bandari za Tanzania uliofanya mizigo ichelewe kutoka na meli kuchelewa kushusha bandari jambo lililopelekea wateja wengi kukimbilia katika Bandari yake ya Mombasa!!

Taarifa zaidi zinasema jirani huyu ambaye kwa muda mrefu amekuwa akitumia mwanya wa siasa za Tanzania kupenyeza propaganda kii telejensia ili kufelisha mipango kabambe ya kiuchumi ya Tanzania ikiwemo ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Mji wa kisasa kigamboni, uwekezaji wa treni ya abiria katika jiji la Dar es Salaam ili aendelee kutawala Afrika Mashariki kiuchumi sasa anatapatapa baada ya majasusi wa Tanzania kufanikiwa kukwamisha jitihada zake za kukwamisha makubaliano baina ya Dubai na Tanzania kuhusu Bandari na mkataba husika kupitishwa na Bunge la Tanzania.

Taarifa zaidi zinadai kuwa, Jirani sasa amewekeza sana katika chama fulani cha siasa ambacho kwa muda amekuwa akikifadhili na kuwafadhili wanasiasa na wanachama wake ikiwemo kimatibabu na hata kuwatoroshea kwake pale walipokumbwa na shida nchini Tanzania katika kuhakikisha kinafanya maandamano nchini Tanzania na kuleta pressure kwa wananchi ili serikali ya Tanzania isitekeleze makubaliano na kuingia rasmi mkataba na kampuni ya Dp World ili kuendeleza Bandari zake kwa kuwa anajua endapo Tanzania itafanikiwa kuingia makubaliano na DP World basi ndo itakuwa mwisho wa Bandari zake za Mombasa na Lamu

Hongereni TISS kwa kufanikiwa kuzima hili jaribio la nchi jirani. Sasa mko vizuri katika ujasusi wa kiuchumi.
Ushuzi mtupu, propaganda za kitoto mno hizo. Kakaeni chini muandike upya script.
 
Haha we jamaa muongo sana kadanye wajinga wenzako huko Bukoba.

Mhaya mjinga kabisa.

Hiyo three ya makongo ndio uwe na akili??
Najua uliwaga shule hukuwahi kupata Div nilizopata
 
Mtajuana wenyewe mi naangalia uchumi wangu sijali kuhusu uchumi wa inchi wala nini hata mkitaka kuuza tz yote uzeni2
 
Mleta mada umelipwa kiasi gani kuanzisha huu uzi wa kiwaki?
Mambo mengine mnajidhalilisha sana hata kama unatumia fake ID.
 
Mleta mada umelipwa kiasi gani kuanzisha huu uzi wa kiwaki?
Mambo mengine mnajidhalilisha sana hata kama unatumia fake ID.
Najua sindano imegusa mfupa ila vumilia tu.

Tanzania tumeamka na Kenya hatupati tena
 
Jirani anatapa tapa!!

Baada ya kujenga Bandari ya Lamu akitegemea kulikamata soko la Afrika Mashariki huku akitarajia kuiwekea gati zaidi ya 30 ambazo zitaendeshwa na sekta binafsi, huku akiimarisha bandari ya Mombasa na kuweka mipango kujenga SGR kuja Tanzania na SGR nyingine kwenda Congo ili kuzimaliza kabisa bandari za Tanzania sasa amekosa raha baaada ya kusikia Tanzania ameamka na anaboresha bandari zake kwa kiwango cha kimataifa.

Ikumbukwe jirani huyu alikuwa akifadika sana na ukiritimba uliokuwepo katika bandari za Tanzania uliofanya mizigo ichelewe kutoka na meli kuchelewa kushusha bandari jambo lililopelekea wateja wengi kukimbilia katika Bandari yake ya Mombasa!!

Taarifa zaidi zinasema jirani huyu ambaye kwa muda mrefu amekuwa akitumia mwanya wa siasa za Tanzania kupenyeza propaganda kii telejensia ili kufelisha mipango kabambe ya kiuchumi ya Tanzania ikiwemo ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Mji wa kisasa kigamboni, uwekezaji wa treni ya abiria katika jiji la Dar es Salaam ili aendelee kutawala Afrika Mashariki kiuchumi sasa anatapatapa baada ya majasusi wa Tanzania kufanikiwa kukwamisha jitihada zake za kukwamisha makubaliano baina ya Dubai na Tanzania kuhusu Bandari na mkataba husika kupitishwa na Bunge la Tanzania.

Taarifa zaidi zinadai kuwa, Jirani sasa amewekeza sana katika chama fulani cha siasa ambacho kwa muda amekuwa akikifadhili na kuwafadhili wanasiasa na wanachama wake ikiwemo kimatibabu na hata kuwatoroshea kwake pale walipokumbwa na shida nchini Tanzania katika kuhakikisha kinafanya maandamano nchini Tanzania na kuleta pressure kwa wananchi ili serikali ya Tanzania isitekeleze makubaliano na kuingia rasmi mkataba na kampuni ya Dp World ili kuendeleza Bandari zake kwa kuwa anajua endapo Tanzania itafanikiwa kuingia makubaliano na DP World basi ndo itakuwa mwisho wa Bandari zake za Mombasa na Lamu

Hongereni TISS kwa kufanikiwa kuzima hili jaribio la nchi jirani. Sasa mko vizuri katika ujasusi wa kiuchumi.
Lord! Kwani wakenya hawaruhusiwi kuingia mkataba na DP World!! Akili yako ni fupi wewe kilaza
 
Lord! Kwani wakenya hawaruhusiwi kuingia mkataba na DP World!! Akili yako ni fupi wewe kilaza
Uzuri Ujinga na Akili hujitenga kwenye mitihani. Tutajitenga tu na wajinga wait and see 2025 haifiki. Mafuta na Maji yatajitenga
 
Uzuri Ujinga na Akili hujitenga kwenye mitihani. Tutajitenga tu na wajinga wait and see 2025 haifiki. Mafuta na Maji yatajitenga
Unajua maana ya kutoruhusu competitor wako aendelee ili wewe ndo utawale soko?
 
Unajua maana ya kutoruhusu competitor wako aendelee ili wewe ndo utawale soko?

Usisumbuke hawa jamaa akili kisoda, biashara bila ushindani ni ujinga mkubwa, halafu walivo wapuuzi matatizo yatokee nchini kwako ukaanze kusingizia nchi jirani huo ni upuuzi uliopitiliza
 
Sio kila anayepinga mkataba wenu wa kilaghai hana akili hapana wengine tunafahamu uwezo wenu kiakili ni mdogo ndio maana mnaunga mkono mikataba ya ujinga kama hiyo
 
Back
Top Bottom